AFRIKA

Ukosefu wa usawa wa kijinsia Katika Muungano Wa Ruto

Ukosefu wa usawa wa kijinsia Katika Muungano Wa Ruto

NAIBU RAIS William Ruto jana alitia saini mkataba wa ushirikiano na vyama 12 chini ya Muungano wa Kenya Kwanza huku viongozi wa muungano huo ukiendeshwa na midume tupu. Vyama vyote vinavyounga azima yake vinasimamiwa na wanaume ishara kwamba, maamuzi yote ya muungano wa Kenya Kwanza huenda yatakuwa yakifanywa na jinsia moja.Japo alisifu washirika wake akisema…

Ruto aenda kinyume na NCIC, Atoa Wimbo Wa ‘Sipangwingwi’

Ruto aenda kinyume na NCIC, Atoa Wimbo Wa ‘Sipangwingwi’

NAIBU wa Rais, William Ruto amekaidi amri ya Tume ya Uwiano na Utangamano wa Kitaifa (NCIC) baada ya kutoa wimbo ambao ameupa jina ‘Hatupangwingwi’, muda wa saa chache baada ya tume hiyo kulipiga marufuku neno hilo. Siku ya Ijumaa saa tano mchana, Tume ya NCIC iliorodhesha neno hilo kuwa miongoni mwa maneno 23 ambayo yanafaa…

Hassan Joho afifia kisiasa

Hassan Joho afifia kisiasa

USHAWISHI wa Gavana wa Mombasa, Bw Hassan Joho, kwa siasa za Pwani na kitaifa kwa jumla umekosekana kwa takriban wiki mbili sasa baada ya kuugua kwake. Ilibainika Bw Joho alianza kuugua punde alipowasili nchini kutoka ziara ya Uingereza ambapo alikuwa ameandamana pamoja na Kiongozi wa ODM, Bw Raila Odinga, na wanasiasa wengine wa Muungano wa…

Serikali Ya Kenya Yatoa Sh34 Bilioni Za Kukabiliana Na Kero Ya Uhaba Wa Mafuta

Serikali Ya Kenya Yatoa Sh34 Bilioni Za Kukabiliana Na Kero Ya Uhaba Wa Mafuta

SERIKALI imetenga Sh34,446,813,295 katika bajeti ya ziada ya mwaka huu katika mpango wa kupunguza bei ya mafuta ili kukinga Wakenya kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta. Hii ni baada ya Rais Uhuru Kenyatta Jumatatu, Aprili 5, 2022, kutia saini Mswada wa Bajeti ya Ziada uliopitishwa bungeni wiki jana. Hatua hiyo itatoa afueni kwa waendeshaji…

Tel Aviv ilituma wajumbe wa usalama mjini Cairo kwa hofu ya maandamano

Tel Aviv ilituma wajumbe wa usalama mjini Cairo kwa hofu ya maandamano

Duru za Misri zimefichua kuwa, utawala wa Kizayuni ulituma ujumbe wa usalama mjini Cairo kwa hofu ya kutokea mlipuko kwa mnasaba wa matukio yajayo ya Palestina. Kwa mujibu wa Shirika la Kimataifa la Fars News Agency, duru za Misri zimesema kuwa, ujumbe wa usalama wa Kizayuni hivi karibuni ulisafiri hadi Cairo na kukutana na maafisa…

Dar es Salaam; Mangula ang’atuka, Kinana kumrithi

Dar es Salaam; Mangula ang’atuka, Kinana kumrithi

Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) imempendekeza Katibu mkuu wa zamani wa chama hicho, Abdulrahman Kinana kuwa mgombea nafasi ya makamu mwenyekiti (Bara) baada ya aliyekuwa akishika nafasi hiyo, Philip Mangula kung’atuka. Hayo yamesemwa leo Alhamis Machi 31, 2022 na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Shaka Hamdu Shaka alipokuwa akizungumza na waandishi wa…

Washirika Wa Uhuru Wamkwepa Raila

Washirika Wa Uhuru Wamkwepa Raila

MASWALI yameibuka kuhusu hali ya kampeni za Azimio La Umoja huku washirika wa Rais Uhuru Kenyatta hasa kutoka eneo la Mlima Kenya na mashariki mwa nchi wakionekana kulegeza kamba katika juhudi za kumpigia debe mgombeaji urais wa muungano huo, Raila Odinga. Hii ni baada ya wanasiasa wa chama cha Jubilee na washirika wake kutoonekana katika…

Punguzo la Bei Ya Data Waya Wa Sita Wa Intaneti Ukitua

Punguzo la Bei Ya Data Waya Wa Sita Wa Intaneti Ukitua

Kenya imezindua waya wa sita wa kusambaza intaneti upitiao baharini, hali ambayo imeletea wananchi matumaini kuwa huenda gharama ya kununua data ya simu ikapungua huku kasi ya intaneti ikiongezeka siku za hivi karibuni. Kuzinduliwa kwa waya unaouanganisha Pakistan, ukanda wa Afrika Mashariki na bara Uropa (Peace) Jumanne, kunajiri wakati ambao uchumi wa intaneti nchini unakua…