Tanzania yauza tani 600 za bidhaa eneo huru la biashara Afrika

Muktasari:

  • Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Ashatu Kijaji amesema utekelezaji wa Mkataba wa Eneo Huru la Biashara Afrika (AfCFTA), umeanza kuzaa matunda baada ya kampuni nane za Kitanzania kupeleka bidhaa katika mataifa mbalimbali ya Afrika.
Previous Post
Next Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *