Habari

Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini: Hivi karibuni tutachukua hatua dhidi ya ubaguzi wa rangi wa Israel

Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini: Hivi karibuni tutachukua hatua dhidi ya ubaguzi wa rangi wa Israel

Faraan : Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini alikosoa vikali utawala huo ghasibu na ubaguzi wake wa rangi dhidi ya Wapalestina. Kulingana na Fars News Agency International Group; Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini Nalidi Bandur katika hotuba yake mbele ya bunge aliukosoa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa uvamizi wake…

Uteketezaji wa Bendera za Israel nchini Bahrain, hatua ya kulaani safari ya Bennett

Uteketezaji wa Bendera za Israel nchini Bahrain, hatua ya kulaani safari ya Bennett

Faraan : Waandamanaji wenye hasira nchini Bahrain wameteketeza kwa moto bendera za utawala wa Kizayuni wa Israel wakilaani safari ya siku mbili ya Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel, Naftali Bennet katika nchi hiyo ndogo ya Ghuba ya Uajemi.  Maandamano yamefanyika kote katika nchi hiyo huku waandamanaji wakikanyaga bendera za Israel na kuziteketeza huku wakiwa…

Rais Abdelmadjid Tebboune : Morocco na Israel chanzo cha fitina nchini Algeria

Rais Abdelmadjid Tebboune : Morocco na Israel chanzo cha fitina nchini Algeria

Faraan : Rais wa Algeria amesema kuwa Israel na Morocco zinafanya njama ya kuibua hitilafu kati ya Ofisi ya Rais na Jeshi la Algeria na kuzusha fitna nchini humo. Kwa mujibu wa shirika la habari la Fars, Rais Abdelmadjid Tebboune wa Algeria amesema kwamba, Morocco na utawala wa Kizayuni wa Isarael ndio wanaoendesha njama za kuzusha fitina na kueneza…

Khatibu wa Sala ya Ijumaa – Tehran; Iran ni mlinzi wa amani katika eneo na Ulimwengu wa Kiislamu

Khatibu wa Sala ya Ijumaa – Tehran; Iran ni mlinzi wa amani katika eneo na Ulimwengu wa Kiislamu

Hujjatul-Islam Mohammad Hossein Abu Turabi Fard, khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni mingoni mwa nchi chache zenye nguvu za kiulinzi za kudhamini amani na usalama wa eneo na wa Ulimwengu wa Kiislamu. Aidha amebainisha kuwa, nguvu na uwezo mkubwa wa kisiasa, kiulinzi, kiutaalamu na wa…

HAMAS yatoa jibu kwa Australia : HAMAS ni harakati ya kitaifa ya ukombozi inayopambana dhidi ya madhalimu kwa mujibu wa sheria za kimataifa

HAMAS yatoa jibu kwa Australia : HAMAS ni harakati ya kitaifa ya ukombozi inayopambana dhidi ya madhalimu kwa mujibu wa sheria za kimataifa

Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imelaani vikali hatua ya serikali ya Australia ya kuitambua harakati hiyo ya muqawama inayopigania ukombozi wa Palestina kuwa ni kundi na kigaidi. Taarifa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS  ikmesisitiza kuwa, Israel ndio inayopaswa kutangazwa kuwa utawala wa kigaidi kutokana na jinai zake za kila…

Ali Khamenei : Uongozi wa Muqawama Asia Magharibi wayakata makali majigambo ya ubeberu

Ali Khamenei : Uongozi wa Muqawama Asia Magharibi wayakata makali majigambo ya ubeberu

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, muqawama unaokua na kuzidi kupata nguvu katika eneo la Asia Magharibi umesambaratisha kiburi na majigambo ya ubeberu. Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema hayo leo sambamba na kukaribia kumbukumbu ya harakati ya kihistoria ya wananchi wa Tabriz ya 29 Bahman 1356 Hijria Shamshia (18 Februari 1978) wakati alipozungumza kwa…

Mlipuko uliotikisa Mogadishu / Mji Mkuu wa Somalia

Mlipuko uliotikisa Mogadishu / Mji Mkuu wa Somalia

Mlipuko huo ulitokea muda mfupi baada katika mkutano wa hadhara uliokua katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu, huku wanamgambo wa al-Shabaab wakishambulia vituo vya polisi. Kwa mujibu wa shirika la habari la Reuters, waziri wa usalama wa mambo ya ndani wa Somalia alisema kuwa mnamo Jumatano asubuhi, wanamgambo wa al-Shabaab walishambulia vituo vya polisi na…

Vituo vya polisi Mogadishu vyashambuliwa na Al Shabaab

Vituo vya polisi Mogadishu vyashambuliwa na Al Shabaab

Wanamgambo wa kundi la al Shabaab wa nchini Somalia mapema leo wameshambulia vituo vya polisi na vya upekuzi katika mji mkuu Mogadishu. Kundi hilo la kigaidi limefanya hujuma hiyo huku Somalia ikijiandaa kwa uchaguzi wa rais ulioakhirishwa mara kadhaa. Vyombo vya habari vimeripoti kuwa, watu sita wamepoteza maisha katika mashambulizi ya leo ya al Shabaab…