Habari

Raisi awasili nchini Qatar, na kulakiwa na Emir mjini Doha

Raisi awasili nchini Qatar, na kulakiwa na Emir mjini Doha

Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo amewasili mji mkuu wa Qatar, Doha na kulakiwa na kiongozi wa nchi hiyo, Emir Tamim bin Hamad al-Thani. Baada ya kulakiwa rasmi katika uwanja wa ndege, viongozi hao wawili wamefanya mazungumzo kuhusu masuala ya uhusuano wa nchi mbili, kieneo na kimataifa. Katika safari hiyo ya…

Zaidi ya silimia 90 ya wananchi wa Afghanistan hawana chakula cha kutosha, WFP yatangaza

Zaidi ya silimia 90 ya wananchi wa Afghanistan hawana chakula cha kutosha, WFP yatangaza

Shirika la Mpango wa Chakula la Umoja wa Mataifa (WFP) limetangaza kuwa, asilimia 95 ya wananchi wa Afghanistan hawana chakula cha kutosha. Taarifa yay Shirika la Mpango wa Chakula la Umoja wa Mataifa (WFP) kanda ya Asia-Pasific imeeleza kwamba, katika miezi ya hivi karibuni hali ya kibinadamu nchini Afghanistn imezidi kuwa mbaya na kwamba, idadi ya watu…

Kenya miongoni mwa nchi zitakazoanza kutengeneza chanjo za Covid-19 kwa teknolojia ya mNRA

Kenya miongoni mwa nchi zitakazoanza kutengeneza chanjo za Covid-19 kwa teknolojia ya mNRA

Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, nchi sita za Afrika zimechaguliwa kuanza utengenezaji wao wa chanjo za Covid-19 kwa kutumia teknolojia ya mfumo wa mRNA. Kenya, Afrika Kusini, Nigeria, Senegal, Misri na Tunisia zimechaguliwa kuwa nchi za kwanza kupokea teknolojia ya mRNA kutoka kituo Shirika la Afya Duniani (WHO) cha kimataifa, katika bara hilo…

Mali imeitaka Ufaransa kuwaondoa askari wake walioko nchini haraka iwezekanavyo

Mali imeitaka Ufaransa kuwaondoa askari wake walioko nchini haraka iwezekanavyo

Serikali ya mpito ya Mali imeitaka Ufaransa kuwaondoa bila kuchelewa askari wake wa operesheni Barkhane na Takuba nchini Mali. Takwa hilo la Mali linakuja masaa machache tu baada ya tangazo la Rais Emmanuel Macron na washirika wake la kuwaondoa askari wa nchi zao kutoka Mali katika miezi michache ijayo. Akitangaza uamuzi huo kupitia televisheni ya…

Je, Israel itaweza kuilinda Imarati dhidi ya ndege zisizo na rubani na makombora ya vikosi vya Yemen?

Je, Israel itaweza kuilinda Imarati dhidi ya ndege zisizo na rubani na makombora ya vikosi vya Yemen?

Wayemen wamesisitiza mara kwa mara kwamba vita vya muungano wa Saudia na Imarati dhidi ya Yemen katika kipindi cha miaka saba iliyopita kiuhakika ni vita vya Israel na Marekani, na kwamba tawala hizi mbili za Kiarabu na baadhi ya mamluki wengine wa kanda ya Kiarabu ni maonyesho tu ya vita hivi. Sisitizo la ajabu la…

Nigeria ; Waislamu waandamana kulaani mauaji ya kimbari nchini Yemen na jinai za muungano vamizi uliopo chini ya uongozi wa Saudi Arabia

Nigeria ; Waislamu waandamana kulaani mauaji ya kimbari nchini Yemen na jinai za muungano vamizi uliopo chini ya uongozi wa Saudi Arabia

Katika kuitikia wito wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria Waislamu nchini Nigeria wameandamana katika mji mkuu wa nchi hiyo Abuja, kulaani jinai za muungano vamizi unaoongozwa na utawala wa Saudi Arabia ambao umeendelea kutenda jinai na mauaji ya kimbari nchini Yemen. Waandamanaji hao wakiwa wamebeba mabango na maberamu yenye jumbe mbalimbali wametangaza himaya na uungaji…

Qatar yasisitiza azma yake ya kustawisha zaidi uhusiano na Iran

Qatar yasisitiza azma yake ya kustawisha zaidi uhusiano na Iran

Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amesema nchi yake iko tayari kustawisha zaidi uhusiano wa pande mbili na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Sheikh Muhammad bin Abdurahman Al Thani ametoa sisitizo hilo katika mazungumzo aliyofanya na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian pembeni ya mkutano wa 58 wa usalama wa Munich…

Hizbullah: Ndege ya upelelezi tunayoimiliki imeingia katika ardhi za Palestina na kutoka bila ya tatizo lolote

Hizbullah: Ndege ya upelelezi tunayoimiliki imeingia katika ardhi za Palestina na kutoka bila ya tatizo lolote

Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Lebanon ya Hizbullah imetangaza kuwa ndege yake moja isiyo na rubani aina ya “Hassan” imeingia hadi ndani ya anga ya ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu zilizopewa jina la Israel kwa ajili ya kufanya upelelezi.  Duru za habari ziliripoti siku ya Ijumaa kuwa, sauti za ving’ora vya hali ya…