
Raghbat(Shauku) ya kuwa na Daulat-e-Kareema (serikali ya Kiislamu) ni wajibu tuliowekewa na Imam wa zama (a.t.f.s)
Hujjatul Islam Ustadh Syed Jawad Naqvi (Kiongozi mkuu Jamia Orwatul Wuthqa – Lahore) Imetolewa na: Masjid Baitul Ateeq Lahore – Paiakistan KHUTBA YA IJUMAA – 14 FEBRUARI 2025 Khutba ya 1 & 2 : Raghbat(Shauku) ya kuwa na Daulat-e-Kareema (serikali ya Kiislamu) ni wajibu tuliowekewa na Imam wa zama (a.t.f.s) Mwongozo ni hitaji la kimsingi…

MATARAJIO YA KIMUNGU NA MATARAJIO YA MABABU ZETU
Hujjatul Islam wal Muslimiin Ustadh Syed Jawad Naqvi Mudir Jamiatul Wuthqah Lahore Pakistan Kumngoja Imamu maana yake ni kusubiri utawala wa Uimamu na kudhihiri dini na kutawala kwa dini na utawala wa uadilifu, utawala wa Uislamu. Katika kungoja huku, kungoja kwa mngojaji na mtarajiwa wote wana majukumu tofauti. Katika kungoja huku, mtu anayengoja hakai kimya…