Habari

Russia: Shambulio la hospitali ya watoto sio Habari za Kweli

Russia: Shambulio la hospitali ya watoto sio Habari za Kweli

Russia imekanusha habari kuwa imeshambulia hospitali ya watoto katika mji wa Mariupol nchini Ukraine na kutangaza kuwa, jengo linalodaiwa kushambuliwa lilikuwa liimeshatekwa na askari wake kabla ya shambulio hilo. Dmitry Polyanskiy, naibu wa kwanza wa balozi na mwakilishi wa kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesema katika ujumbe alioandika kwenye mtandao wa kijamii wa…

Iran ; Utawala wa Kizayuni utarajie Jibu Kali kwa Jinai walioitenda

Iran ; Utawala wa Kizayuni utarajie Jibu Kali kwa Jinai walioitenda

Ndege za kivita za Israel zilishambulia eneo la Reef mjini Damascus – Syria mnamo siku ya Jumatatu asubuhi (Machi 6), na kuwaua Wairani wawili miongoni mwa watetezi wa Haram tukufu. Wawili hao wakifahamika kama Morteza Saeed Nejad na Ehsan Karbalaeipour waliuawa huku Tehran ikisisitiza kuwa, italipiza kisasi cha damu za mashahidi wake, na kuhusiana na…

Imarati Yajenga vitongoji kwa ajili ya askari wa Israel katika mji wa Socotra, Yemen

Imarati Yajenga vitongoji kwa ajili ya askari wa Israel katika mji wa Socotra, Yemen

Umoja wa Falme za Kiarabu umeripotiwa kujenga vitongoji katika kisiwa cha kistratijia cha Yemen cha Socotra ambacho kinakaliwa kwa mabavu na Imarati, kwa ajili wanajeshi wa utawala haramu wa Israel; zaidi ya mwaka mmoja baada ya tawala hizo mbili kuanzisha uhusiano wa kawaida. Tovuti ya habari ya “Yemen News Portal” imenukuu vyanzo vya habari ambavyo…

Waandamanaji wa Pakistan walaani shambulio la kigaidi katika Msikiti Mkuu wa Imamiyah huko Peshawar

Waandamanaji wa Pakistan walaani shambulio la kigaidi katika Msikiti Mkuu wa Imamiyah huko Peshawar

Miji mbalimbali nchini Pakistani ilishuhudia maandamano ya kulaani shambulio la kigaidi dhidi ya waumini Mashia huko Peshawar. Baraza la Umoja wa Waislamu lilifanya maandamano makubwa katika maeneo tofauti ya nchi, hususan katika mji mkuu wa Pakistan, Islamabad, wakilalamikia mauaji yakikatili katika Msikiti Mkuu wa Imamiyah huko Peshawar. Mauaji hayo yalizua hisia na kumbukumbu za msururu…

Maandamano makubwa huko mjini Saada yakilaani vikwazo vya mafuta nchini Yemen

Maandamano makubwa huko mjini Saada yakilaani vikwazo vya mafuta nchini Yemen

Wananchi wa mkoa wa Saada walioshiriki maandamano makubwa leo wametangaza kuwa kususia mafuta yanayotokana na mafuta dhidi ya Yemen ni uamuzi wa Marekani na jibu lao kwa kususia huko na kuzingirwa jihadi na operesheni ya “Asar Al-Yaman”. Kwa mujibu wa Idhaa ya Kimataifa ya Shirika la Habari la Fars, mkoa wa Saada, leo (Jumatatu, Machi…

Sanaa: Huku mashambulizi yakiendelea huko nchini Yemen baadhi ya nchi za Kiarabu zadhihirisha hisia zake kwa kuwahurumia wananchi wa Ukraine kwa kulipuliwa na mabomu

Sanaa: Huku mashambulizi yakiendelea huko nchini Yemen baadhi ya nchi za Kiarabu zadhihirisha hisia zake kwa kuwahurumia wananchi wa Ukraine kwa kulipuliwa na mabomu

Kwa mujibu wa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemen, baadhi ya nchi za Kiarabu zimeisahau Yemen kwa muda wa miaka 7 na sasa zinaruhusu usajili wa viza kwa Wananchi wa Ukraine. Kwa mujibu wa Huduma ya Kimataifa ya Shirika la Habari la Fars, afisa wa Serikali ya Wokovu wa Kitaifa ya Yemen leo…

Kuzuiliwa kwa Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi

Kuzuiliwa kwa Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi

Vikosi vya utawala dhalimu vilivamia maeneo mbalimbali ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kuwatia mbaroni baadhi ya raia. Kwa mujibu wa idhaa ya kimataifa ya Shirika la Habari la Fars, vikosi vya utawala wa Kizayuni vilishambulia maeneo tofauti ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan asubuhi ya leo na kuwatia mbaroni raia kadhaa…

Russia imefichua kuwa Marekani inawasafirisha magaidi wa ISIS au Daesh kutoka Syria na kuwaingiza Ukraine

Russia imefichua kuwa Marekani inawasafirisha magaidi wa ISIS au Daesh kutoka Syria na kuwaingiza Ukraine

Idara ya Usalama wa Nje ya Nchi ya Russia- SVR RF- imesema kuwa, Marekani inatuma magaidi Ukraine kutoka Syria. Taarifa ya SVR-RF imesema magaidi hao wa ISIS wamekuwa wakipata mafunzo maalumu katika kituo kimoja cha kijeshi kilicho Syria kinyume cha sheria na baada ya kupata mafunzo wanaepelekwa Ukraine. Taarifa hiyo imesema: “Mwishoni mwa mwaka 2021,…