jafari

UN: Watu bilioni 1 wanaishi katika umaskini wa kupindukia

UN: Watu bilioni 1 wanaishi katika umaskini wa kupindukia

Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa imesema kuwa, zaidi ya watu bilioni moja wanaishi katika umaskini mkubwa, na karibu nusu yao wapo katika nchi zinazokumbwa na migogoro. Kwa mujibu wa ripoti hiyo iliyochapishwa jana Alkhamisi na Mpango wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNDP): Nchi zilizosumbuliwa na vita zina viwango vya juu vya uchochole katika viashiria vyote vya…

Baraza la Seneti Kenya lamuondoa madarakani Naibu Rais Gachagua

Baraza la Seneti Kenya lamuondoa madarakani Naibu Rais Gachagua

Baraza la Seneti nchini Kenya limeidhinisha uamuzi wa kumuondoa madarakani Naibu Rais wa nchi hiyo Rigathi Gachagua. Jana Baraza la Seneti la Kenya lilipiga kura na kuidhinisha kuondolewa ofisini kwa Naibu Rais Rigathi Gachagua, kutokana na mashtaka 5 kati ya 11 yaliyowasilishwa dhidi yake, katika hatua ambayo haijawahi kushuhudiwa. Maseneta 54 kati ya 67 walipiga…

Hamas yathibitisha rasmi kuuawa kwa Yahya al-Sinwar

Hamas yathibitisha rasmi kuuawa kwa Yahya al-Sinwar

Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ilithibitisha rasmi kuuawa shahidi Yahya Sanwar, mkuu wa ofisi ya kisiasa ya harakati hio. “Khalil al-Hayya”, mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Hamas katika Ukanda wa Gaza, mchana wa leo (Ijumaa), katika ujumbe uliotangazwa kwenye mtandao wa “Al-Aqsa”, alithibitisha rasmi kuuawa shahidi “Yahya Al-Sinwar” , aliyekua mkuu…

Idadi ya waliokufa katika mlipuko wa lori la mafuta Nigeria yafikia 150

Idadi ya waliokufa katika mlipuko wa lori la mafuta Nigeria yafikia 150

Idadi ya watu waliopoteza maisha baada ya lori la mafuta kuripuka na kusababisha moto mkubwa kaskazini magharibi mwa Nigeria imeongezeka na kufikia watu 150. Kwa muji wa msemaji wa jeshi la polisi, Lawan Adamu lori hilo liliripuka kando ya barabara kuu ya Kano-Hadejia kwenye eneo la Taura la jimbo la Jigawa la kaskazini magharibi mwa…

Israel inadai kiongozi wa Hamas Yahya Sinwar ameuawa

Israel inadai kiongozi wa Hamas Yahya Sinwar ameuawa

Israel inasema kua Sinwar aliuawa siku ya Jumatano kusini mwa Gaza. Israel inasema vikosi vyake vimemuua kiongozi wa Hamas Yahya Sinwar huko Gaza. “Baada ya kukamilisha mchakato wa kutambua mwili, tumeweza kuthibitishwa kuwa Yahya Sinwar hayupo tena,” jeshi la Israeli lilisema. “Operesheni nyingi zilizofanywa na [jeshi la Israeli] na ISA [Shin Bet, ambayo ni huduma ya…

Tanzania yatakiwa kuheshimu haki za binadamu kuelekea uchaguzi serikali za mitaa

Tanzania yatakiwa kuheshimu haki za binadamu kuelekea uchaguzi serikali za mitaa

Shirika la kimatatifa la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limeitaka serikali ya Tanzania kulinda haki za binadamu kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa. Tanzania inatarajiwa kufanya uchaguzi wa serikali za mtaa tarehe 27 Novemba  mwaka huu huku wapiga kura wakitarajiwa kuchagua Mwenyekiti wa kijiji, wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji (kundi mchanganyiko la…

Tanzania inaunga mkono azimio la Umoja wa Mataifa la kutaka Israel ijiondoe kutoka katika ukanda wa Gaza

Tanzania inaunga mkono azimio la Umoja wa Mataifa la kutaka Israel ijiondoe kutoka katika ukanda wa Gaza

Tanzania imepiga kura kuunga mkono azimio la Umoja wa Mataifa linaloitaka Israel kukomesha uwepo wake wa “kinyume cha sheria” katika Ukanda wa Gaza. Azimio hilo lililopitishwa, linaitaka Israel kujiondoa katika Ukingo wa Magharibi na Jerusalem Mashariki ndani ya mwaka mmoja huku mzozo na Hamas ukikaribia kuadhimisha mwaka wake wa kwanza mnamo tarehe 7, mwezi Oktoba….

Ufaransa yamkamata mwanaharakati anayepinga ukoloni Afrika

Ufaransa yamkamata mwanaharakati anayepinga ukoloni Afrika

A prominent anti-neo-colonial activist and socialist in Africa, Stellio Gilles Robert Capo Chichi, popularly known as Kemi Seba, has been arrested in France. Anadolu news agency has written the news and explained that, the court circles yesterday Tuesday confirmed that Seba, who has been tried several times in France for allegedly inciting racism, has been…