jafari

DR Congo yaishutumu Rwanda kwa kusaidia makundi yenye silaha katika kesi ya mahakama ya Afrika Mashariki

DR Congo yaishutumu Rwanda kwa kusaidia makundi yenye silaha katika kesi ya mahakama ya Afrika Mashariki

DRC inaishutumu Rwanda kwa kukiuka mamlaka yake na uadilifu wa eneo kwa kutuma wanajeshi kusaidia makundi yenye silaha. Mahakama ya Afrika Mashariki imeanza mchakato wa kesi iliyowasilishwa na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) dhidi ya Rwanda, ikiishutumu kwa kukiuka mamlaka yake na kutuma wanajeshi kusaidia makundi ya waasi katika eneo la mashariki mwa nchi…

Benin yazuia njama ya mapinduzi, kamanda mkuu wa jeshi akamatwa

Benin yazuia njama ya mapinduzi, kamanda mkuu wa jeshi akamatwa

Waendesha mashtaka wa Benin wametangaza kuwa watu watatu mashuhuri, akiwemo kamanda wa kikosi cha ulinzi wa rais, wamekamatwa kwa tuhuma za kupanga njama ya “mapinduzi” katika taifa hilo dogo la Afrika Magharibi. Washukiwa wengine wawili katika tuhuma za jaribio la mapinduzi dhidi ya serikali ya Benin ni waziri wa zamani wa michezo na mfanyabiashara anayetajwa kuwa…

Ayatullah Sistani: Ichukuliwe hatua haraka kukomesha uchokozi wa Israel dhidi ya Lebanon

Ayatullah Sistani: Ichukuliwe hatua haraka kukomesha uchokozi wa Israel dhidi ya Lebanon

Kiongozi wa juu wa kidini na Marjaa-Taqlidi wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq Ayatullah Ali al-Sistani ameelezea mshikamano wake na Lebanon wakati nchi hiyo ya Kiarabu na Kiislamu inaendelea kuandamwa na mashambulio ya kinyama ya jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel na ametaka zifanyike juhudi za dharura kusitisha uchokozi huo wa kikatili…

Rais wa Tanzania ameishutumu Marekani, na nchi za Magharibi kwa kuingilia masuala ya ndani ya nchi

Rais wa Tanzania ameishutumu Marekani, na nchi za Magharibi kwa kuingilia masuala ya ndani ya nchi

Misheni za kidiplomasia za Magharibi zilitaka uchunguzi huru kuhusu mauaji ya kiongozi wa zamani wa chama kikuu cha upinzani. Rais wa Tanzania alitoa wito kwa mataifa kadhaa ya Magharibi, ikiwemo nchi ya Marekani, kuto kukosoa na kujihusisha na masuala ya ndani ya nchi, yakiwemo mauaji na utekaji nyara. Katika mazungumzo yake akiwa katika eneo la…

Nabih Berri atahadharisha kuhusu hulka ya kupenda vita ya utawala wa Kizayuni katika eneo

Nabih Berri atahadharisha kuhusu hulka ya kupenda vita ya utawala wa Kizayuni katika eneo

Spika wa bunge la Lebanon ameashiria kuendelea mashambulizi ya utawala wa Kizayuni nchini humo na kusema, Benjamin Netanyahu Waziri Mkuu wa utawala huo anafanya kila awezalo ili kuitumbukiza Lebanon na eneo hili katika vita vikubwa. Nabih Beri Spika wa bunge la Lebanon amesisitiza kuwa Benjamin Netanyahu Waziri Mkuu wa Israel anaendeleza  hatua zake za kuligeuza eneo…

Rais Ruto atua Haiti kutathmini misheni ya polisi huku ukosefu wa usalama ukiongezeka

Rais Ruto atua Haiti kutathmini misheni ya polisi huku ukosefu wa usalama ukiongezeka

Ujumbe wa polisi unaoongozwa na Kenya kwa mamlaka ya Haiti unamalizika mwezi ujao huku nchi ikiendelea kukabiliwa na ghasia zilizoenea. Rais wa Kenya William Ruto ametua katika mji mkuu wa Haiti kutathmini ujumbe wa usalama unaoongozwa na Kenya katika taifa hilo la Caribbean, siku moja baada ya mtaalamu wa Umoja wa Mataifa kuonya kwamba Haiti…

Maandamano ya kupinga Uzayuni yafanyika nchini Sweden na Italia

Maandamano ya kupinga Uzayuni yafanyika nchini Sweden na Italia

Wapinzani wa jinai za utawala wa Kizayuni katika mauaji ya kimbari ya wananchi madhulumu wa Palestina katika Ukanda wa Gaza wamefanya maandamano makubwa nchini Sweden na Italia wakitaka kukomeshwa mara moja mauaji ya kimbari dhidi ya wananchi wa Palestina. Kwa mujibu wa shirika la habari la Anatolia, waandamanaji wanaopinga jinai za utawala wa Kizayuni katika…

Khutba ya Ijumaa 20 Septemba 2024: Hujjatul Islam Ustadh Syed Jawad Naqvi

Khutba ya Ijumaa 20 Septemba 2024: Hujjatul Islam Ustadh Syed Jawad Naqvi

Hujjatul Islam Ustadh Syed Jawad Naqvi (Kiongozi mkuu Jamia Orwatul Wuthqa – Lahore) Imetolewa katika: Masjid Baitul ul Ateeq Lahore – Pakistan Khutba ya Ijumaa 20 Septemba 2024 Khutba ya 1: Maana na sifa za Shajrah Katika muendelezo wa khutba ya mwisho, Quran inafanana na mti wa kwanza safi, mti mbaya wenye Kalema-e-Tayyaba na Kalema-e-Khabeesa….