jafari

Umoja wa Mataifa: Vita vya ndani nchini Sudan vyasababisha vifo vya watu elfu 20

Umoja wa Mataifa: Vita vya ndani nchini Sudan vyasababisha vifo vya watu elfu 20

Shirika la Afya Ulimwenguni lilitangaza Jumapili kwamba 70% ya sekta ya afya ya Sudan imeshindwa. Tedros Adhanom, Katibu Mkuu wa Shirika la Afya Duniani, ametembelea nchi hii katika safari ya siku mbili kuangalia hali ya Sudan. Katika mkutano na waandishi wa habari katika eneo la Bandar Sudan, alisema kuwa tangu mwezi Aprili 2023, zaidi ya…

Afisa wa Ujerumani anasema mpango wa kufurushwa kwa Rwanda kwa kutumia vituo vya Uingereza unazingatiwa

Afisa wa Ujerumani anasema mpango wa kufurushwa kwa Rwanda kwa kutumia vituo vya Uingereza unazingatiwa

Maafisa wa Ujerumani wamependekeza kupeleka waomba hifadhi katika vituo vya Rwanda vinavyofadhiliwa na Uingereza. Afisa wa Ujerumani amependekeza kutumwa kwa wanaotafuta hifadhi katika vituo vya Rwanda vinavyofadhiliwa na Uingereza, wiki kadhaa baada ya Uingereza kutupilia mbali mpango wake wa kuwafurusha Rwanda. Mwakilishi Maalum wa Ujerumani kwa Mikataba ya Uhamiaji, Joachim Stamp, alisema Umoja wa Ulaya…

Kifo cha Mmarekani Mturuki kimedhihirisha unafiki na undumilakuwili wa Marekani

Kifo cha Mmarekani Mturuki kimedhihirisha unafiki na undumilakuwili wa Marekani

Msimamo wa Marekani wa kutoa mijibizo tofauti kuhusiana na vifo vya raia wake waliouliwa na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel na wale waliofariki katika matukio mengine umedhihirisha unafiki na undumilakuwili wa serikali ya Washington. Hayo yameelezwa na Sultan Barakat, Profesa wa Taaluma ya Sera za Umma katika Chuo Kikuu cha Hamad Bin Khalifa cha…

Mji mkuu wa Uingereza kwa mara nyingine tena umekua eneo la maandamano ya wafuasi wa Palestina

Mji mkuu wa Uingereza kwa mara nyingine tena umekua eneo la maandamano ya wafuasi wa Palestina

Maelfu ya wafuasi wa Palestina nchini Uingereza kwa mara nyingine tena walifanya maandamano katika barabara za katikati mwa jiji la London na huku wakilaani jinai za kinyama zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Ghaza, walitaka kusitishwa mara moja mapigano katika eneo hilo. Kwa mujibu wa ripota wa IRNA kutoka London, watu wa sasa kutoka mataifa…

Ujumbe wa Washington kwa Tel Aviv: Hatuwezi kuwapa ulinzi wa milele

Ujumbe wa Washington kwa Tel Aviv: Hatuwezi kuwapa ulinzi wa milele

Vyombo vya habari vya Kizayuni vimeripoti kuwa, viongozi wa Marekani wameutaka utawala wa Kizayuni upunguze mivutano kati ya Hizbullah na Iran. Kituo cha televisheni cha Israel cha Channel 13 kiliripoti kwamba maafisa wa Marekani wameionya Israel kwamba Jeshi la Wanamaji la Marekani lililoko katika eneo hilo haliwezi kuilinda Israel “milele”. Kwa mujibu wa ripoti ya…

China yaahidi kutoa msaada wa kifedha wa dola bilioni 50 kwa Afrika

China yaahidi kutoa msaada wa kifedha wa dola bilioni 50 kwa Afrika

Katika mkutano na viongozi wa bara la Afrika, Rais Xi Jinping wa China aliahidi kutoa msaada wa kifedha wa dola bilioni 50 kwa bara hili katika miaka mitatu ijayo. Akihutubia mkutano mkubwa zaidi wa kilele wa Beijing tangu janga la coronavirus, Xi aliahidi kutoa zaidi ya dola bilioni 50 kwa Afrika katika miaka mitatu ijayo…

Norway yakata ushirikiano na mashirika yanayoiunga mkono Israel

Norway yakata ushirikiano na mashirika yanayoiunga mkono Israel

Mfuko wa Taifa wa Utajiri wa Norway umetangaza kuwa unakata ushirikiano uliokuwepo baina yake na makampuni yanayouunga mkono utawala haramu wa Kizayuni wa Israel. Kwa mujibu wa shirika la habari la Reuters, Mfuko wa Taifa wa Utajiri wa Norway umeishauri wizara ya fedha ya nchi hiyo kusitisha uwekezaji katika baadhi ya makampuni, yanayousaidia utawala wa…

Janga la moto laua wanafunzi 17 Kenya, Rais Ruto aagiza uchunguzi ufanywe haraka

Janga la moto laua wanafunzi 17 Kenya, Rais Ruto aagiza uchunguzi ufanywe haraka

Rais Willam Ruto wa Kenya ametoa amri ya kufanyika uchunguzi haraka iwezekanavyo kuhusiana na tukio la moto lililotokea katika Skuli ya Msingi ya Endrasha katika Kaunti ya Nyeri na kusababisha wanafunzi 17 kupoteza maisha na wengine 14 kujeruhiwa vibaya. Vyombo vingi vya habari vya ndani na nje ya Kenya vimeiripoti kwa wingi habari ya moto…