Habari

Kuondoka kwa Marekani kutoka kwenye eneo, ni moja kati ya matokeo ya kuuawa shahidi Soleimani

Kuondoka kwa Marekani kutoka kwenye eneo, ni moja kati ya matokeo ya kuuawa shahidi Soleimani

Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imesema kufungasha virago na kuondoka vikosi vya jeshi la Marekani katika eneo la Asia Magharibi ni sehemu ndogo ya matokeo ya kuuawa shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu. Katika taarifa jana Ijumaa, wizara hiyo imesema…

Iran: Serikali ya Marekani ina “jukumu dhahiri la kimataifa” kwa mauaji ya Kamanda wa Kupambana na Ugaidi Jenerali Soleimani

Iran: Serikali ya Marekani ina “jukumu dhahiri la kimataifa” kwa mauaji ya Kamanda wa Kupambana na Ugaidi Jenerali Soleimani

Katika taarifa hiyo iliyotolewa Ijumaa, wizara ya mambo ya nje ilisema kitendo cha jinai cha Washington kumuua Jenerali Soleimani ni mfano wa shambulio la kigaidi ambalo lilipangwa na kuendeshwa na utawala wa wakati huo wa Marekani na sasa ni jukumu la Ikulu ya Marekani. “Chini ya viwango vya kimataifa na kisheria, serikali ya Marekani ina…

Raisi: Nabii Isa a.s, ni nembo ya muqawama dhidi ya madhalimu

Raisi: Nabii Isa a.s, ni nembo ya muqawama dhidi ya madhalimu

Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemtaja Nabii Isa Masih (AS) kuwa ni nembo ya mapambano dhidi ya madhalimu. Sayyid Ebrahim Raisi amesema hayo katika ujumbe aliowatumia viongozi wa ulimwengu wa Kikristo, kwa mnasaba wa maadhimisho ya kuwadia mwaka mpya wa Miladia wa 2022. Sambamba na kuwapongeza Wakristo kwa mnasaba wa kuanza mwaka mpya…

Waislamu Marekani watoa wito wa kukomeshwa ujasusi dhidi ya jamii yao

Waislamu Marekani watoa wito wa kukomeshwa ujasusi dhidi ya jamii yao

Kundi kubwa la kutetea haki za Waislamu nchini Marekani limetoa wito wa kusitishwa ujasusi unaofanya dhidi ya jamii ya wafuasi wa dini hiyo na kuchukuliwa hatua kali kwa wahusika wa vitendo hiyo. Ni baada ya kufichuliwa habari zaidi za ujasusi unaofanywa dhidi ya taasisi za Kiislamu za Marekani ikiwemo misikiti ambazo zinakabidhiwa kwa makundi yanayopiga…

Mgongano kati ya demokrasia na utambulisho wa Israeli

Mgongano kati ya demokrasia na utambulisho wa Israeli

Israeli iliundwa kwa misingi ya dini ya Kiyahudi. Uyahudi ukiwa na unwani wa taifa na pia vilevile kama dini ulikuwa msingi wa mfumo wa kisiasa wa Israeli, lakini uwepo wa tamaduni na dini zingine kama vile dini ya Kiislamu iliyokua ya Waarabu ulipinga wazo la serikali ya Kiyahudi ya kwamba je, mfumo wa kisiasa wa…

Walowezi wa Kizayuni wawashambulia Wapalestina Ukingo wa Magharibi mida ya usiku

Walowezi wa Kizayuni wawashambulia Wapalestina Ukingo wa Magharibi mida ya usiku

Makumi ya walowezi wa Kizayuni wamefanya hujuma na mashambulio dhidi ya nyumba za Wapalestina katika kitongoji cha al-Laban kusini mwa mji wa Nablos kaskazini mwa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu. Hujuma na mashambulio hayo ya walowezi wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina ambapo walikuwa wakisaidiwa na kupata himaya ya jeshi la utawala…

Idadi ya wanajeshi watoro yaongezeka katika jeshi la Israeli

Idadi ya wanajeshi watoro yaongezeka katika jeshi la Israeli

Miongoni mwa habari za Israel zimeripoti kuwa idadi ya askari wanaotoroka jeshi la utawala huo inaongezeka kadri siku zinavyokwenda.   Tovuti ya lugha ya Kiebrania ya “Walla” imeripoti kuwa, mwaka huu wa 2021 pekee idadi ya askari wa Isael wanaozungumza lugha y Kiarabu waliotoroka kutokana na kubaguliwa na vilevile wanajeshi wa kawaida wanaotoroka huduma za…

Iran Yalaani Mashambulizi ya Israel dhidi ya Latakia ya Syria

Iran Yalaani Mashambulizi ya Israel dhidi ya Latakia ya Syria

TEHRAN (FNA)- Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imesikitishwa na mashambulizi ya hivi karibuni ya Israel dhidi ya maghala ya chakula na dawa huko Latakia ya Syria, na kuutaja utawala wa Kizayuni kuwa chanzo cha ukosefu wa utulivu katika eneo hilo. Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran Saeed Khatibzadeh mnamo Jumatano…