jafari

Israel yashambulia kwa mabomu makazi ya wakimbizi wa Kipalestina Gaza

Israel yashambulia kwa mabomu makazi ya wakimbizi wa Kipalestina Gaza

Ndege za kivita za utawala wa Kizayuni zimeshambulia kwa mabomu shule ya makazi ya Wapalestina katika mji wa Gaza. Shirika la habari la IRNA limesema katika ripoti yake  kuwa, mashambulizi ya  ndege za kivita za utawala wa Kizayuni zimefanya mauaji ya kinyama dhidi ya raia 6 wa Kipalestina katika mashambulio hayo yya mabomu katika shule inayowahifadhi wakimbizi…

New York Times: “Hashem Safiuddin” yuko hai

New York Times: “Hashem Safiuddin” yuko hai

Gazeti la The New York Times limewanukuu maafisa watatu waandamizi wa utawala wa Kizayuni nakuripoti kuwa, katibu wa Halmashauri Kuu ya Hizbullah hakuwepo katika kikao cha makamanda wa Hizbullah wakati wa mashambulizi ya Israel dhidi ya Dahiya. Gazeti la New York Times likiwanukuu maafisa watatu waandamizi wa utawala wa Kizayuni limeripoti kuwa, Hashem Safiuddin, Katibu…

Hizbullah yathibitisha mauaji ya Sayyid Hassan Nasrullah ameuawa shahidi katika hujuma ya kigaidi ya Israel

Hizbullah yathibitisha mauaji ya Sayyid Hassan Nasrullah ameuawa shahidi katika hujuma ya kigaidi ya Israel

Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imethibitisha kuwa Katibu Mkuu wa harakati hiyo, Sayyid Hassan Nasrullah, amuawa shahidi katika mashambulizi makubwa ya anga ya Israel yaliyolenga majengo ya makazi ya raia kusini mwa Beirut, jana Ijumaa. Katika taarifa yake iliyotolewa alasiri ya leo Jumamosi, Hizbullah imesema: Sayyid wa Muqawama, mja mwema, amerejea kwa Mola wake akiwa…

Arakchi akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Burkina Faso katika mkutano wa kando katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa

Arakchi akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Burkina Faso katika mkutano wa kando katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa

Araghchi alikutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Burkina Faso kando ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa. Dr. Sayyed Abbas Arakchi, ambaye ni Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kujadiliana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Burkina Faso katika muendelezo wa mikutano yake ya pande…

Kila mtu anapaswa kuweka kando visingizio vyote, ukaaji na atoke tarehe 7 Oktoba:

Kila mtu anapaswa kuweka kando visingizio vyote, ukaaji na atoke tarehe 7 Oktoba:

Hujjatul Islam Ustadh Syed Jawad Naqvi (Kiongozi mkuu Jamia Orwatul Wuthqa – Lahore) Imetolewa: Masjid Baitul ul Ateeq Lahore – Pakistan Khutba ya Ijumaa -27 Septemba 2024 Khutba 1: Kalema -e-Tayyaba ni nini kimatendo katika maisha yetu Ubinadamu huanza kutoka hali ya chini (Asfalas Safeleen) na lazima kupanda hadi hali ya juu zaidi, kufikia Hayat-e-Tayyab…

Mashambulizi makali ya anga ya utawala wa Kizayuni katika viunga vya kusini mwa Beirut

Mashambulizi makali ya anga ya utawala wa Kizayuni katika viunga vya kusini mwa Beirut

Vyanzo vya habari vya Lebanon vimeripoti mashambulizi makali ya anga yaliyofanywa na jeshi la Israel linalokaliwa kwa mabavu katika viunga vya kusini mwa Beirut, ambayo yanasemekana kuharibu kabisa majengo kadhaa. Katika kuendeleza jinai zake nchini Lebanon, jeshi linalokalia kwa mabavu la Israel limeshambulia kwa nguvu majengo kadhaa katika eneo la “Hare Harik” kusini mwa Dahiya…

Al-Houthi: Hizbullah inabeba mzigo mkubwa kwa manufaa ya umma mzima wa Kiislamu

Al-Houthi: Hizbullah inabeba mzigo mkubwa kwa manufaa ya umma mzima wa Kiislamu

Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, vita vinavyoendelea hivi sasa baina ya Lebanon na utawala wa Kizayuni ni ushahidi wa wazi kwamba Hizbullah ina nafasi muhimu katika kuuhami umma wa Kiislamu na kubainisha kuwa, hujuma dhidi ya taifa la Lebanon ni muendelezo wa jinai za Wazayuni dhidi ya taifa la Palestina. Kwa…

Kuongezeka kwa ukatili dhidi ya Waislamu Marekani

Kuongezeka kwa ukatili dhidi ya Waislamu Marekani

Bunge la Seneti la Marekani limefanya kikao kuchunguza ongezeko la uhalifu wa chuki katika nchi hiyo. Wakati huo huo, hotuba za chuki zilizotolewa na maseneta wa Marekani katika kikao hicho dhidi ya mwanaharakati mashuhuri wa haki za Waislamu, imekabiliwa na ukosoaji mwingi. Hii ina maana kwamba, chuki nchini Marekani imeongezeka na kushadidi zaidi dhidi ya Waislamu kuliko jamii wafuasi…