jafari

Watu 29, wakiwemo watoto, wapoteza maisha katika ajali ya boti Nigeria

Watu 29, wakiwemo watoto, wapoteza maisha katika ajali ya boti Nigeria

Watu 29, wengi wakiwa ni watoto, wamepoteza maisha baada ya boti yao kuzama Nigeria katika Mto Bagwai jimboni Kano kaskazini magharibi mwa nchi hiyo. Msemaji wa kitengo cha zimamoto jimboni Kano Saminu Abdullahi amesema ajali hiyo ilitokea Jumanne usiku. Akizungumza Jumatano, Abdullahi amesema wamepata miili 29 na kuwaokoa abiria saba huku jitihada zikiendelea kwa ajili…

Al-Shabaab yashambulia askari wa Ethiopia, uwanja wa ndege Somalia

Al-Shabaab yashambulia askari wa Ethiopia, uwanja wa ndege Somalia

Kundi la kigaidi la al-Shabaab limeshambulia uwanja wa ndege na kambi ya kijeshi ya askari wa Ethiopia katika mji wa Baidoa, ulioko kusini magharibi mwa mji mkuu wa Somalia, Mogadishu. Faraan: Duru za kiusalama zinaarifu kuwa, kwa akali askari mmoja ameuawa katika shambulio la kwanza lililolenga kambi ya jeshi la Ethiopia katika eneo la Suuqa…

Syria: Tunaunga mkono kuundwa nchi huru ya Palestina mji wake mkuu ukiwa ni Beitul-Muqaddas

Syria: Tunaunga mkono kuundwa nchi huru ya Palestina mji wake mkuu ukiwa ni Beitul-Muqaddas

Serikali ya Syria kwa mara nyingine tena imesisiitiza kuwa, inaunga mkono kuundwa nchi huru ya Palestina mji wake mkuu ukiwa ni Beitul-Muqaddas. Faraan: Sisitizo hilo limetolewa na Faisal Miqdad, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Syria katika ujumbe wake kwa masaba wa tarehe 29 Novemba ambayo ni Siku ya Kimataifa ya Kuonesha Mshikamano na Taifa…

Al Houthi: Maadui wanalenga kuitawala Yemen kupitia kuibua mifarakano

Al Houthi: Maadui wanalenga kuitawala Yemen kupitia kuibua mifarakano

Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen ameonya kuhusu njama za maadui za kuibua fitina na mifarakano kwa lengo la kueneza satwa yao katika nchi hiyo. Faraan: Amesisitiza kuwa, muungano wa kivita unaoongozwa na Saudia dhidi ya Yemen unaendelea kutekeleza jinai hasa katika mji wa bandarani wa Hudaydah magharibi mwa nchi hiyo. Sayyid Abdul Malik…

OIC yamlaani rais wa Israel kwa kuingia Msikiti wa Ibrahim AS kinyume cha sheria

OIC yamlaani rais wa Israel kwa kuingia Msikiti wa Ibrahim AS kinyume cha sheria

Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imelaani hatua ya Rais Isaac Herzog wa utawala wa Kizayuni wa Israel kuingia kinyume cha sheria katika Msikiti wa Nabii Ibrahim AS katika mji wa Al Khalil au Hebron kusini mwa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan. Faraan: Katika taarifa Jumatatu usiku, OIC imesema: “Kitendo hicho kimefanyika katika fremu…

Israel imewasababishia Wapalestina hasara ya dola bilioni 57 katika Ukingo wa Magharibi

Israel imewasababishia Wapalestina hasara ya dola bilioni 57 katika Ukingo wa Magharibi

Shirika la Umoja wa Mataifa la Biashara na Maendeleo UNCTAD limechapisha ripoti inayoonyesha kuwa sera za ukaliaji mabavu za utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan zimesababisha hasara ya kiuchumi ya zaidi ya dola bilioni 57 kwa taifa la Palestina katika kipindi cha miongo miwili iliyopita. Faraan: Katika miongo miwili…

Kuendelea maandamano ya Wasudan mjini Khartoum

Kuendelea maandamano ya Wasudan mjini Khartoum

Wananchi wa Sudan wanaendelea kufanya maandamano kulalamikia mapatano ya kisiasa yaliyofikiwa nchini humo pamoja na kutaka serikali ya kiraia iundwe haraka nchini. Kamati za mapambano na vyama vya wafanyakazi vimeitisha maandamano makubwa leo Jumanne kwa ajili ya kufuatiliwa matakwa ya wananchi kutoka kwa serikali inayodhibitiwa na wanajeshi. Wakati huo huo, Stephane Dujarric, Msemaji wa Antonio…

Kushtadi mgogoro wa Ethiopia; indhari ya hatari ya kugawanywa nchi na kudhibitiwa mji mkuu

Kushtadi mgogoro wa Ethiopia; indhari ya hatari ya kugawanywa nchi na kudhibitiwa mji mkuu

Mgogoro wa Ethiopia umechukua wigo mpana zaidi kiasi kwamba, akthari ya weledi wa mambo wa mambo wanatahadharisha juu ya uwezekano wa kutekwa na kuangukia mikononi mwa waasi mji mkuu Addis Ababa na kuenea vita vya ndani katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika. Machafuko na mapigano yalianzia katika jimbo la Tigray la kaskazini mwa Ethiopia….