jafari

Iran yaikashifu WSJ ya U.S kwa kuchapisha makala yasiyoridhisha

Iran yaikashifu WSJ ya U.S kwa kuchapisha makala yasiyoridhisha

Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelikosoa vikali gazeti la Kimarekani la Wall Street Journal kwa kuchapisha makala ya kipumbavu na ya kihasama dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, wakati huu wa kuendelea kufanyika mazungumzo ya kuiondolea vikwazo Iran huko Vienna. Taarifa ya Ubalozi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa imesema kuwa, hatua ya gazeti…

Ushindi wa Abu Hawash baada ya kushikwa mateka kwa siku 141 za vita “bila ya chochote tumboni”

Ushindi wa Abu Hawash baada ya kushikwa mateka kwa siku 141 za vita “bila ya chochote tumboni”

Shirika la habari la Palestina lilizungumza na Shirika la Habari la Ma’an kuhusu kesi ya Hisham Abu Hawash, ambaye alikuwa kwenye mgomo wa kula kwa siku 141, ilifungwa baada ya shinikizo kubwa kwa nchi ya Israeli. Shirika hilo lilisisitiza kuwa, makubaliano yalifikiwa kuashiria kwamba Abu Hawash ataachiliwa huru Februari tarehe 26 bila kuongezwa muda na…

Amerika, EU Waonya Wanajeshi Wa Sudan Dhidi Ya Kutwaa Uwaziri Mkuu

Amerika, EU Waonya Wanajeshi Wa Sudan Dhidi Ya Kutwaa Uwaziri Mkuu

AMERIKA, Uingereza, Norway na Umoja wa Ulaya (EU) zimeonya vikali wanajeshi wa Sudan dhidi ya kuteua mwanajeshi kuwa waziri mkuu kufuatia kujiuzulu kwa kiongozi wa kiraia Abdallah Hamdok wiki iliyopita. Mataifa hayo, kupitia taarifa ya pamoja, jana yalisema kuwa hayataunga mkono waziri mpya iwapo atakuwa mwanajeshi. Mataifa hayo yalitoa wito wa kuendelea kwa maandalizi ya…

Aina mpya ya virusi vya corona ya IHU yagunduliwa Ufaransa, inabadilika zaidi kuliko omicron

Aina mpya ya virusi vya corona ya IHU yagunduliwa Ufaransa, inabadilika zaidi kuliko omicron

Wanasayansi nchini Ufaransa wamegundua spishi mpya ya corona ya B.1.640.2 ambayo imepewa jina la IHU, ambayo wanasema inabadilika kwa kasi zaidi kuliko ile ya omicron iliyogunduliwa nchini Afrika Kusini mwezi Novemba mwaka jana. Inasemekana kuwa spishi mpya ya IHU huenda asili yake ikawa nchini Cameroon baada ya watu 12 waliopatikana karibu na mji wa Marseilles wakiwa wameambukizwa…

Irani yaadhimisha mazishi ya mashahidi 250, Kiongozi Muadhamu azungumza

Irani yaadhimisha mazishi ya mashahidi 250, Kiongozi Muadhamu azungumza

Wananchi wa Iran wamejitokeza kwa wingi katika mazishi ya mashahidi wao 250 waliouawa wakati wa vita vya miaka minane vya kujihami kutakatifu vilivyoanzishwa na utawala wa kidikteta wa Saddam wa Iraq dhidi ya dola changa wakati huo la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Mazishi hayo yamefanyika leo Alkhamisi sambamba na kumbukuku ya siku ya kufa…

Jenerali Qaani: Waliomuua Jenerali Qasim Soleimani hawatawahi kuwa katika amani na usalama

Jenerali Qaani: Waliomuua Jenerali Qasim Soleimani hawatawahi kuwa katika amani na usalama

Kamanda wa Kikosi cha Quds cha IRGC alisema:Leo hii, ikiwa kauli mbiu ni kuifikia Quds Tukufu na kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu tutafika, na lengo hili ni lengo lenye uhakika. Na lengo letu kuu katika hatua hii ni kuifikia serikali ya ulimwengu ya Hazrat Mahdi (as) na kufikia uwepo wenye baraka wa Imamu wa Zama,…

Nakhaale: Shahidi Suleimani ni alikua kiongozi wa wanamgambo wa Palestina na mtetezi wa kadhia ya Palestina.

Nakhaale: Shahidi Suleimani ni alikua kiongozi wa wanamgambo wa Palestina na mtetezi wa kadhia ya Palestina.

Ziyad Nakhaaleh, Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihad ya Kiislamu ya Palestina amesema katika maadhimisho ya mwaka wa pili wa kuuawa shahidi Jenerali Haj Qassem Soleimani, Abu Mahdi al-Mohandes na masahaba wengine huko Beirut:Damu ya Shahidi Sulemani ilimwagika kwa sababu yeye ndiye aliyekuwa kikwazo kikubwa kwa siasa za Marekani na utawala wa Kizayuni. Aliongeza kuwa:…

Sheikh Hammoud: Walioanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel wamejitia matatani

Sheikh Hammoud: Walioanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel wamejitia matatani

Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Maulamaa wa Muqawama amesema kuwa, walioanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel wamejitia matatani. Sheikh Maher Hammoud amesifu mchango na nafasi ya mashahidi Qassem Soleimani na Abu Mahdi al-Muhandis katika kukabiliana na njama chafu za Marekani na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel na kueleza kwamba,…