jafari

Je, Wachaga wana asili ya Uyahudi?

Je, Wachaga wana asili ya Uyahudi?

Wakati fulani Wachaga walinasibishwa na Uyahudi. Ilidaiwa kuwa kabila hilo lina nasaba na Wayahudi wa Ethiopia. Hata hivyo, kabila hilo linalopatikana kaskazini mwa Tanzania, linaelezwa kuwa limetokana na mchanganyiko wa wahamaji kutoka makabila mbalimmbali wakiwamo Wakamba, Wataita, Wamasai na Wasambaa. Miongoni mwa waliofanya utafiti na kuandika kuhusu hili ni aliyekuwa mhadhiri wa historia katika Chuo…

Tanzania yatangaza miradi ya kimkakati maonyesho Dubai

Tanzania yatangaza miradi ya kimkakati maonyesho Dubai

Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dotto James amesema Tanzania inatangaza miradi mikubwa ya kimkakati katika maonyesho ya kimataifa yanayofanyika Dubai katika Falme za Kiarabu (UAE). James ameyasema hayo leo Jumanne Oktoba 26 jijini Dar es Salaam wakati akitoa mrejesho wa ziara yake huko Dubai ambako alikwenda kuangalia ushiriki wa Tanzania…

Shirika la Umoja wa Mataifa linaunga mkono mipango ya Iran kuhifadhi wakimbizi nchini humo

Shirika la Umoja wa Mataifa linaunga mkono mipango ya Iran kuhifadhi wakimbizi nchini humo

Faraan: UNHCR, Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, limesema kuwa linakaribisha mchango wa Uingereza wa GBP milioni 2 (sawa na kiwango cha Dola milioni 2.7) ili kulinda na kuwasaidia Waafghanistan wanaokimbilia Iran kwa ajili ya kutafuta usalama. Mchango wa Uingereza utaenda katika ununuzi wa vitu vya msingi kama vile vyakula, mahema, blanketi na…

Hivi ndivyo Wayemeni walivyomuaga balozi wa kibinadamu, Bw Hassan Irloo

Hivi ndivyo Wayemeni walivyomuaga balozi wa kibinadamu, Bw Hassan Irloo

Wanamitandao kutoka nchini Yemen waliomboleza kifo cha balozi wa Iran nchini Yemen kutokana na hali yake kudhoofika baada ya kupata virusi vya Corona., wakimwita “balozi wa amani” na “balozi wa kibinadamu,” walisisitiza kuwa yeye ndiye balozi pekee aliyevunja uhusiano mbaya uliopo dhidi ya Yemen. Naye Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Bw….

Makampuni ya usalama ya kibinafsi na kuongezeka kwa nguvu za Kizayuni

Makampuni ya usalama ya kibinafsi na kuongezeka kwa nguvu za Kizayuni

Jambo muhimu ni kwamba makampuni hayo katika mashauriano yao yanaelekeza mwajiri anayetakiwa katika serikali za Marekani, Uingereza, Ufaransa na utawala wa Kizayuni pamoja na masuluhisho yao yaliyopendekezwa; Na hii ina maana ya kuongezeka kwa nguvu za Kizayuni.

Hamas na Jihad Islami: Ushirikiano wa Mamlaka ya Ndani na Tel Aviv hautadhoofisha mapambano ya Wapalestina

Hamas na Jihad Islami: Ushirikiano wa Mamlaka ya Ndani na Tel Aviv hautadhoofisha mapambano ya Wapalestina

Harakati za Hamas na Jihad Islami zimetoa taarifa ya pamoja zikitaka kusitishwa mara moja hatua za taasisi za usalama za Mamlaka ya Ndani dhidi ya taifa la Palestina na mateka walioachiwa huru kutoka kwenye korokoro za Israel. Faraan: Taarifa ya pamoja ya Hamas na Jihad Islami iliyotolewa leo Jumatano imetoa salamu za rambirambi kutokana na…

Kufa shahidi Balozi wa Iran nchini Yemen na ukubwa wa jinai ya mzingiro iliowekewa nchi hiyo na utawala wa Aal Saud

Kufa shahidi Balozi wa Iran nchini Yemen na ukubwa wa jinai ya mzingiro iliowekewa nchi hiyo na utawala wa Aal Saud

Kufa shahidi Hasan Irlu, balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini Sana’a kumedhihirisha ukubwa wa jinai zinazofanywa na utawala wa Aal Saud nchini humo. Faraan: Takriban miaka saba imepita tangu muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia ulipoanzisha vita dhidi ya Yemen; na zaidi ya miaka mitano tangu Saudia ilipoiwekea mzingiro Yemen na…

Waziri Mkuu wa Sudan kutangaza kujiuzulu katika masaa machache yajayo

Waziri Mkuu wa Sudan kutangaza kujiuzulu katika masaa machache yajayo

Duru za karibu na Waziri Mkuu wa Sudan Abdallah Hamdok zimetangaza kwamba waziri mkuu huyo atatangaza kujiuzulu katika kipindi cha masaa machache yajayo. Faraan: Vyombo mbalimbali vya habari vimeripoti habari hiyo na kuzinukuu duru mbili zilizoko karibu na Hamdok zikisema kuwa, waziri mkuu huyo wa Sudan atatangaza kujizulu masaa machache yajayo. Hamdok alirejea madarakani tarehe…