jafari

Walowezi wa Kizayuni wawashambulia Wapalestina Ukingo wa Magharibi mida ya usiku

Walowezi wa Kizayuni wawashambulia Wapalestina Ukingo wa Magharibi mida ya usiku

Makumi ya walowezi wa Kizayuni wamefanya hujuma na mashambulio dhidi ya nyumba za Wapalestina katika kitongoji cha al-Laban kusini mwa mji wa Nablos kaskazini mwa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu. Hujuma na mashambulio hayo ya walowezi wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina ambapo walikuwa wakisaidiwa na kupata himaya ya jeshi la utawala…

Idadi ya wanajeshi watoro yaongezeka katika jeshi la Israeli

Idadi ya wanajeshi watoro yaongezeka katika jeshi la Israeli

Miongoni mwa habari za Israel zimeripoti kuwa idadi ya askari wanaotoroka jeshi la utawala huo inaongezeka kadri siku zinavyokwenda.   Tovuti ya lugha ya Kiebrania ya “Walla” imeripoti kuwa, mwaka huu wa 2021 pekee idadi ya askari wa Isael wanaozungumza lugha y Kiarabu waliotoroka kutokana na kubaguliwa na vilevile wanajeshi wa kawaida wanaotoroka huduma za…

Iran Yalaani Mashambulizi ya Israel dhidi ya Latakia ya Syria

Iran Yalaani Mashambulizi ya Israel dhidi ya Latakia ya Syria

TEHRAN (FNA)- Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imesikitishwa na mashambulizi ya hivi karibuni ya Israel dhidi ya maghala ya chakula na dawa huko Latakia ya Syria, na kuutaja utawala wa Kizayuni kuwa chanzo cha ukosefu wa utulivu katika eneo hilo. Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran Saeed Khatibzadeh mnamo Jumatano…

Baqeri Kani: Hatua kadhaa katika suala la uondoaji vikwazo

Baqeri Kani: Hatua kadhaa katika suala la uondoaji vikwazo

Ali Bagheri Kani, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na ambaye ni kiongozi wa ujumbe wa Iran katika mazungumzo ya nyuklia ya JCPOA amesema; kutokana na mazungumzo ya karibuni mjini Vienna, zimepigwa hatua nzuri katika suala la uondoaji vikwazo. Bw. Kani katika mazungumzo ya Vienna amesema kuwa; katika kipindi…

Kuondolewa vikwazo Iran; siri ya mafanikio ya mazungumzo ya Vienna

Kuondolewa vikwazo Iran; siri ya mafanikio ya mazungumzo ya Vienna

Mazungumzo ya nyuklia ya Iran na kundi la 4+1 linaloundwa na mataifa ya Russia, China, Uingereza, Ufaransa pamoja Ujerumani yaliendelea tena leo huko Vienna Austria maudhui kuu ikiwa ni suala la kuondolewa vikwazo na kutilia mkazo mapendekezo ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusu masuala mawili muhimu, yaani uhakika kwamba vikwazo vimeondolewa na dhamana yake….

Waziri Mkuu wa Lebanon: Hizbullah ina haki ya kufanya shughuli zake sawa kabisa na vyama vingine vya siasa

Waziri Mkuu wa Lebanon: Hizbullah ina haki ya kufanya shughuli zake sawa kabisa na vyama vingine vya siasa

Waziri Mkuu wa Lebanon amesema kuwa harakati ya Hizbullah iko sawa kabisa na vyama vingine vya siasa vya nchini humo kwa kuwa ni chama cha siasa. Akizungumza leo katika mkutano uliofanyika ikulu ya Waziri Mkuu, Najib Miqati Waziri Mkuu wa Lebanon amebainisha kuwa Lebanon inakabiliwa na matatizo na vitisho vingi na vikubwa; na hakuna njia…

Wanawake Afghanistan wapigwa marufuku kwenda safari ndefu bila wanaume

Wanawake Afghanistan wapigwa marufuku kwenda safari ndefu bila wanaume

Maagizo hayo yametolewa siku ya Jumapili chini ya utawala wa Taliban ambapo shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights limesema marufuku hiyo inawafanya wanawake kujihisi kama wafungwa. Taliban imesema wanawake wa Afghanistan wanaotaka kusafiri umbali mrefu kwa barabara wanapaswa kupatiwa usafiri ikiwa tu wataandamana na ndugu zao wa kiume. . Maagizo hayo, yametolewa…

Shirika la Iran Khodro laanza tena kuunda magari Afrika

Shirika la Iran Khodro laanza tena kuunda magari Afrika

Shirika la Iran Khodro, ambalo ndilo shirika kubwa zaidi la kuunda magari Asia Magharibi, limetangaza kufungua tena kiwanda chake cha kuunda magari nchini Senegal. Shirika hilo la Iran litaanza kuunda magari aina ya Samand katika mji wa Thies, ambao ni wa pili kwa ukubwa Senegal na uko mbali wa kilimota 70 kutoka mji mkuu, Dakar….