jafari

Watu 137 wauawa katika siku ya kwanza ya vita vya Ukraine

Watu 137 wauawa katika siku ya kwanza ya vita vya Ukraine

Rais Volodymyr Zelenskyy wa Ukraine amesema kuwa, watu 137 wameuawa katika siku ya kwanza tu ya vita vya Russia nchini mwake. limemnukuu Zelenskyy akisema hayo mapema leo Ijumaa na kuongeza kuwa, tangu vilipoanza vita vya pande zote za Russia dhidi ya nchi yake, watu 137 wameshauawa na 306 wamejeruhiwa katika kipindi cha chini ya masaa…

Antonio Guterres: Tutajitahidi kutatua mgogoro wa Ukraine bila umwagaji zaidi wa damu

Antonio Guterres: Tutajitahidi kutatua mgogoro wa Ukraine bila umwagaji zaidi wa damu

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema ofisi yake inafanya jitihada zote ili kutatua mgogoro wa Ukraine bila umwagaji zaidi wa damu. Akizungumza mjini New York, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameongeza kuwa, kuna haja ya kukutana na kukabiliana na changamoto hii pamoja kwa ajili ya amani, na kuokoa watu wa Ukraine…

Mambo yalivyo nchini Ukraini, huku Urusi ikiwa na shughuli maalum mashariki mwa nchi hiyo

Mambo yalivyo nchini Ukraini, huku Urusi ikiwa na shughuli maalum mashariki mwa nchi hiyo

Katika kujibu ombi la usaidizi wa kijeshi kutoka kwa viongozi wa eneo linalotaka kujitenga la mashariki mwa Ukraine, rais wa Urusi aliamuru operesheni maalum kwenye eneo hilo linaloitwa Donbas. Rais wa Urusi Vladimir Putin ameamuru Jeshi la Urusi kuanzisha operesheni maalum katika eneo la Donbas; Wizara ya Ulinzi ya Urusi ilisema katika taarifa yake kwamba…

Ulinzi wa anga wa Damascus wakabiliana na utawala wa Kizayuni

Ulinzi wa anga wa Damascus wakabiliana na utawala wa Kizayuni

Shirika la habari la SANA limeripoti kuwa mifumo ya ulinzi wa anga ya jeshi la Syria katika viunga vya Damascus imeanzishwa ili kukabiliana na mashambulizi ya utawala wa Kizayuni. Vyombo vya habari vya ndani viliripoti Alhamisi asubuhi kwamba mlipuko ulisikika katika mji mkuu wa Syria, Damascus.Wakati huo huo baadhi ya duru zimeripoti kuwa, utawala wa…

Algeria inasisitiza kudumisha usalama katika nchi za Kiarabu zilizopo pembezoni mwa Ghuba ya Uajemi

Algeria inasisitiza kudumisha usalama katika nchi za Kiarabu zilizopo pembezoni mwa Ghuba ya Uajemi

Rais wa Algeria aliyezuru Kuwait, alisisitiza haja ya kudumisha usalama katika mataifa ya pembezoni mwa Ghuba ya Uajemi. Rais wa Algeria, Abdel Majid Teboun alisema kuwa nchi yake haitakubali kamwe kwamba usalama wa mataifa ya Ghuba ya Uarabuni utaingiliwa. Kulingana na gazeti la “Rai Al-Youm”, Akizungumza kuhusu Waalgeria walio wachache nchini Kuwait Jumanne usiku (jana…

Iran: hatutavuka mistari miekundu katika mazungumzo ya Vienna

Iran: hatutavuka mistari miekundu katika mazungumzo ya Vienna

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian amesema Jamhuri ya Kiislamu imezifahamisha nchi za Magharibi kuwa katu haitavuka mistari yake miekundu katika mazungumzo ya Vienna ambayo yanalenga kuhuisha mapatano ya JCPOA. Akizungumza mjini Tehran Jumatano akiwa ameandamana na waziri mwenzake wa mambo ya nje wa Oman Sayyid Badr al-Busaidi, Amir-Abdollahian amesema, Jamhuri ya…

Umoja wa Mataifa: kukithiri kwa mashambulio dhidi ya wakimbizi DRC ni jambo lenye kushtua

Umoja wa Mataifa: kukithiri kwa mashambulio dhidi ya wakimbizi DRC ni jambo lenye kushtua

Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) na washirika wake wameeleza kushtushwa na ripoti za mashambulizi nane makubwa yaliyotokea katika siku 10 za mwanzo wa mwezi huu wa Februari katika jimbo la Ituri nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Taarifa ya UNHCR iliyotolewa mjini Geneva Uswisi inaeleza kuwa mashambulizi yaliyosababisha watu kuuawa, kutekwa…

Raisi:  Ipo azma thabiti ya kupanua uhusiano wa kibiashara na kiuchumi kati ya Iran na Qatar

Raisi: Ipo azma thabiti ya kupanua uhusiano wa kibiashara na kiuchumi kati ya Iran na Qatar

Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza katika mazungumzo na Wairani wanaoshi Qatar kuwa ipo azma thabiti ya kupanua uhusiano wa kibiashara na kiuchumi kati ya Iran na Qatar. Rais Sayyid Ebrahim Rais wa Iran jana usiku alikutana na Wairani wanaoishi Qatar na huku akibainisha kwamba maingiliano ya watu wa nchi za eneo hili…