jafari

Maandamano makubwa huko mjini Saada yakilaani vikwazo vya mafuta nchini Yemen

Maandamano makubwa huko mjini Saada yakilaani vikwazo vya mafuta nchini Yemen

Wananchi wa mkoa wa Saada walioshiriki maandamano makubwa leo wametangaza kuwa kususia mafuta yanayotokana na mafuta dhidi ya Yemen ni uamuzi wa Marekani na jibu lao kwa kususia huko na kuzingirwa jihadi na operesheni ya “Asar Al-Yaman”. Kwa mujibu wa Idhaa ya Kimataifa ya Shirika la Habari la Fars, mkoa wa Saada, leo (Jumatatu, Machi…

Sanaa: Huku mashambulizi yakiendelea huko nchini Yemen baadhi ya nchi za Kiarabu zadhihirisha hisia zake kwa kuwahurumia wananchi wa Ukraine kwa kulipuliwa na mabomu

Sanaa: Huku mashambulizi yakiendelea huko nchini Yemen baadhi ya nchi za Kiarabu zadhihirisha hisia zake kwa kuwahurumia wananchi wa Ukraine kwa kulipuliwa na mabomu

Kwa mujibu wa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemen, baadhi ya nchi za Kiarabu zimeisahau Yemen kwa muda wa miaka 7 na sasa zinaruhusu usajili wa viza kwa Wananchi wa Ukraine. Kwa mujibu wa Huduma ya Kimataifa ya Shirika la Habari la Fars, afisa wa Serikali ya Wokovu wa Kitaifa ya Yemen leo…

Kuzuiliwa kwa Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi

Kuzuiliwa kwa Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi

Vikosi vya utawala dhalimu vilivamia maeneo mbalimbali ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kuwatia mbaroni baadhi ya raia. Kwa mujibu wa idhaa ya kimataifa ya Shirika la Habari la Fars, vikosi vya utawala wa Kizayuni vilishambulia maeneo tofauti ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan asubuhi ya leo na kuwatia mbaroni raia kadhaa…

Russia imefichua kuwa Marekani inawasafirisha magaidi wa ISIS au Daesh kutoka Syria na kuwaingiza Ukraine

Russia imefichua kuwa Marekani inawasafirisha magaidi wa ISIS au Daesh kutoka Syria na kuwaingiza Ukraine

Idara ya Usalama wa Nje ya Nchi ya Russia- SVR RF- imesema kuwa, Marekani inatuma magaidi Ukraine kutoka Syria. Taarifa ya SVR-RF imesema magaidi hao wa ISIS wamekuwa wakipata mafunzo maalumu katika kituo kimoja cha kijeshi kilicho Syria kinyume cha sheria na baada ya kupata mafunzo wanaepelekwa Ukraine. Taarifa hiyo imesema: “Mwishoni mwa mwaka 2021,…

Rais Volodymyr Zelenskyy : Nchi za Magharibi hazina hata uwezo wa kulinda wananchi wao

Rais Volodymyr Zelenskyy : Nchi za Magharibi hazina hata uwezo wa kulinda wananchi wao

Zelenskyy alisema hayo siku ya Ijumaa katika hotuba yake maalumu na kuongeza kuwa, hivi sasa mtu yeyote atakayeuawa nchini Ukraine, basi nchi za Magharibi zinabeba dhima ya kifo chake. Rais Volodymyr Zelenskyy wa Ukraine amehamakishwa mno na uamuzi wa Jeshi la Nchi za Magharibi NATO kukataa ombi lake la kutangaza eneo lililo marufuku kupaa ndege…

Moto mkubwa waripotiwa katika kituo kikubwa zaidi cha nyuklia cha Ukraine

Moto mkubwa waripotiwa katika kituo kikubwa zaidi cha nyuklia cha Ukraine

Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Ukraine mapema leo Ijumaa amesema kuwa moto mkubwa umetokea katika kituo kikubwa zaidi cha nyuklia cha nchi hiyo cha Zaporizhzhia. Dmytro Kuleba amedai kuwa moto huo umetokana na mashambulizi ya Jeshi la Russia dhidi ya kituo hicho. Zaporizhzhia ndicho kituo kikubwa zaidi cha nishati ya nyuklia nchini…

Bin Salman: Tuna matumaini ya kuendelezwa mazungumzo na Iran

Bin Salman: Tuna matumaini ya kuendelezwa mazungumzo na Iran

Mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia ameeleza matumaini kuwa mazungumzo kati ya Iran na Saudi Arabia yatafikia hatua ambayo itakuwa nzuri kwa pande zote mbili na kutengeneza mustakabali mzuri kwa nchi zote mbili. Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Iran, IRNA, Mwanamfalme wa Saudia, Mohammed bin Salman amesema kwamba Riyadh itaendelea na mazungumzo yake…

Mashambulizi dhidi ya Waislamu wa Yemen Yaendelea Saudia ikiwa mhusika mkuu

Mashambulizi dhidi ya Waislamu wa Yemen Yaendelea Saudia ikiwa mhusika mkuu

Vyombo vya habari vimeripoti kuwa ndege za kivita za muungano vamizi wa Saudia huko Yemen jana ziliendelea kuyashambulia maeneo mbalimbali ya raia Waisalmu katika mikoa tofauti ya Yemen. Televisheni ya al Masira imeripoti kuwa, ndege za kivita za muungano vamizi huko Yemen zinazoongozwa na Saudi Arabia jana zilishambulia maeneo ya raia katika mikoa ya Saada…