
Jinsi ya kuswali kama Imam Sajjad (as): Ustad Syed Jawad Naqvi
Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Mudiri wa Jamia Urwatul Wuthqa – Lahore) Imetolewa na: Masjid Baitul ul Ateeq Lahore – Pakistan KHUTBA YA IJUMAA – 21 MACHI 2025 Khutba ya 1: Jinsi ya kuswali kama Imam Sajjad (as) اللَّهُمَّ صَلِّ عَلَى مُحَمَّد وَآلِهِ، Ewe Mola mrehemu Muhammad na Aali zake. وَأَلْهِمْنَا مَعْرِفَةَ فَضْلِهِ وَإِجْلاَلَ…

Swiyam ina maana ya kujizuia kabisa kwa viungo vyote
Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Mudiri wa Jamia Urwatul Wuthqa – Lahore) Imetolewa na: Masjid Baitul ul Ateeq Lahore – Pakistan KHUTBA YA IJUMAA – 14 MACHI 2025 Khutba ya 1: Swiyam ina maana ya kujizuia kabisa kwa viungo vyote Katika sehemu ya mwanzo ya dua hii, Imam (a.s) anatufahamisha kuhusu mwezi mtukufu…

Dua ya 44 ya Ramadhani ya Imam Sajjad (as) – Sehemu ya 2 (Orodha ya vitu vinavyopatikana kuanzia mwezi huu)
Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Mudiri wa Jamia Urwatul Wuthqa – Lahore) Imetolewa na: Masjid Baitul ul Ateeq Lahore – Pakistan. KHUTBA YA IJUMAA – 7 MACHI 2025 Khutba ya 1 : Dua ya 44 ya Ramadhani ya Imam Sajjad (as) – Sehemu ya 2 (Orodha ya vitu vinavyopatikana kuanzia mwezi huu) والْحَمْدُ لِلّه…

Dua 44 ya Ramadhani ya Imam Sajjad (a) – Sehemu ya 1: Ustadh Syed Jawad Naqvi
Hujjatul Islam Ustadh Syed Jawad Naqvi (Mudiri Jamia Urwatul Wuthqa – Lahore) Imetolewa na: Masjid Baitul Ateeq Lahore – Paiakistan KHUTBA YA IJUMAA – 28 FEBRUARI 2025 Khutba ya 1: : Dua 44 ya Ramadhani ya Imam Sajjad (a) – Sehemu ya 1 Mwenyezi Mungu ameweka Mfumo wa Uongofu kupitia dini, na kwa ajili…
Kuukaribisha mwezi wa Ramadhani; 3
Hujjatul Islam wa Muslimeen Syed Jawad Naqvi Mudiir Jamiatul Wuthqah Masjid Baitul Ateeq Lahore, Pakistan بسم الله الرحمن الرحیم شَهْرُ رَمَضَانَ الَّذِي أُنزِلَ فِيهِ الْقُرْآنُ هُدًى لِّلنَّاسِ وَبَيِّنَاتٍ مِّنَ الْهُدَىٰ وَالْفُرْقَانِ Kuwa Mja wa Mwenyezi Mungu, Usiwe Mja wa Funga. Mwezi wa Shaaban ni mwezi wa Mtume wa Mwenyezi Mungu katika siku zake za mwisho,…

Kuukaribisha mwezi wa Ramadhani (Khutba ya pili)
Hujjatul Islam wal muslimin Syed Jawad Naqvi Mudir Jamiatul Wuthqah Masjid Baitul Ateeq Lahore, Pakistan بسم الله الرحمن الرحیم شَهْرُ رَمَضَانَ الَّذِي أُنزِلَ فِيهِ الْقُرْآنُ هُدًى لِّلنَّاسِ وَبَيِّنَاتٍ مِّنَ الْهُدَىٰ وَالْفُرْقَانِ Mwezi wa Ramadhani ambao imeteremshwa humo Qur’ani kuwa ni uwongofu kwa watu, na hoja zilizo wazi za uwongofu na upambanuzi…..(2:185) Mtukufu Mtume, Mwenyezi Mungu…

Fitnah ni somo la kijamii la Quran na Taqwa mahususi kwa ajili ya kujilinda: Ustadh Syed Jawad Naqvi
Hujjatul Islam Ustadh Syed Jawad Naqvi (Mudiri Jamia Urwatul Wuthqa – Lahore) Imetolewa na: Masjid Baitul Ateeq Lahore – Paiakistan KHUTBA YA IJUMAA – 21 FEBRUARI 2025 Khutba ya 1: Fitnah ni somo la kijamii la Quran na Taqwa mahususi kwa ajili ya kujilinda. Wanadamu wamezungukwa na aina nyingi za fitna, na kulazimika kuwa…

Kuukaribisha mwezi mtukufu wa Ramadhani/aina za rehema za Mwenyezi Mungu/nani anaweza kufikia kina cha ibada?
(2:185 )رُ رَمَضَانَ الَّذِي أُنزِلَ فِيهِ الْقُرْآنُ هُدًى لِّلنَّاسِ وَبَيِّنَاتٍ مِّنَ الْهُدَىٰ وَالْفُرْقَانِ Mwezi wa Ramadhani ambao imeteremshwa humo Qur’ani kuwa ni uwongofu kwa watu, na hoja zilizo wazi za uwongofu na upambanuzi…..(2:185) Kuukaribisha mwezi mtukufu wa Ramadhani Baada ya siku chache zijazo, mwezi mtukufu wa Ramadhani utafika na waumini wanajitayarisha kuukaribisha mwezi huu. Miaka…