AFRIKA

Watu 50 wauawa katika machafuko ya Darfur, Sudan

Watu 50 wauawa katika machafuko ya Darfur, Sudan

Watu 50 wameripotiwa kuuawa katika ghasia na machafuko yaliyotokea baina ya makabila hasimu katika jimbo la Darfur huko magharibi mwa Sudan. Faraan: Mapigano hayo yaliyosababisha vifo vya watu wasiopungua 50 yametokea katika eneo la Krink umbali wa kilomita 75 kutoka mji wa El Geneina huko Darfur Magharibi. Ripoti zinasema eneo hilo la Krink limekumbwa na…

Jenerali anayependa kufanya mapinduzi ya kijeshi Sudan ajipendekeza tena kwa Wazayuni

Jenerali anayependa kufanya mapinduzi ya kijeshi Sudan ajipendekeza tena kwa Wazayuni

Abdul Fattah al Burhan, jenerali anayependa kufanya mapinduzi ya kijeshi nchini Sudan, kwa mara nyingine ameunga mkono kuanzishwa uhusiano wa kawaida baina ya nchi hiyo na utawala dhalimu wa Kizayuni. Faraan: Jenerali al Burhan amesema katika mahojiano aliyofanyiwa na televisheni ya al Arabia ya Saudi Arabia kwamba, utawala wa Kizayuni wa Israel eti ni nchi…

Kuendelea mgogoro wa kisiasa Tunisia

Kuendelea mgogoro wa kisiasa Tunisia

Licha ya mgogoro wa kisiasa wa Tunisia kuendela kwa miezi kadhaa sambamba na kufanyika juhudi za kujaribu kuumaliza, lakini juhudi hizo zimeshindwa kuzaa matunda. Katika uwanja huo, Rais Kais Saied wa Tunisia ameeleza kusikitishwa kwake na vyombo vya mahakama katika kuchelewesha uchunguzi wa ripoti zinazohusiana na ukiukaji uliofanyika katika mwenendo wa uchaguzi mkuu uliopita na…

Watu zaidi ya 30 wauawa katika shambulio la kigaidi katikati ya Mali

Watu zaidi ya 30 wauawa katika shambulio la kigaidi katikati ya Mali

Watu wasiopungua 31 wameuawa katikati ya Mali huko magharibi mwa Afrika baada ya wanamgambo waliokuwa na silaha kushambulia basi iliyokuwa imebebe raia wa kawaida wakielekea sokoni. Watu wenye silaha wasiofahamika walianza kufyatua risasi na kisha kumuuwa dereva kabla ya kulichoma moto basi hilo. Faraan: Shirika la habari la EFE limeripoti kuwa, akthari ya waliouliwa ni…

Al Burhan: Jeshi la Sudan litaacha siasa baada ya uchaguzi wa 2023

Al Burhan: Jeshi la Sudan litaacha siasa baada ya uchaguzi wa 2023

Mkuu wa jeshi la Sudan, Abdel Fattah Al-Burhan, amesema kwamba jeshi litaondoka kwenye uwanja wa siasa baada ya uchaguzi uliopangwa kufanyika 2023, na kuongeza kuwa kuna “ishara nzuri” zinazohusiana na uungaji mkono mpya wa jamii ya kimataifa kwa Khartoum. Faraan: Jenerali Abdel Fattah al Burhan amesema katika mahojiano yake na shirika la habari la Reuters…

Algeria: Morocco imetengwa kutokana na kuanzisha muungano wa kijeshi na Israel

Algeria: Morocco imetengwa kutokana na kuanzisha muungano wa kijeshi na Israel

Watu wasiopungua 31 wameuawa katikati ya Mali huko magharibi mwa Afrika baada ya wanamgambo waliokuwa na silaha kushambulia basi iliyokuwa imebebe raia wa kawaida wakielekea sokoni. Watu wenye silaha wasiofahamika walianza kufyatua risasi na kisha kumuuwa dereva kabla ya kulichoma moto basi hilo. Faraan: Shirika la habari la EFE limeripoti kuwa, akthari ya waliouliwa ni…

Mufti: Kuna njama zinazoungwa mkono na Wamagharibi za kuiangusha serikali ya Ethiopia

Mufti: Kuna njama zinazoungwa mkono na Wamagharibi za kuiangusha serikali ya Ethiopia

Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Ethiopia amesema kuwa, kuna njama ya siri inayopikwa ambayo lengo lake ni kuiangusha serikali halali ya nchi hiyo inayoongozwa na Waziri Mkuu Abiy Ahmed. Faraan: Akijibu swali kuhusiana na mkanda wa video ulioenea unaoonyesha baadhi ya wanadiplomasia wa Kimagharibi wakiwa katika mazungumzo na viiongozi wa Harakati ya…

HAMAS: Mabunge ya Kiarabu na Kiislamu yazuie kuanzishwa uhusiano wa kawaida na Israel

HAMAS: Mabunge ya Kiarabu na Kiislamu yazuie kuanzishwa uhusiano wa kawaida na Israel

Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imeyataka mabunge ya mataifa ya Kiarabu na Kiislamu yasimame kidete na kuzizuia serikali zao kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel. Faraan: Khalil al-Hayya, Mkuu wa Ofisi ya Mahusiano ya Kiarabu na Kiislamu ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema…