jafari

Waziri wa Ethiopia autaja ubalozi wa Marekani nchini humo kuwa wa ‘kigaidi’

Waziri wa Ethiopia autaja ubalozi wa Marekani nchini humo kuwa wa ‘kigaidi’

Waziri mmoja nchini Ethiopia ameutaja Ubalozi wa Marekani nchini Ethiopia kuwa ni wa ‘kigaidi’ na kwamba haupaswi kuwa nchini humo. Faraan: Taye Dendea Aredo, Waziri wa Nchi wa Ethiopia, ameutuhumu ubalozi wa Marekani uliopo mjini Addis Ababa kuwa unachochea ghasia na kuhimiza ugaidi. Ameandika ujumbe huo katika ukurasa wake wa Facebook na kusisitiza kuwa haandiki…

Maandamano Morocco kupinga uhusiano na Israel

Maandamano Morocco kupinga uhusiano na Israel

Wananchi wa Morocco wameandamana kupinga hatua ya utawala wa nchi yao kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel. Faraan: Maandamano hayo yalifanyika Jumapili katika miji 27 kote Morocco kwa mnasaba wa tarehe 29 Novemba ambayo huadhimishwa kote duniani kama Siku ya Kimataifa ya Kuonesha Mshikamano na Taifa la Palestina. Maandamano hayo yaliandaliwa…

Algeria: Tutaendelea kuiunga mkono Palestina hadi ijikomboe kutokana na uvamizi

Algeria: Tutaendelea kuiunga mkono Palestina hadi ijikomboe kutokana na uvamizi

Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Algeria ametangaza kuwa, nchi yake itaendelea kuliunga mkono taifa madhulumu la Palestina hadi pale litakapojikomboa kutoka katika ukoloni na uvamizi. Faraan: Ramtane Lamamra amesisitiiza kuwa, wananchi wa Algeria wataendelea kuwaunga mkono wananchi wa Palestina ambao nao kama walivyo watu wengine wana haki ya kujikomboa kunako ukoloni na uvamiz unaowakandamiza….

Guterres: Hali ya mambo katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu Palestina inatishia amani

Guterres: Hali ya mambo katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu Palestina inatishia amani

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa, hali ya mambo katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu huko Palestina ni tishio kwa amani na uthabiti wa kiimataiifa. Antonio Guterres amesema hayo leo kwa mnasaba wa Siku ya Kimataiifa ya Kufungamana na Wananchi wa Palestina ambapo sambamba na kuashiria uvamizi wa Israel huko Palestina amebainisha kwamba, hali…

Hania: Kuachiwa huru mateka wa Kipalestina ni kipaumbele

Hania: Kuachiwa huru mateka wa Kipalestina ni kipaumbele

Ismail Hania Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kuwa moja ya daghadagha za harakati hiyo ni suala la kuachiwa huru mateka wa Kipalestina. Faraan: Akihutubia mkutano wa uungaji mkono wa Waarabu kwa mateka wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika jela za utawala wa Kizayuni, Hania amesema: “tunawatangazia mateka…

Onyo la HAMAS kwa rais wa utawala haramu wa Israel

Onyo la HAMAS kwa rais wa utawala haramu wa Israel

Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imetahadharisha kuhusu matokeo mabaya ya mpango wa Rais wa utawala wa Kizayuni wa Israel, Isaac Herzog wa kuutembelea Mstikiti wa Ibrahim kusini magharibi mwa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu. Faraan: Ofisi ya Herzog ilitangaza Ijumaa kuwa, rais huyo wa utawala haramu…

Umoja wa Maulamaa Waislamu: Ni haramu kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni

Umoja wa Maulamaa Waislamu: Ni haramu kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni

Umoja wa Kimataifa wa Maulamaa Waislamu umelaani hatua ya baadhi ya nchi za Kiarabu ya kuanzisha muungano na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel na kusaini mikataba ya mapatano na utawala huo ghasibu. Gazeti la al Quds al Araby limeripoti kuwa, Umoja wa Maulamaa Waislamu umetoa taarifa na kueleza kwamba miungano na hatua za kivitendo…

HAMAS yaanzisha kampeni kubwa ya uhamasishaji kukabiliana na hatua ya Uingereza dhidi yake

HAMAS yaanzisha kampeni kubwa ya uhamasishaji kukabiliana na hatua ya Uingereza dhidi yake

Al-Nunu ameongeza kuwa, Magharibi imebaini kuwa muqawama wa Palestina ukiongozwa na Hamas umepiga hatua katika kupata uungaji mkono kimatiafa, wakati utawala wa Kizayuni unashindwa kupata uhalali wa kisiasa kutokana na hatua zake za hivi karibuni. Mshauri huyo wa mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina, amebainisha kuwa harakati hiyo haitabadili misimamo…