AFRIKA

Juhudi za Marekani za kueneza ushawishi wake barani Afrika

Juhudi za Marekani za kueneza ushawishi wake barani Afrika

Akiwa katika safari yake ya kuzitembelea nchi kadhaa za Afrika, Anthony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, amezungumza na kushauriana na viongozi wa nchi alizozitembelea kuhusu masuala ya usalama, mgogoro wa chakula na jinsi ya kuzishirikisha nchi za Kiafrika katika vita vya Ukraine. Katika safari hiyo, ametembelea Afrika Kusini, Jamhuri ya Kidemokrasia ya…

Odinga ampiku Ruto; Wakenya waendelea kusubiri kwa hamu matokeo ya urais

Odinga ampiku Ruto; Wakenya waendelea kusubiri kwa hamu matokeo ya urais

Raila Odinga ambaye anagombea kiti rais katika uchaguzi mkuu nchini Kenya kwa chama cha Muungano wa Azimio la Umoja One Kenya, yupo kifua mbele katika matokeo ya muda, saa chache baada ya mpinzani wake wa karibu anayewania kwa chama cha UDA, William Ruto kuongoza katika matokeo ya awali ya zoezi hilo lililofanyika Jumanne. Kwa mujibu…

Katibu MKuu wa UN apongeza amani katika uchaguzi wa Kenya

Katibu MKuu wa UN apongeza amani katika uchaguzi wa Kenya

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amewapongeza wananchi wa Kenya kwa kupiga kura kwa amani wakati wa uchaguzi mkuu wa nchi hiyo uliofanyika hapo juzi Agosti 9, 2022 Taarifa iliyotolewa na msemaji wa Katibu Mkuu Stéphane Dujarric kutoka New York Marekani imesema Katibu Mkuu anatambua kazi muhimu iliyofanywa na mamlaka ya Kenya pamoja…

Zanzibar yakabidhiwa takwimu za uchimbaji mafuta, gesi

Zanzibar yakabidhiwa takwimu za uchimbaji mafuta, gesi

Unguja. Serikali ya Zanzibar, imekabidhiwa rasmi takwimu (data) za utafutaji wa mafuta na gesi kutoka Serikali ya Tanzania. Hafla ya makabidhiano hayo imefanyika leo Jumatano Agosti 10, 2022 Ikulu ya Zanzibar kwa kutiliana saini kati ya Waziri wa Nishati wa Tanzania, January Makamba na Waziri wa uchumi wa Buluu na Uvuvi wa Zanzibar, Suleiman Masoud…

Wananchi wa Morocco wateketeza moto bendera za Israel katika maandamano

Wananchi wa Morocco wateketeza moto bendera za Israel katika maandamano

Wananchi wa Morocco waliokuwa na hasira wameteketeza moto bendera za utawala wa Kizayuni wa Israel mbele ya bunge la nchi hiyo katika maandamano ya kulaani hujuma ya utawala huo dhidi ya Gaza. Aidha wameteketeza moto bendera hizo za utawala wa Kizayuni kama njia ya kulaani hatua ya utawala wa Morocco kuanzisha uhusiano wa kawaida na…

Ruto aongoza katika matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais Kenya

Ruto aongoza katika matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais Kenya

Mgombea wa kiti cha rais wa chama cha UDA katika uchaguzi mkuu nchini Kenya, William Ruto anaongoza katika matokeo ya muda ya zoezi hilo la kidemokrasia lililofanyika jana Jumanne. Kwa mujibu wa matokeo ya awali yaliyochapishwa kwenye tovuti ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka nchini humo IEBC yanaonesha kuwa, Ruto anaongoza kwa asilimia 52…

AU yalaani ukatili wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Gaza

AU yalaani ukatili wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Gaza

Umoja wa Afrika (AU) umeungana na jamii ya kimataifa kulaani jinai za kinyama zinazoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya wananchi wasio na ulinzi wa Ukanda wa Ghaza huko Palestina. Katika taarifa jana Jumapili, Mwenyekiti wa Kamisheni ya AU, Moussa Faki Mahamat amesema kushambuliwa raia na kuendelea kukaliwa kwa mabavu maeneo ya Palestina na…

Waangalizi 18,000 wa ndani, na kimataifa kufuatilia mchakato wa uchaguzi Kenya

Waangalizi 18,000 wa ndani, na kimataifa kufuatilia mchakato wa uchaguzi Kenya

Waangalizi 18,000 wanatarajiwa kufuatilia uchaguzi mkuu wa Kenya utakaofanyika kesho Jumanne. Wafula Chebukati, mkuu wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya (IEBC) amesema tume hiyo ndiyo ambayo imetoa vibali kwa waangalizi hao. Serikali ya Kenya imetangaza kuwa kesho Jumanne Agosti 9 itakuwa siku ya mapumziko kitaifa ili kuwawezsha wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga…