Habari

Rais wa Lebanon Aoun atoa wito wa kufanyika kwa mazungumzo ‘ya dharura’ ya kitaifa

Rais wa Lebanon Aoun atoa wito wa kufanyika kwa mazungumzo ‘ya dharura’ ya kitaifa

Beirut, Lebanon – Rais wa Lebanon Michel Aoun ametoa wito wa kufanyika kwa mazungumzo ya “haraka” ya kitaifa kati ya vyama tawala vya nchi hiyo huku akilaani miezi kadhaa ya kupooza kisiasa serikalini. “Uvurugaji wa kimakusudi, wa kimfumo na usio na msingi unaosababisha kuvunjika kwa taasisi na serikali lazima ukome,” Aoun alisema katika hotuba ya…

Kwa nini Marekani inaisaidia israeli?

Kwa nini Marekani inaisaidia israeli?

Hivi karibuni mbunge wa chama cha Democrat katika Baraza la Wawakilishi la Marekani mwenye asili ya Somalia, Ilhan Omari aliomba radhi baada ya kutoa matamshi yaliyotafsiriwa na watu wengi kuwa ni ya chuki dhidi ya Wayahudi. Mwakilishi huyo alihusisha kamati ya masuala ya umma ya Marekani na Israel (AIPAC) kuwa inatumia pesa kuwahonga wanasiasa wa…

UTATA MASHARIKI YA KATI: Tahadhari yatolewa kwa Tanzania mgogoro wa Marekani, Iran

UTATA MASHARIKI YA KATI: Tahadhari yatolewa kwa Tanzania mgogoro wa Marekani, Iran

Mzozo huo umetokana na mpango wa nchi ya Iran wa kuzalisha nyuklia ikisema ni kwa ajili ya umeme, huku Marekani ikidai kuwa nchi hiyo ina mpango wa siri wa kutengeneza silaha za nyuklia. Kutokana na hofu hiyo, nchi za Marekani, Uingereza, Ufaransa, Ujerumani na China zilikubaliana kuiwekea vikwazo Iran iwapo itaendelea na mpango huo.Mwaka 2015…

VITA VYA SIKU SITA: Marekani yakumbana na Urusi vita vya Israel

VITA VYA SIKU SITA: Marekani yakumbana na Urusi vita vya Israel

Katika toleo lililopita tulisimulia jinsi Serikali ya Marekani ilivyopata habari kuwa vita imezuka katika Mashariki ya Kati ikiwahusisha Israel na baadhi ya mataifa ya Kiarabu, ilianza kufuatilia kwa karibu kila habari iliyotoka Mashariki ya Kati. Waliokutana kujadili kwa kina vita hivyo ni Rais wa Marekani, Lyndon Johnson (1963–1969); mshauri wake wa masuala ya usalama, Walt…

Je, Wachaga wana asili ya Uyahudi?

Je, Wachaga wana asili ya Uyahudi?

Wakati fulani Wachaga walinasibishwa na Uyahudi. Ilidaiwa kuwa kabila hilo lina nasaba na Wayahudi wa Ethiopia. Hata hivyo, kabila hilo linalopatikana kaskazini mwa Tanzania, linaelezwa kuwa limetokana na mchanganyiko wa wahamaji kutoka makabila mbalimmbali wakiwamo Wakamba, Wataita, Wamasai na Wasambaa. Miongoni mwa waliofanya utafiti na kuandika kuhusu hili ni aliyekuwa mhadhiri wa historia katika Chuo…

Tanzania yatangaza miradi ya kimkakati maonyesho Dubai

Tanzania yatangaza miradi ya kimkakati maonyesho Dubai

Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dotto James amesema Tanzania inatangaza miradi mikubwa ya kimkakati katika maonyesho ya kimataifa yanayofanyika Dubai katika Falme za Kiarabu (UAE). James ameyasema hayo leo Jumanne Oktoba 26 jijini Dar es Salaam wakati akitoa mrejesho wa ziara yake huko Dubai ambako alikwenda kuangalia ushiriki wa Tanzania…

Shirika la Umoja wa Mataifa linaunga mkono mipango ya Iran kuhifadhi wakimbizi nchini humo

Shirika la Umoja wa Mataifa linaunga mkono mipango ya Iran kuhifadhi wakimbizi nchini humo

Faraan: UNHCR, Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, limesema kuwa linakaribisha mchango wa Uingereza wa GBP milioni 2 (sawa na kiwango cha Dola milioni 2.7) ili kulinda na kuwasaidia Waafghanistan wanaokimbilia Iran kwa ajili ya kutafuta usalama. Mchango wa Uingereza utaenda katika ununuzi wa vitu vya msingi kama vile vyakula, mahema, blanketi na…

Hivi ndivyo Wayemeni walivyomuaga balozi wa kibinadamu, Bw Hassan Irloo

Hivi ndivyo Wayemeni walivyomuaga balozi wa kibinadamu, Bw Hassan Irloo

Wanamitandao kutoka nchini Yemen waliomboleza kifo cha balozi wa Iran nchini Yemen kutokana na hali yake kudhoofika baada ya kupata virusi vya Corona., wakimwita “balozi wa amani” na “balozi wa kibinadamu,” walisisitiza kuwa yeye ndiye balozi pekee aliyevunja uhusiano mbaya uliopo dhidi ya Yemen. Naye Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Bw….