Siku ya Eid al-Adha inatakiwa iwe ni siku ya maandamano dhidi ya madhalimu wa Palestina:Ustad Syed Jawad Naqvi
Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Principal Jamia Orwatul Wuthqa – Lahore) imetolewa: Masjid Baitul ul Ateeq Lahore – Pakistan Hotuba ya Ijumaa – 14 June, 2024 Hotuba ya 1: Hajj bila ya kujitenga na madhalimu wa zama sio hajj Hotuba ya 2: Siku ya Eid al-Adha inatakiwa iwe ni siku ya maandamano dhidi ya…