
Usipopaza sauti kwa ajili ya Palestina, Mwenyezi Mungu hatakupa utulivu kwa muda mrefu: Ustadh Syed Jawad Naqvi
Hujjatul Islam Ustadh Syed Jawad Naqvi (Kiongozi mkuu Jamia Orwatul Wuthqa – Lahore) Imetolewa: Masjid Baitul ul Ateeq Lahore – Pakistan Khutba ya Ijumaa – 6 Septemba 2024 Khutba ya 1: Mwenyezi Mungu anawatenga Waovu na Wema, anayafanya makundi ya Waovu kuingia motoni. Khutba ya 2: Usipopaza sauti kwa ajili ya Palestina, Mwenyezi Mungu…