jafari

Ushawishi wa Uzayuni kwenye vyombo vya habari

Ushawishi wa Uzayuni kwenye vyombo vya habari

Joseph Pulitzer ni mmoja wa waanzilishi mashuhuri wa Kiyahudi wa vyombo vya habari vya kisasa vya Amerika. Alizaliwa katika familia ya Kiyahudi huko nchini Hungaria, na baada ya kuhamia Marekani mnamo mwaka wa 1878 alichapisha jarida kwa jina la St. Louis Post Dispatch na mnamo mwaka wa 1883 alinunua gazeti maarufu la Marekani la wakati…

UN: Ethiopia inakaribia kutumbukia katika vita kubwa ya wenyewe kwa wenyewe

UN: Ethiopia inakaribia kutumbukia katika vita kubwa ya wenyewe kwa wenyewe

Mkuu wa Idara ya Siasa ya Umoja wa Mataifa, Rosemary DiCarlo amesema hatari ya Ethiopia kuingia katika vita vya wenyewe kwa wenyewe ni kubwa mno”, akiongeza kuwa athari za kisiasa za kushadidi ghasia nchini humo zitazidisha migogoro inayolisumbua eneo la Pembe ya Afrika. Akihutubia Baraza la Usalama, Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayehusika…

Ethiopia: Israel imewatorosha watu waliofanya mauaji katika jimbo la Tigray

Ethiopia: Israel imewatorosha watu waliofanya mauaji katika jimbo la Tigray

Waziri Mkuu wa Ethiopia amefichua kwamba, watu walioondolewa nchini humo na utawala wa Kizayuni wa Israel kwa anwani kuwa ni Wayahudi walikuwa miongoni mwa wahalifu waliofanya mauaji katika eneo la Tigray. Faraan: Abiy Ahmed ameyasema katika katika mazungumzo yake ya simu yasiyo ya kirafiki na mwenzake wa Israel, Naftali Bennett. Katika mazungumzo hayo Abiy Ahmed…

Hamas: Hali mbaya ya mateka wa Kipalestina katika jela za Israel itaibua vita

Hamas: Hali mbaya ya mateka wa Kipalestina katika jela za Israel itaibua vita

Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislmu ya Palestina (HAMAS) amesema kuwa, hali mbaya ya mateka wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika korokoro za Israel utazucha cheche za mlipuko wa vita na utawala huo ghasibu. Abdul Latif al-Qanoua amesema harakati za mapambano za Palestina zinafuatilia kwa karibu hali ya mateka wa Kipalestina katika korokoro za Israel hususan…

Madai ya Marekani ya kuwa na wasiwasi kuhusu mashambulio ya kundi la kigaidi la Daesh nchini Afghanistan

Madai ya Marekani ya kuwa na wasiwasi kuhusu mashambulio ya kundi la kigaidi la Daesh nchini Afghanistan

Thomas West, mjumbe maalumu wa Marekani katika masuala Afghanistan amedai kuwa, Washington ina wasiwasi na suala la kuongezeka hujuma na mashambulio ya makundi yenye mfungamano na kundi la Daesh na uwepo wenye kuendelea wa mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda. Faraan: Viongozi wa Marekani wanaamini kuwa, kundi la Daesh linaweza kupata uwezo wa kutekeleza mashambulio nje…

Baraza Kuu la UN lapasisha maazimio 6 dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel

Baraza Kuu la UN lapasisha maazimio 6 dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel

Kamati ya Nne ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa jana Jumanne ilipasisha maazimio sita dhidi ya utawala haramu wa Israel licha ya upinzani mkali wa wawakilishi wa Marekani, Canada na Israel. Faraan: Maazimio hayo ya Baraza Kuu la UN yamelaani ukiukaji wa kimfumo wa haki za binadamu za watu wa Palestina, utumiaji mabavu wa…

Wanafunzi 26 waaga dunia katika mkasa wa moto shuleni Niger

Wanafunzi 26 waaga dunia katika mkasa wa moto shuleni Niger

Wanafunzi wasiopungua 26 wameaga dunia katika mkasa wa moto ulioikumba shule moja nchini Niger. Shirika la habari la AFP limenukuu vyanzo vya habari vikisema kuwa, ajali hiyo ya moto imetokea usiku wa kuamkia leo katika shule moja iliyoko katika jimbo la Maradi, kusini mwa nchi. Chaibou Aboubacar, meya wa jiji la Maradi amesema kufikia sasa…

Israel imewafanyia ujasusi wafanyakazi wa asasi za kirai za Palestina

Israel imewafanyia ujasusi wafanyakazi wa asasi za kirai za Palestina

Shirika moja la kutetea haki za binadamu la Ulaya limefichua kuwa, programu ya kijasusi ya utawala wa Kizayuni ya Pegasus imetumika kuwachunguza na kuwafuatilia wafanyakazi wa asasi za kiraia za Kipalestina, hususan zilizowekwa kwenye eti ya orodha ya ugaidi ya Tel Aviv. Faraan: Shirika la Front Line Defenders lenye makao yake Ireland lilisema jana katika…