jafari

Mufti wa Palestina amlaani mbunge wa Marekani aliyependekeza Msikiti wa Al Aqsa uvunjwe

Mufti wa Palestina amlaani mbunge wa Marekani aliyependekeza Msikiti wa Al Aqsa uvunjwe

Mufti wa Mji wa Quds (Jerusalem) na Palestina amelaani vikali matamshi ya mbunge mmoja nchini Marekani ambaye ametaka Msikiti wa Al Aqsa mjini Quds uvunjwe. Faraan: Sheikh Muhammad Hussein amelaani matamshi ya kibaguzi ya Paul Gosar, mjumbe katika Baraza la Wawakilishi la Marekani ambaye ameutaka Umoja wa Mataifa uchukue hatua za kuuvunja Msikiti wa Al…

Mgogoro wa kibinadamu ambao haujawahi kushuhudiwa nchini Afghanistan

Mgogoro wa kibinadamu ambao haujawahi kushuhudiwa nchini Afghanistan

Afisa mmoja wa Shirika la Mpango wa Chakula la Umoja wa Mataifa (WFP) amesema kuwa, mgogoro wa kibinadamu nchini Afghanistan ni wa aina yake na haujawahi kushuhudiwa. Faraan: Mary-Ellen McGroarty, Mkurugenzi wa Shirika la Mpango wa Chakula la Umoja wa Mataifa (WFP) nchini Afghanistan anasema kuwa, katika kipindi cha miaka 20 ya shughuli zake na…

Magaidi 100 wa Al Qaida wauawa katika mpaka wa Burkina Faso na Mali

Mamluki 100 wenye mfungamano na kundi la kigaidi la al Qaida wameuawa katika oparesheni za pamoja kati ya Burkina Faso na Niger katika mpaka wa nchi mbili hizo. Faraan: Jeshi la Burkina Faso jana usiku lilitangaza kuwa magaidi hao waliuawa katika oparesheni za pamoja ya nchi mbili hizo kuanzia Novemba 25 hadi tarehe 9 mwezi…

Yemen: Tunataka kuwa na uhusiano wa kirafiki na nchi zote isipokuwa utawala wa Kizayuni

Yemen: Tunataka kuwa na uhusiano wa kirafiki na nchi zote isipokuwa utawala wa Kizayuni

Mkuu wa Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen amesema, “sisi tukiwa ndio serikali na utawala wa Yemen tunataka kuwa na uhusiano mzuri na nchi zote isipokuwa utawala wa Kizayuni.” Faraan: Mahdi al Mashat ameeleza kuwa, Sana’a inataka kuanzisha uhusiano wa kirafiki na nchi zingine zote duniani isipokuwa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kwa msingi…

Tunalaani tukio la Ugaidi nchini Kenya – Baraza la Usalama

Tunalaani tukio la Ugaidi nchini Kenya – Baraza la Usalama

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa hii leo mjini New York Marekani limelaani vikali shambulizi la kigaidi lililotekelezwa jana tarehe 15 Januari mjini Nairobi Kenya na kusababisha vifo vya watu 14 na majeruhi. Faraan: Kupitia taarifa yao waliyotoa leo, wanachama wa baraza hilo wameeleza masikitiko na kutuma salamu za rambirambi kwa waathirika na familia…

HAMAS yawahimiza Wapalestina wote kuuhami msikiti wa Al Aqsa na njama chafu za Wazayuni

HAMAS yawahimiza Wapalestina wote kuuhami msikiti wa Al Aqsa na njama chafu za Wazayuni

Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imewatolea mwito Wapalestina wote wanaoishi katika ardhi zilizoanza kukaliwa kwa mabavu mwaka 1948 na wa mji mtakatifu wa Quds wajitokeze kila mara na kwa wingi katika msikiti wa Al Aqsa ili kukihami kibla hicho cha kwanza cha Waislamu na njama chafu za adui Mzayuni. Faraan: Hamas imesisitiza…

Jihad Islami: Kuanzisha uhusiano na adui Mzayuni ni khiyana na usaliti kwa Palestina

Jihad Islami: Kuanzisha uhusiano na adui Mzayuni ni khiyana na usaliti kwa Palestina

Harakati ya Jihad Islami ya Palestina imelaani vikali kitendo cha viongozi wa Imarati cha kumpokea nchini humo Naftali Bennett, Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel na kueleza kwamba, hiyo ni khiyana na usaliti kwa taifa la Palestina. Faran: Naftali Bennett, Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel ambaye jana usiku aliwasili huko Imarati, leo…

Skuli ya Sheria ya Chuo Kikuu cha New York yaususia utawala wa Kizayuni

Skuli ya Sheria ya Chuo Kikuu cha New York yaususia utawala wa Kizayuni

Baraza la Wanachuo wa Shule ya Sheria ya Chuo Kikuu cha New York nchini Marekani limetangaza rasmi kuiunga mkono Harakati ya Vikwazo na Kuususia Utawala ghasibu wa Israel (BDS). Faraan: Wanachama wa Baraza hilo la Chuo Kikuu cha New York Marekani wamepiga kura zao zote na kuituhumu Israel kuwa inazikalia kwa mabavu na kuzikoloni ardhi…