jafari

Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa ameilaumu NATO kwa vita vya Russia nchini Ukraine

Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa ameilaumu NATO kwa vita vya Russia nchini Ukraine

Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, ameilaumu NATO kwa vita vya Ukraine na kusema kuwa atapinga wito wa kuilaani Russia. Matamshi haya ya Ramaphosa yanatia shaka iwapo atakubaliwa na Ukraine au nchi za Magharibi kama mpatanishi katika mzozo huo. Ramaphosa ambaye alikuwa akizungumza bungeni, amesema: “Vita hivyo vingeweza kuepukika kama NATO ingezingatia maonyo kutoka kwa viongozi…

Raila Odinga: Sitamwacha Uhuru Kenyatta iwapo nitashinda uchaguzi wa rais wa Agosti 9

Raila Odinga: Sitamwacha Uhuru Kenyatta iwapo nitashinda uchaguzi wa rais wa Agosti 9

Kiongozi wa chama cha ODM, Raila Odinga, amesema kuwa hatamwacha Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya iwapo atashinda uchaguzi wa Agosti 9, 2022. Raila amesema kuwa Rais Kenyatta amekuwa nguzo muhimu katika utulivu wa taifa na uchumi na kwamba yeyote atakayeshinda hastahili kumtelekeza. Amesema iwapo atashinda uchaguzi ujao ataendeleza uhusiano wake na Rais Uhuru Kenyatta na…

Ufaransa yafunga Msikiti mwingine kwa madai ya kuruhusu mawaidha yasiyokubalika kiserikali

Ufaransa yafunga Msikiti mwingine kwa madai ya kuruhusu mawaidha yasiyokubalika kiserikali

Ikiwa ni katika kuendeleza chuki na uadui wake dhidi ya Uislamu, serikali ya Ufaransa imefunga Msikiti mwingine kwa muda wa miezi sita kwa madai ya kuruhusu mawaidha yasiyokubaliwa na serikali ya Paris. Kwa mujibu wa shirika la habari la Anadolu, mkuu wa mkoa wa Bordeaux ametoa taarifa ya kuvunjwa Msikiti wa al Farouk ulioko kwenye eneo la Pessac…

Medvedev: Urusi yawaweka maadui zake sehemu wanayostahiki, miongoni mwao Marekani

Medvedev: Urusi yawaweka maadui zake sehemu wanayostahiki, miongoni mwao Marekani

Naibu Katibu wa Baraza la Usalama la Russia amesema kuwa Marekani imezusha hofu ya kuchukiza nchini Urusi katika jaribio la kuipigia magoti Moscow na kuisambaratisha. Alisema kuwa Urusi ina uwezo wa kuwaweka maadui wake wote wabaya mahali pake. Kwa mujibu wa Idhaa ya Kimataifa ya Shirika la Habari la Fars, Dmitry Medvedev alisema siku ya…

Moncef Marzouki amelaani kitendo cha jinai huku akiwaonya viongozi wa Saudia kwa kuua umati wa watu

Moncef Marzouki amelaani kitendo cha jinai huku akiwaonya viongozi wa Saudia kwa kuua umati wa watu

Rais wa zamani wa Tunisia amewaonya viongozi wa Saudi Arabia kwa hatua yao ya kutekeleza adhabu ya kifo kwa watu 81 kwa siku moja na kuwaambia wajiandae kwa madhara ya hatua yao hiyo. Siku ya Jumamosi, wizara ya mambo ya ndani ya Saudia iitekeleza adhabu ya kifo kwa watu 81 ikidai kuwa watu hao wamefanya…

Jenerali wa Marekani: Iran haikulenga kutushambulia katika mji wa Erbil, makombora ya Iran yanauwezo wakufika Tel Aviv kwa urahisi

Jenerali wa Marekani: Iran haikulenga kutushambulia katika mji wa Erbil, makombora ya Iran yanauwezo wakufika Tel Aviv kwa urahisi

Jenerali mkuu wa Marekani amesema kuwa shambulizi la makombora la IRGC mjini Erbil halikuwa na nia ya kushambulia maeneo ya Marekani. Kenneth McKenzie, kamanda wa shirika la kigaidi la Centcom, alisema siku ya Jumanne kwamba Iran haikua na nia ya kulenga nyadhifa za Marekani katika shambulizi la kombora huko mjini Erbil. McCannie, ambaye alihudhuria mkutano…

Mahakama ya India yaidhinisha rasmi uamuzi wa Marufuku ya hijabu katika skuli za serikali

Mahakama ya India yaidhinisha rasmi uamuzi wa Marufuku ya hijabu katika skuli za serikali

Siku kadhaa baada ya skuli za jimbo la Karanatka la kusini mwa India kuwapiga marufuku wanafunzi wanawake Waislamu kuvaa vazi la staha la Kiislamu la Hijabu, mahakama ya nchi hiyo imeidhinisha rasmi uamuzi huo. Tangu mwezi uliopita wa Februari, utekelezaji marufuku ya kuvaa hijabu katika skuli za jimbo la Karanatka lililoko kusini mwa India umekuwa ukilalamikiwa…

Shambulizi la Iran ni alama ya tahadhari kwa viongozi wa Iraq

Shambulizi la Iran ni alama ya tahadhari kwa viongozi wa Iraq

Makundi ya wananchi ya kupambana na ugaidi nchini Iraq yametaka kuondolewa nchini humo mara moja vikosi vya kigeni yakisema kuwa hatua ya serikali ya eneo la Kurdistan ya kualika katika eneo vibaraka wa Mossad inawafanya Wairaki kuwa shabaha ya kulengwa na upande wowote unaopinga vibaraka hao. Ikizungumza jana Jumapili kuhusu shambulio lililofanywa na Jeshi la…