Habari

Moncef Marzouki amelaani kitendo cha jinai huku akiwaonya viongozi wa Saudia kwa kuua umati wa watu

Moncef Marzouki amelaani kitendo cha jinai huku akiwaonya viongozi wa Saudia kwa kuua umati wa watu

Rais wa zamani wa Tunisia amewaonya viongozi wa Saudi Arabia kwa hatua yao ya kutekeleza adhabu ya kifo kwa watu 81 kwa siku moja na kuwaambia wajiandae kwa madhara ya hatua yao hiyo. Siku ya Jumamosi, wizara ya mambo ya ndani ya Saudia iitekeleza adhabu ya kifo kwa watu 81 ikidai kuwa watu hao wamefanya…

Jenerali wa Marekani: Iran haikulenga kutushambulia katika mji wa Erbil, makombora ya Iran yanauwezo wakufika Tel Aviv kwa urahisi

Jenerali wa Marekani: Iran haikulenga kutushambulia katika mji wa Erbil, makombora ya Iran yanauwezo wakufika Tel Aviv kwa urahisi

Jenerali mkuu wa Marekani amesema kuwa shambulizi la makombora la IRGC mjini Erbil halikuwa na nia ya kushambulia maeneo ya Marekani. Kenneth McKenzie, kamanda wa shirika la kigaidi la Centcom, alisema siku ya Jumanne kwamba Iran haikua na nia ya kulenga nyadhifa za Marekani katika shambulizi la kombora huko mjini Erbil. McCannie, ambaye alihudhuria mkutano…

Mahakama ya India yaidhinisha rasmi uamuzi wa Marufuku ya hijabu katika skuli za serikali

Mahakama ya India yaidhinisha rasmi uamuzi wa Marufuku ya hijabu katika skuli za serikali

Siku kadhaa baada ya skuli za jimbo la Karanatka la kusini mwa India kuwapiga marufuku wanafunzi wanawake Waislamu kuvaa vazi la staha la Kiislamu la Hijabu, mahakama ya nchi hiyo imeidhinisha rasmi uamuzi huo. Tangu mwezi uliopita wa Februari, utekelezaji marufuku ya kuvaa hijabu katika skuli za jimbo la Karanatka lililoko kusini mwa India umekuwa ukilalamikiwa…

Shambulizi la Iran ni alama ya tahadhari kwa viongozi wa Iraq

Shambulizi la Iran ni alama ya tahadhari kwa viongozi wa Iraq

Makundi ya wananchi ya kupambana na ugaidi nchini Iraq yametaka kuondolewa nchini humo mara moja vikosi vya kigeni yakisema kuwa hatua ya serikali ya eneo la Kurdistan ya kualika katika eneo vibaraka wa Mossad inawafanya Wairaki kuwa shabaha ya kulengwa na upande wowote unaopinga vibaraka hao. Ikizungumza jana Jumapili kuhusu shambulio lililofanywa na Jeshi la…

Mtoto wa Museveni hajajiuzulu, Jeshi la Uganda lakanusha

Mtoto wa Museveni hajajiuzulu, Jeshi la Uganda lakanusha

Jeshi la Uganda limesema leo Jumatatu kwamba mtoto wa kiume wa Rais Yoweri Museveni, Luteni Jenerali Muhoozi Kainerugaba ambaye anatajwa kuwa ndiye atakayerithi miikoba ya baba yake kama rais ajaye wa Uganda, hajajiuzulu. Muhoozi Kainerugaba alitangaza kwenye mtandao wa Twitter mnamo Machi 8 kwamba amestaafu kutoka kwenye jeshi baada ya utumishi wa zaidi ya miaka 20….

Zaidi ya wanamgambo 200 wa kundi la wanamgambo wa al-Shabab wameangamizwa nchini Somalia

Zaidi ya wanamgambo 200 wa kundi la wanamgambo wa al-Shabab wameangamizwa nchini Somalia

Zaidi ya wanamgambo 200 wa kundi la wanamgambo wa al-Shabab wameangamizwa nchini Somalia kufuatia operesheni ya kijeshi ya jeshi la nchini hiyo. Taarifa ya jeshi la Somalia imethibitisha kutokea mauaji hayo dhidi ya wanachama wa kundi la kigaidi la al-Shabab na kueleza kwamba, operesheni hiyo ya jeshi imetekelezwa katika mji wa Galguduud. Miongoni mwa waliouawa…

Umoja wa Mataifa : Tunahitajia kiasi cha dola milioni 205 kwa ajili ya misaada ya kibinadamu kwa wakazi wa jimbo la Tigray

Umoja wa Mataifa : Tunahitajia kiasi cha dola milioni 205 kwa ajili ya misaada ya kibinadamu kwa wakazi wa jimbo la Tigray

Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, unahitajia kiasi cha dola milioni 205 kwa ajili ya misaada ya kibinadamu kwa wakazi wa jimbo la Tigray. Hayo yameelezwa na Stephane Dujarric, msemaji wa Umoja wa Mataifa katika mkutano wake na waandishi wa habari kwenye makao makuu ya umoja huo mjini New York na kueleza kwamba, asasi hiyo inahitajia…

Kutekelezwa oparesheni ya kuvunja mzingiro dhidi ya Yemen ndani ya ardhi ya Saudia

Kutekelezwa oparesheni ya kuvunja mzingiro dhidi ya Yemen ndani ya ardhi ya Saudia

Brigedia Jenerali Yahya Saree, Msemaji wa Jeshi la Yemen mapema wiki hii alitangaza kuhusu kutekelezwa oparesheni ya kuvunja mzingiro dhidi ya Yemen iliyotekelezwa ndani ya ardhi ya Saudia. Kwa upande wa jiografia, oparesheni hiyo ya kuvunja mzingiro imetekelezwa huko Riyadh na pia katika maeneo ya kusini mwa Saudi Arabia yanayopakana na Yemen. Aidha kwa upande…