jafari

Maandamano ya kupinga safari ya waziri wa vita wa Israel yashamiri nchini Morocco

Maandamano ya kupinga safari ya waziri wa vita wa Israel yashamiri nchini Morocco

Maandamano ya kupinga safari ya waziri wa vita wa Israel nchini Morocco yamesambaa zaidi katika miji mbalimbali ya nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika. Faraan: Wananchi wa Morocco katika miji mbalimbali ya nchi hiyo ukiwemo mji mkuu, Rabat, wamefanya maandamano wakipinga safari ilioyofanywa nchini humo na waziri wa vita wa utawala haramu wa Israel, Benny…

Rais wa Algeria: Nchi za Kiarabu zinapaswa kulisaidia taifa la Palestina dhidi ya utawala haramu wa Israel

Rais wa Algeria: Nchi za Kiarabu zinapaswa kulisaidia taifa la Palestina dhidi ya utawala haramu wa Israel

Rais wa Algeria amesisitiza udharura wa nchi za Kiarabu kushirikiana kwa ajili ya kusaidia mapambano ya ukombozi ya wananchi wa Palestina dhidi ya utawala vamizi na ghasibu wa Israel. Faraan: Abdelmadjid Tebboune ameyasema hayo katika mazungumzo yake na Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Mahmoud Abbas aliyeko safari nchini Algeria ambako ametangaza msaada wa…

Jeshi la serikali ya Ethiopia lakomboa miji 3 ya kimkakati katika mapigano na waasi wa Tigray

Jeshi la serikali ya Ethiopia lakomboa miji 3 ya kimkakati katika mapigano na waasi wa Tigray

Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed asema kwamba vikosi vya nchi yake vimedhibiti tena udhibiti miji 3 ya kimkakati katika eneo la kaskazini la Amhara iliyokuwa mikononi mwa kundi la Tigray People’s Liberation Front. Faraan: Waziri Mkuu wa Ethiopia amesema kuwa vikosi vya serikali vimefanikiwa kuteka tena miji ya kimkakati ya Disi, Kombolcha na Bati…

Watu 50 wauawa katika machafuko ya Darfur, Sudan

Watu 50 wauawa katika machafuko ya Darfur, Sudan

Watu 50 wameripotiwa kuuawa katika ghasia na machafuko yaliyotokea baina ya makabila hasimu katika jimbo la Darfur huko magharibi mwa Sudan. Faraan: Mapigano hayo yaliyosababisha vifo vya watu wasiopungua 50 yametokea katika eneo la Krink umbali wa kilomita 75 kutoka mji wa El Geneina huko Darfur Magharibi. Ripoti zinasema eneo hilo la Krink limekumbwa na…

Holocaust ni sababu ya kuhalalisha utawala wa Kizayuni

Holocaust ni sababu ya kuhalalisha utawala wa Kizayuni

Sehemu ya Holocaust katika utambulisho wa kihistoria ya utawala unaoukalia kimabavu huko Jerusalem ilikua kubwa sana kiasi kwamba ilibadilika na kuwa alama ya kuidhinisha au kukataa utawala huu na kwa nchi zilizounga mkono utawala huo dhalimu, zilianishiwa adhabu ya kupinga sheria hiyo.

HAMAS yapongeza hatua ya Kuwait ya kuzipiga marufuku meli za Israel

HAMAS yapongeza hatua ya Kuwait ya kuzipiga marufuku meli za Israel

Harakati ya Mapambano ya Palestina (HAMAS) imepongeza na kukaribisha kwa mikono miwili hatua ya serikali ya Kuwait ya kuzipiga marufuku meli za kibiashara zinazobeba bidhaa za utawala wa Kizayuni wa Israel kutia nanga katika bandari za nchi hiyo. Faraan: Msemaji wa HAMAS, Hisham Qasim amesema katika taarifa kuwa, uamuzi huo ni sehemu ya utekelezaji wa…

HAMAS: ‘Maandamano ya Bendera’ ya Wazayuni hayawezi kubadilisha utambulisho wa Palestina

HAMAS: ‘Maandamano ya Bendera’ ya Wazayuni hayawezi kubadilisha utambulisho wa Palestina

Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza kuwa, maandamano ya Wazayuni wakiwa wamebeba bendera za utawala haramu wa Israel hayawezi kubadilisha utambulisho wa Kiarabu na Kipalestina wa ardhi hizo na wakazi asili wa ardhi hizo. Faraan: Hazim Qassim, msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema hayo katika…

Jenerali anayependa kufanya mapinduzi ya kijeshi Sudan ajipendekeza tena kwa Wazayuni

Jenerali anayependa kufanya mapinduzi ya kijeshi Sudan ajipendekeza tena kwa Wazayuni

Abdul Fattah al Burhan, jenerali anayependa kufanya mapinduzi ya kijeshi nchini Sudan, kwa mara nyingine ameunga mkono kuanzishwa uhusiano wa kawaida baina ya nchi hiyo na utawala dhalimu wa Kizayuni. Faraan: Jenerali al Burhan amesema katika mahojiano aliyofanyiwa na televisheni ya al Arabia ya Saudi Arabia kwamba, utawala wa Kizayuni wa Israel eti ni nchi…