Kurasa Maalum

Ujumbe wa Siku ya Quds; Umoja wa pande za upinzani dhidi ya wavamizi wa Kizayuni

Ujumbe wa Siku ya Quds; Umoja wa pande za upinzani dhidi ya wavamizi wa Kizayuni

Weledi wa mambo wanasema kuwa, maandamano ya Siku ya Quds mwaka huu yalikuwa tofauti na ya miaka ya nyuma kwa sababu yalifanyika huku kutimia kwa ndoto ya uhuru wa Palestina kukiwa karibu sana. Sababu ya tatizo hili ni uwezeshaji wa mhimili wa upinzani na umoja wa mashamba, au umoja wa mipaka ya mhimili huu. Wataalamu…

Tovuti 60 za utawala wa Kizayuni zililengwa katika shambulio la kimtandao

Tovuti 60 za utawala wa Kizayuni zililengwa katika shambulio la kimtandao

Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni viliripoti Jumamosi usiku kwamba tovuti 60 za utawala huu ziliharibiwa na mashambulizi ya mtandaoni katika muda wa siku 2 zilizopita. Kanali ya 12 ya utawala wa Kizayuni imeripoti kuwa, shambulio hilo la mtandao ni shambulio kubwa zaidi katika miaka ya hivi karibuni ambalo limelenga mkusanyiko mkubwa wa tovuti…

Utawala wa Kizayuni ukilekea kusambaratika na Quds ikiwa katika hali ya kupata uhuru

Utawala wa Kizayuni ukilekea kusambaratika na Quds ikiwa katika hali ya kupata uhuru

Baraza la Walinzi limetangaza katika taarifa yake kwamba vikosi vya muqawama vya Palestina na nchi za Kiislamu vimeungana zaidi kuliko ilivyokuwa hapo mwanzoni na kwamba, adui ambaye ni Mzayuni anakaribia zaidi dhana ya “kuporomoka” na “maangamizi” katika hali yake ya ukosefu wa utulivu. Kwa mujibu wa kambi ya habari ya Baraza la Walinzi, katika taarifa…

Swala ya Isha na Tarawehe katika Msikiti wa Al-Aqsa usiku wa tarehe 21 Ramadhani

Swala ya Isha na Tarawehe katika Msikiti wa Al-Aqsa usiku wa tarehe 21 Ramadhani

Makumi ya maelfu ya Wapalestina wanaendelea kufanya ibada na itikaf katika Msikiti wa Al-Aqsa katika Jerusalem inayokaliwa kwa mabavu licha ya vizuizi vinavyopo, vilivyowekwa na vikosi vya kizayuni. Vyanzo vya habari vya ndani vilitangaza kuwa raia wa Palestina walifungua mfungo wao baada ya Swala ya Maghrib katika viwanja vya Msikiti wa Al-Aqswa na kuswali Isha…

Ziwacheni Huru Roho Zenu kwa Kutubu – Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

Ziwacheni Huru Roho Zenu kwa Kutubu – Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

  Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Mkuu wa shule Jamia Urwatul Wuthqa – Lahore) Imetolewa katika msikiti wa: Masjid Baitul ul Ateeq Lahore – Pakistan Aprili 7, 2023 HOTUBA YA 1: ZIWACHENI HURU ROHO ZENU KWA KUTUBU Ninawausieni nyinyi pamoja na kuiusia nafsi yangu kumcha Mwenyezi Mungu, pamoja na kuwasisitizieni kuyasimamisha maisha yenu katika…

Hotuba ya Mtume, Manifesto ya Muongozo Katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

Hotuba ya Mtume, Manifesto ya Muongozo Katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

  Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Mkuu wa shule Jamia Urwatul Wuthqa – Lahore) Imetolewa katika msikiti wa: Masjid Baitul ul Ateeq Lahore – Pakistan Machi 31, 2023   HOTUBA YA KWANZA: HOTUBA YA MTUME, MANIFESTO YA MUONGOZO KATIKA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI. Ninawausieni nyinyi pamoja na kuiusia nafsi yangu kumcha Mwenyezi Mungu, pamoja…

Simu ya Amir Abdullahian na Bin Farhan na hali ya kukata tamaa ya Wazayuni

Simu ya Amir Abdullahian na Bin Farhan na hali ya kukata tamaa ya Wazayuni

Mawasiliano ya simu ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran na mwenzake wa Saudia na mapitio ya matukio ya hivi punde kuhusiana na makubaliano kati ya nchi hizo mbili na kuandaa mkutano wa pande hizo mbili katika mwezi wa Ramadhani. Ni msisitizo maradufu katika azma ya nchi hizo mbili ya kutekeleza makubaliano hayo ya…

Ni Kwanini Wasomi Wengi Hufuatilia Habari za Mwandamo wa Mwezi – Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

Ni Kwanini Wasomi Wengi Hufuatilia Habari za Mwandamo wa Mwezi – Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

  Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Mkuu wa shule Jamia Urwatul Wuthqa – Lahore) Imetolewa katika msikiti wa: Masjid Baitul ul Ateeq Lahore – Pakistan Machi 24, 2023   HOTUBA YA KWANZA: FUNGA NI KWA AJILI YA UTAKASO, QURAN NI KWA AJILI YA KUPALILIA Ninawausieni nyinyi pamoja na kuiusia nafsi yangu kumcha Mwenyezi Mungu,…