Habari

Magazeti ya Afrika Mashariki yaakisi safari ya Rais wa Iran katika nchi za Afrika

Magazeti ya Afrika Mashariki yaakisi safari ya Rais wa Iran katika nchi za Afrika

Magazeti na vyombo vingine vya habari vya nchi za Afrika Mashariki vimeakisi kwa mapana safari ya Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambaye leo Jumanne anatazamiwa kuondoka nchini kuelekea barani Afrika kwa ziara ya siku tatu ya kuzitembelea nchi za Kenya, Uganda na Zimbabwe. Sehemu ya juu ya ukurasa wa mbele wa gazeti la…

Mabaki ya ndege ya makamu wa rais wa Malawi yapatikana

Mabaki ya ndege ya makamu wa rais wa Malawi yapatikana

Shirika la habari la AFP liliripoti kuwa baada ya kupotea kwa ndege iliyombeba makamu wa rais wa Malawi, vikosi vya uokoaji vimegundua mabaki ya ndege hiyo. Chanzo cha kijeshi kiliiambia AFP kuwa mabaki ya ndege iliyombeba makamu wa rais wa Malawi, ambayo ilitoweka kwenye skrini ya rada kutokana na hali mbaya ya hewa, yamepatikana. Leo,…

Shambulio katika ubalozi wa Amerika nchini Sydney

Shambulio katika ubalozi wa Amerika nchini Sydney

Jengo la Ubalozi mdogo wa Marekani huko Sydney Kaskazini, Australia lilishambuliwa na kuharibiwa huku polisi wakifanya uchunguzi. Picha za CCTV zilizopatikana na polisi zimeonyesha kwamba mtu aliyevaa kofia iliyofunikwa, ambaye uso wake hauko wazi amejaribu kuvunja madirisha ya Ubalozi wa Marekani huko Sydney kwa nyundo hii leo Jumatatu mwendo wa saa 3:00 asubuhi. Kulingana na…

Sheikh Juma Ngao amshauri Rais Ruto kutokana na kujihusisha na mambo ya Kundi la Wahouthi

Sheikh Juma Ngao amshauri Rais Ruto kutokana na kujihusisha na mambo ya Kundi la Wahouthi

Kenya imeonywa dhidi ya kuingilia mzozo wa Yemen unaohusisha vikosi vya serikali na kundi la Wahouthi. Akizungumza mjini Mombasa siku ya Alhamisi, mwenyekiti wa Baraza la Ushauri la Waislamu Kenya (KEMNAC) Sheikh Juma Ngao, alisema hatua hiyo itaweka Kenya katika hatari na hatari kubwa kutoka kwa waasi. Alisema Kenya imekuwa na uhusiano wa karibu na…

Waziri Mkuu wa Denmark ashambuliwa na kupigwa Copenhagen

Waziri Mkuu wa Denmark ashambuliwa na kupigwa Copenhagen

Waziri Mkuu wa Denmark Bi Mette Frederiksen alishambuliwa jana Ijumaa alipokuwa kwenye bustani ya Copenhagen, mji mkuu wa nchi hiyo. Shambulio hilo limethibitishwa ofisi yake. Ofisi Waziri Mkuu huyo Bi Mette Frederiksen imeziambia duru za habari kwamba Waziri Mkuu huyo alipigwa na mtu mmoja Ijumaa jioni katika eneo la Kultorvet mjini Copenhagen na kuongeza kuwa…

Mahojiano ya Rais William Ruto: Kenya ina nafasi gani katika jukwaa la kimataifa?

Mahojiano ya Rais William Ruto: Kenya ina nafasi gani katika jukwaa la kimataifa?

Redi Tlhabi anajadili jukumu la Kenya kama mshirika wa Marekani na mshirika wa usalama na Rais William Ruto. Rais wa Marekani Joe Biden alimkaribisha Rais wa Kenya William Ruto katika ziara ya kwanza rasmi ya rais wa Afrika tangu 2008. Viongozi hao wawili walijadili ushirikiano wa kina kuhusu uwekezaji wa Marekani katika biashara ya Kenya,…

Ripoti kuhusu njaa ya Sudan na hasara ya dola bilioni 200 kutokana na vita vya wenyewe kwa wenyewe

Ripoti kuhusu njaa ya Sudan na hasara ya dola bilioni 200 kutokana na vita vya wenyewe kwa wenyewe

Mauaji na vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Sudan ambavyo vimedumu kwa zaidi ya mwaka mmoja vimesababisha uharibifu wa zaidi ya dola bilioni 200 kwa uchumi wa nchi hiyo. Ripota wa Mtandao wa Habari wa Al-Alam nchini Sudan aliripoti: Sudan imekuwa katika vita vya wenyewe kwa wenyewe na mauaji kwa zaidi ya mwaka mmoja, uharibifu…

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kuacha kutumia sarafu ya dola

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kuacha kutumia sarafu ya dola

Benki Kuu ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imetoa agizo la kupunguza matumizi ya dola ya Marekani katika miamala ya sasa ya bidhaa na huduma mbalimbali nchini humo. Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo inajaribu kupunguza utegemezi wa uchumi wa nchi hiyo kwa sarafu ya dola ya Marekani, na kuhusiana na hilo, hivi karibuni benki kuu…