jafari

Iran yasikitishwa na mauaji yaliyofanywa na magaidi Burkina Faso

Iran yasikitishwa na mauaji yaliyofanywa na magaidi Burkina Faso

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametangaza kufungamana na familia za raia wa Burkina Faso ambao waliuawa katika hujuma ya kigaidi hivi karibuni. Katika taarifa leo Jumatatu, Saeed Khatibzadeh Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amebainisha masikitiko yake makubwa kutokana na kupoteza maisha raia wa Burkina Faso katika hujuma…

Rais wa Somalia amfuta kazi Waziri Mkuu wake, mzozo wapamba moto

Rais wa Somalia amfuta kazi Waziri Mkuu wake, mzozo wapamba moto

Rais wa Somalia amemfuta kazi Waziri Mkuu wake wakati huu wa kuendelea uchaguzi wa bunge na hivyo kuzusha mzozo mpya wa kisiasa katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika. Vyombo vya habari vimeripoti habari hiyo na kusema kuwa, Rais Mohamed Abdullahi Farmaajo alichukua hatua hiyo jana Jumapili akimtuhumu Waziri Mkuu Mohamed Hussein Roble kuwa anahusika…

Jeshi la Yemen: Mkoa wa al Jawf umeshakombolewa kikamilifu

Jeshi la Yemen: Mkoa wa al Jawf umeshakombolewa kikamilifu

Msemaji wa Jeshi la Yemen amesema kuwa, mkoa wa al Jawf wa nchi hiyo umeshakombolewa kikamilifu kilichobakia ni mabaki ya hapa na pale tu ya wavamizi na mamluki wao. Brigedia Jenerali Yahya Saree amesema hayo na kuongeza kuwa, vikosi vya ulinzi vya Yemen vimeendesha operesheni ya Fajr al Swahra (Mapambazuko ya Jangwani) na kufanikiwa kukomboa…

Rais wa Lebanon Aoun atoa wito wa kufanyika kwa mazungumzo ‘ya dharura’ ya kitaifa

Rais wa Lebanon Aoun atoa wito wa kufanyika kwa mazungumzo ‘ya dharura’ ya kitaifa

Beirut, Lebanon – Rais wa Lebanon Michel Aoun ametoa wito wa kufanyika kwa mazungumzo ya “haraka” ya kitaifa kati ya vyama tawala vya nchi hiyo huku akilaani miezi kadhaa ya kupooza kisiasa serikalini. “Uvurugaji wa kimakusudi, wa kimfumo na usio na msingi unaosababisha kuvunjika kwa taasisi na serikali lazima ukome,” Aoun alisema katika hotuba ya…

Kwa nini Marekani inaisaidia israeli?

Kwa nini Marekani inaisaidia israeli?

Hivi karibuni mbunge wa chama cha Democrat katika Baraza la Wawakilishi la Marekani mwenye asili ya Somalia, Ilhan Omari aliomba radhi baada ya kutoa matamshi yaliyotafsiriwa na watu wengi kuwa ni ya chuki dhidi ya Wayahudi. Mwakilishi huyo alihusisha kamati ya masuala ya umma ya Marekani na Israel (AIPAC) kuwa inatumia pesa kuwahonga wanasiasa wa…

UTATA MASHARIKI YA KATI: Tahadhari yatolewa kwa Tanzania mgogoro wa Marekani, Iran

UTATA MASHARIKI YA KATI: Tahadhari yatolewa kwa Tanzania mgogoro wa Marekani, Iran

Mzozo huo umetokana na mpango wa nchi ya Iran wa kuzalisha nyuklia ikisema ni kwa ajili ya umeme, huku Marekani ikidai kuwa nchi hiyo ina mpango wa siri wa kutengeneza silaha za nyuklia. Kutokana na hofu hiyo, nchi za Marekani, Uingereza, Ufaransa, Ujerumani na China zilikubaliana kuiwekea vikwazo Iran iwapo itaendelea na mpango huo.Mwaka 2015…

VITA VYA SIKU SITA: Marekani yakumbana na Urusi vita vya Israel

VITA VYA SIKU SITA: Marekani yakumbana na Urusi vita vya Israel

Katika toleo lililopita tulisimulia jinsi Serikali ya Marekani ilivyopata habari kuwa vita imezuka katika Mashariki ya Kati ikiwahusisha Israel na baadhi ya mataifa ya Kiarabu, ilianza kufuatilia kwa karibu kila habari iliyotoka Mashariki ya Kati. Waliokutana kujadili kwa kina vita hivyo ni Rais wa Marekani, Lyndon Johnson (1963–1969); mshauri wake wa masuala ya usalama, Walt…

Mgongano kati ya demokrasia na utambulisho wa Israeli

Mgongano kati ya demokrasia na utambulisho wa Israeli

Kuieleza Israeli kama nchi ya Kiyahudi na ya kidemokrasia kuna maana gani? Je, ufafanuzi huo unaweza kuathiri vipi katiba? Je, jambo hili lina mchango gani katika maisha ya kila siku ya watu wa Israeli? Mazen Marseille anajaribu kujibu maswali haya katika kitabu chake; ” Kunyimwa Nguvu za Kikatiba: Israeli kama Jimbo la Kiyahudi na Kidemokrasia”.