jafari

Jihad al-Islami: Kuanzisha uhusiano na Israel ni kutoa huduma ya bure kwa Wazayuni

Jihad al-Islami: Kuanzisha uhusiano na Israel ni kutoa huduma ya bure kwa Wazayuni

Harakati ya Jihad al-Islami ya Palestina imetangaza kuwa, kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ni kutoa huduma ya bure kwa Wazayuni magharsibu. Faraan: Hayo yameelezwa na Dawud Shihab mmoja wa viongozi wa Harakati ya Jihad al-Islami ya Palestina ambaye amesisitiza kuwa, hivi sasa katika eneo la Quds Mashariki linalokaliwa kwa…

Ismail Hania: Marekani siyo ‘polisi wa dunia’, itaendelea kuchezea ‘vipigo’

Ismail Hania: Marekani siyo ‘polisi wa dunia’, itaendelea kuchezea ‘vipigo’

Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, Marekani siyo ‘polisi wa dunia’ na kwamba, kuondoka Marekani nhuko Afghanistan kutafuatiwa na kuondola taifa hilo katika maeneo mengine. Faraan: Ismail Hania amebainisha kuwa, Marekani na waitifaki wake kinara wao ukiwa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel wamedhoofika mno…

HAMAS: Mabunge ya Kiarabu na Kiislamu yazuie kuanzishwa uhusiano wa kawaida na Israel

HAMAS: Mabunge ya Kiarabu na Kiislamu yazuie kuanzishwa uhusiano wa kawaida na Israel

Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imeyataka mabunge ya mataifa ya Kiarabu na Kiislamu yasimame kidete na kuzizuia serikali zao kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel. Faraan: Khalil al-Hayya, Mkuu wa Ofisi ya Mahusiano ya Kiarabu na Kiislamu ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema…

Moncef Marzouki: Kuiingiza Israel katika mzozo baina ya Algeria na Morocco ni mchezo mchafu

Moncef Marzouki: Kuiingiza Israel katika mzozo baina ya Algeria na Morocco ni mchezo mchafu

Moncef Marzouki, rais wa zamani wa Tunisia amekosoa vikali hati ya makubaliano ya kuanzisha uhusiano wa kawaida baina ya Morocco na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel na kueleza kwamba, hilo lilikuwa ni kosa. Faraan: Moncef Marzouki ameashiria mzozo na mvutano uliopo hivi sasa baina ya Algeria na Morocco na kuelezwa kwamba, kuingizwa utawala haramu…

Makumi ya watu watekwa nyara jirani na Cabo Delgado nchini Msumbiji

Makumi ya watu watekwa nyara jirani na Cabo Delgado nchini Msumbiji

Watu wenye silaha wamewateka nyara zaidi ya vijana 100 kutoka kijiji cha Naulala katika Mkoa wa Niassa kaskazini mwa Msumbiji. Mji wa Niassa unapakana na jimbo la Cabo Delgado nchini Msumbiji ambalo limekuwa katikak vita na makundi ya wanamgambo tangu Oktoba 2017. Taarifa zaidi zinasema kuwa, kundi la watu wenye silaha limewateka nyara vijana zaidi…

Umaskini na kuzorota kwa maisha ya Waarabu katika jamii ya Kizayuni

Umaskini na kuzorota kwa maisha ya Waarabu katika jamii ya Kizayuni

Shirika la Usalama wa Jamii la Israeli lilitoa ripoti mwezi Desemba mwaka jana ya kwamba asilimia Hamsini na Tatu nukta Tatu (53.3%) ya Waarabu wanaoishi katika maeneo yaliyomilikiwa kimabavu wako chini ya mstari wa umaskini. Kwa mujibu wa takwimu hizi, asilimia Ishirini (20%) ya Wayahudi wanaoishi katika maeneo ya Palestina yanayomilkiwa kimabavu na utawala wa Israeli, pia vilevile wako chini ya mstari wa umaskini.

Shambulio jipya la waasi laua watu 33 Jamhuri ya Afrika ya Kati

Shambulio jipya la waasi laua watu 33 Jamhuri ya Afrika ya Kati

Watu wapatao 33, wakiwemo wanajeshi wawili, wameuawa katika mashambulizi yaliyofanywa kwa wakati mmoja na watu wenye silaha wanaoshukiwa kuwa waasi wa kundi liitwalo 3R katika vijiji viwili vilivyoko kaskazini magharibi mwa mkoa wa Ouham-Pendé, nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati. Faraan: Vyombo vya habari nchini humo vimeripoti kuwa hiyo ni idadi kubwa zaidi ya watu…

Kiongozi: Wanaojidai watetezi wa haki za binadamu duniani walitoa msukumo kwa jinai za Saddam

Kiongozi: Wanaojidai watetezi wa haki za binadamu duniani walitoa msukumo kwa jinai za Saddam

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria jinai zilizofanywa na dikteta wa Iraq Saddam dhidi ya watu wa Iran na akasema: Saddam alikuwa akifanya jinai hizo kwa msukumo na uungaji mkono wa wanaojigamba kuwa watetezi wa haki za binadamu duniani. Faraan: Tovuti ya habari ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, leo imetoa matini ya…