AFRIKA

Algeria: Tutaendelea kuiunga mkono Palestina hadi ijikomboe kutokana na uvamizi

Algeria: Tutaendelea kuiunga mkono Palestina hadi ijikomboe kutokana na uvamizi

Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Algeria ametangaza kuwa, nchi yake itaendelea kuliunga mkono taifa madhulumu la Palestina hadi pale litakapojikomboa kutoka katika ukoloni na uvamizi. Faraan: Ramtane Lamamra amesisitiiza kuwa, wananchi wa Algeria wataendelea kuwaunga mkono wananchi wa Palestina ambao nao kama walivyo watu wengine wana haki ya kujikomboa kunako ukoloni na uvamiz unaowakandamiza….

Askari wasiopungua sita wa Sudan wauawa katika mapigano ya mpakani na Ethiopia

Askari wasiopungua sita wa Sudan wauawa katika mapigano ya mpakani na Ethiopia

Jeshi la Sudan limesema, askari wake kadhaa wameuawa katika shambulio lililofanywa na vikosi vya jeshi la Ethiopia katika eneo la mpakani linalozozaniwa na nchi mbili. Faraan: Taarifa iliyotolewa na jeshi la Sudan imeeleza kwamba, askari wake waliokuwa wakisimamia zoezi la uvunaji mazao katika eneo la Al-Shafaqa walishambuliwa na makundi ya askari wa jeshi la Ethiopia…

Watu watano waaga dunia katika mlipuko wa bomu karibu na shule huko Mogadishu

Watu watano waaga dunia katika mlipuko wa bomu karibu na shule huko Mogadishu

Watu watano wameuawa na wengine zaidi ya 12 wamejeruhiwa hii leo katika mlipuko wa bomu lililokuwa limetegwa ndani ya gari karibu na shule moja katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu. Faraan: Mohamed Abdillahi afisa usalama mjini Mogadishu ameeleza kuwa, hadi sasa wamethibitisha kuaga dunia watu 5 na 15 kujeruhiwa katika mlipuko huo wa bomu. Ameongeza…

Mapigano makali yaendelea kushuhudiwa baina ya jeshi la Ethiopia na TPLF

Mapigano makali yaendelea kushuhudiwa baina ya jeshi la Ethiopia na TPLF

Mapigano makali yanaendelea kuripotiwa baina ya jeshi la Ethiopia na wapiganaji wa Harakati ya Ukombozi ya Watu wa Tigray (TPLF) katika maeneo ya magharibi katika mpaka na jimbo la Tigray la kaskazini mwa Ethiopia. Faraan: Ripoti zinasema kuwa, mapigano hayo yameshadidi zaidi jana na juzi huku juhudi za kuupatia ufumbuzi mgogoro huo za kieneo na…

Mwanahabari mtajika wa redio ya Somalia auawa katika shambulio la kigaidi

Mwanahabari mtajika wa redio ya Somalia auawa katika shambulio la kigaidi

Kundi la kigaidi la al Shabaab lenye mfungamano na mtandao wa al Qaida limehusika katika mlipuko wa bomu uliosababisha kifo cha mwandishi habari mtajika wa redio ya serikali ya Somalia huko Mogadishu. Shambulio hilo limejiri jana katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu baada ya gari lililokuwa limetegwa bomu kuilenga gari ya waandishi habari wa redio…

Wanne wajeruhiwa Burkina Faso katika kupinga msafara wa kijeshi wa Ufaransa

Wanne wajeruhiwa Burkina Faso katika kupinga msafara wa kijeshi wa Ufaransa

Maandamano ya kupinga msafara huo yalianza siku ya Alkhamisi na yangali yanaendelea. Niger ambayo ipo magharibi mwa Afrika licha ya kuwa na utahiri mkubwa wa maliasili ya mafuta na madinini ya urani lakini ni moja ya nchi masikini zaidi duniani. Tukumbuke kuwa Mali na nchi hiyo jirani ya Niger ni maficho makuu ya shughuli za…

Niger kununua silaha na zana za kijeshi kutoka Uturuki

Niger kununua silaha na zana za kijeshi kutoka Uturuki

Niger na Uturuki zimetangaza kufikia makubaliano ambayo yanajumuisha kuiuzia Niger silaha mbalimbali zikiwemo ndege zisizo na rubani (droni) na magari ya kivita ili kuongeza uwezo wake wa kijeshi katika kukabiliana na makundi ya kigaidi. Taarifa ya pamoja iliyotolewa na televisheni ya Uturuki ya TRT na Ofisi ya Rais wa Niger imeeleza kuwa: “Rais Recep Tayyip…

Ethiopia yaonya: Uhusiano wetu na Marekani unaweza kuharibika

Ethiopia yaonya: Uhusiano wetu na Marekani unaweza kuharibika

Ethiopia imeishutumu Marekani kwa kusambaza taarifa za uongo kuhusu hali ya usalama, wakati huu inapoendelea na mapambano dhidi ya waasi. Faraan: Msemaji wa serikali ya Addis Ababa, Kebede Desisa ameonya kuwa iwapo Marekani itaendelea na usambazaji wa taarifa hizo, uhusiano kati ya nchi hizo mbili huenda ukaharibika. Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Desisa…