
Zaidi ya wanamgambo 200 wa kundi la wanamgambo wa al-Shabab wameangamizwa nchini Somalia
Zaidi ya wanamgambo 200 wa kundi la wanamgambo wa al-Shabab wameangamizwa nchini Somalia kufuatia operesheni ya kijeshi ya jeshi la nchini hiyo. Taarifa ya jeshi la Somalia imethibitisha kutokea mauaji hayo dhidi ya wanachama wa kundi la kigaidi la al-Shabab na kueleza kwamba, operesheni hiyo ya jeshi imetekelezwa katika mji wa Galguduud. Miongoni mwa waliouawa…

Umoja wa Mataifa : Tunahitajia kiasi cha dola milioni 205 kwa ajili ya misaada ya kibinadamu kwa wakazi wa jimbo la Tigray
Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, unahitajia kiasi cha dola milioni 205 kwa ajili ya misaada ya kibinadamu kwa wakazi wa jimbo la Tigray. Hayo yameelezwa na Stephane Dujarric, msemaji wa Umoja wa Mataifa katika mkutano wake na waandishi wa habari kwenye makao makuu ya umoja huo mjini New York na kueleza kwamba, asasi hiyo inahitajia…

Tanzania Kutumia Jeshi la Urusi Kuwaokoa Wanafunzi Waliokwama Ukraine
Wanafunzi hao waliokuwa wanasomea katika Chuo Kikuu cha Sumy nchini Ukraine, watahamishwa hadi eneo salama nchini Urusi ili kuepuka vita.Wanafunzi hao watapokelewa na jeshi la Urusi kwenye mpaka wa taifa hilo. Hatua hiyo ni kufuatia mazungumzo ya kidiplomasia kufanyika kati ya serikali ya Urusi na Tanzania kuridhia. Tanzania imetangaza kuwa Urusi itawasadia wanafunzi Watanzania waliokwama…

Wanafunzi Watanzania waliokwama Ukraine wawasili Moscow
Kundi la wanafunzi Watanzania 11 waliokuwa wamekwama Summy nchini Ukraine wakiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Tanzania nchini Urusi Balozi Frederick Kibuta na Maafisa Ubalozi baada ya kuwasili Moscow nchini Urusi salama. Jeshi la Russia kutumika kuokoa wanafunzi wa Tanzania Ukraine Russia imetengeneza njia ya usalama kuwawezesha wanafunzi wa Tanzania walioko katika Chuo…

Wanafunzi warejea nchini Nigeria wakitokea Ukraine huku kesi za maambukizi ya Corona zikiongezeka
Nigeria imetangaza ongezeko la maambukizo ya Covid-19 siku moja baada ya kusajili idadi ndogo zaidi ya kila siku iliyorekodiwa tangu kuanza kwa janga hilo. Siku ya Jumatatu iliyopita Kituo cha Kudhibiti Magonjwa cha Nigeria kilitangaza visa viwili pekee vilivyorekodiwa nchini humo vya maambukizi ya corona. Siku ya Jumanne mamlaka ya afya ilirekodi maambukizo mapya 118 ya…

Umoja wa Afrika waamuru kusitishwa kwa mgogoro wa Ukraine
Umoja wa Afrika umetoa mwito wa kusimamishwa haraka iwezekanavyo mgogoro wa Ukraine. Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika, ambaye pia ni Rais wa Senegal Macky Sall, pamoja na Mwenyekiti wa Kamisheni ya AU, Moussa Faki Mahamat wametangaza kusikitishwa kwao na vita baina ya Russia na Ukraine huko mashariki mwa Ulaya. Taarifa ya viongozi hao iliyotolewa na…

Algeria inasisitiza kudumisha usalama katika nchi za Kiarabu zilizopo pembezoni mwa Ghuba ya Uajemi
Rais wa Algeria aliyezuru Kuwait, alisisitiza haja ya kudumisha usalama katika mataifa ya pembezoni mwa Ghuba ya Uajemi. Rais wa Algeria, Abdel Majid Teboun alisema kuwa nchi yake haitakubali kamwe kwamba usalama wa mataifa ya Ghuba ya Uarabuni utaingiliwa. Kulingana na gazeti la “Rai Al-Youm”, Akizungumza kuhusu Waalgeria walio wachache nchini Kuwait Jumanne usiku (jana…

Umoja wa Mataifa: kukithiri kwa mashambulio dhidi ya wakimbizi DRC ni jambo lenye kushtua
Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) na washirika wake wameeleza kushtushwa na ripoti za mashambulizi nane makubwa yaliyotokea katika siku 10 za mwanzo wa mwezi huu wa Februari katika jimbo la Ituri nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Taarifa ya UNHCR iliyotolewa mjini Geneva Uswisi inaeleza kuwa mashambulizi yaliyosababisha watu kuuawa, kutekwa…