jafari

Siku ya mazazi ya Imam Ali bin Abi Twalib (a.s) furaha kubwa kwa Waislamu wote ulimwenguni

Siku ya mazazi ya Imam Ali bin Abi Twalib (a.s) furaha kubwa kwa Waislamu wote ulimwenguni

Leo Jumapili tarehe 13 Rajab mwaka 1441 Hijria sawa na Tarehe 8 mwezi Machi mwaka 2020 ni siku ya kukumbuka kuzaliwa Amirul Muumin Ali (A.S) Imam wa Kwanza wa Waislamu wa Kishia ulimwenguni. Ali bin Abi Twalib (as) alizaliwa katika nyumba tukufu ya al Kaaba tarehe 13 Rajab miaka 23 kabla ya Hijra ya Mtume (saw)…

Marekani yazidi kuisaidia UAE katika vita dhidi ya watu wa Yemeni

Marekani yazidi kuisaidia UAE katika vita dhidi ya watu wa Yemeni

Ndege za kivita za Marekani aina ya F-22 zimeshuhudiwa zikiwasili katika Kituo cha Ndege za Kivita cha Al-Dhafra siku ya Jumamosi katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE). Kwa mujibu wa Jeshi la Anga la Marekani, kutumwa kwa ndege hizo za kivita kunafuatia mapatano baina ya Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Lloyd Austin, na Mrithi…

Waziri wa Mambo ya Nje wa Mali akutana na Amir-Abdollahian hapa Tehran

Waziri wa Mambo ya Nje wa Mali akutana na Amir-Abdollahian hapa Tehran

Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kufanya mazungumzo hapa Tehran leo Jumapili na Waziri wa Mambo ya Nje wa Mali aliyeko ziarani hapa nchini. Abdoulaye Diop Waziri wa Mambo ya Nje wa Mali ambaye yuko ziarani hapa nchini kwa minajili ya kukutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa…

Mwamko na vuguvugu la watu wa Bahrain dhidi ya utawala wa Al Khalifa,  kumbukumbu ya miaka 11

Mwamko na vuguvugu la watu wa Bahrain dhidi ya utawala wa Al Khalifa, kumbukumbu ya miaka 11

Februari 14, 2022 inasadifiana na kumbukumbu ya miaka 11 ya mwamko na vuguvugu la watu wa Bahrain dhidi ya utawala wa Al Khalifa.Mchambuzi wa mambo kutoka  Marekani, Graham Fuller ameangazia hali ya Waislamu wa Bahrain na kusema: “Waislamu wa Bahrain ni watu waliosahauliwa.”  Mtazamo huu kuhusu Waislamu wa Bahrain umeonekana waziwazi katika miaka 11 iliyopita. Watu…

Jeshi la Yemeni na Kamati za Wananchi zasonga mbele katika mji uliopokaribu na mpaka wa Harz

Jeshi la Yemeni na Kamati za Wananchi zasonga mbele katika mji uliopokaribu na mpaka wa Harz

Faraan : Vyombo vya habari vya Yemen viliripoti kusongea karibu kwa vikosi vya jeshi la Yemen na Kamati za Wananchi katika mji wa Harz mkoani Hajjah kwenye mpaka wa Saudia. Kwa mujibu wa Shirika la Kimataifa la Habari la Fars, vyanzo vya Yemen viliripoti kukaribia kwa vikosi vya jeshi la Yemen na Kamati za Wananchi…

Nablos: Wapalestima 165 wajeruhiwa na wanajeshi wa Israel

Nablos: Wapalestima 165 wajeruhiwa na wanajeshi wa Israel

Shirika la Hilal Nyekundu la Palestina limeripoti kuwa, Wapalestina wasiopungua 165 wamejeruiwa na wanajeshi makatili wa utawala wa Kizayuni wa Israel mjini Nablos, katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan jana Ijumaa pekee. Kila siku Wazayuni wanaua na kujeruhiwa makumi ya Wapalestina pamoja na kuvunja nyumba zao, kuharibu mashamba yao na kuteka maeneo yao. Mamia…

Utawala wa Kizayuni ulitengua ndege isiyo na rubani katika mpaka wa Lebanon

Utawala wa Kizayuni ulitengua ndege isiyo na rubani katika mpaka wa Lebanon

Vyombo vya habari vya Kizayuni vinathibitisha kuwa wanamapambano wa Kizayuni waliifyatulia kimakosa ndege ya utawala isiyo na rubani kwenye mpaka na Lebanon na kuitengua. Faraan : vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni leo Jumapili vimesema: Jeshi la utawala huo wa Kizayuni lilishambulia kimakosa ndege ya UAV kwenye mpaka wa Lebanon na kuiangusha kutokana na…

Masuala muhimu katika mazungumzo ya “Sayyid Hassan Nasrallah” na Televisheni ya Al-Alam

Masuala muhimu katika mazungumzo ya “Sayyid Hassan Nasrallah” na Televisheni ya Al-Alam

Maneno ya Sayed Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah nchini Lebanon, katika mahojiano na kituo cha televisheni cha Al-Alam siku ya Jumanne, mazungumzo yake yalikuwa mazuri mno kiasi kwamba wale wenye kutafuta ukweli kuhusu maendeleo ya Lebanon na eneo hilo watafaidika zaidi na matamshi hayo. Wasikilizaji wa mahojiano ya “Sayed Hassan Nasrullah” na…