Kurasa Maalum

Rabetu – Agizo la kuanzisha mahusiano mema ya kijamii – Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

Rabetu – Agizo la kuanzisha mahusiano mema ya kijamii – Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Mkuu wa shule Jamia Urwatul Wuthqa – Lahore) Imetolewa katika msikiti wa: Masjid Baitul ul Ateeq Lahore – Pakistan Januari 6, 2023 HOTUBA ya 1: Rabetu – Agizo la kuanzisha mahusiano mema ya kijamii Ninawausieni nyinyi pamoja na kuiusia nafsi yangu kumcha Mwenyezi Mungu, na nawasisitizieni kuyasimamisha maisha yenu…

Agizo la kuanzisha mahusiano mema ya kijamii – Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

Agizo la kuanzisha mahusiano mema ya kijamii – Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Mkuu wa shule Jamia Urwatul Wuthqa – Lahore) Imetolewa katika msikiti wa: Masjid Baitul ul Ateeq Lahore – Pakistan Desemba 30, 2022   HOTUBA ya 1: Rabetu – Agizo la kuanzisha mahusiano mema ya kijamii Ninawausieni nyinyi pamoja na kuiusia nafsi yangu kumcha Mwenyezi Mungu, na nawasisitizieni kuyasimamisha maisha…

Sababu za kumsajili Ronaldo katika Klabu ya Nasr ya Saudia

Sababu za kumsajili Ronaldo katika Klabu ya Nasr ya Saudia

Faraan: Cristiano Ronaldo alijiunga na klabu ya Saudi Al-Nasr kwa mkataba wa euro milioni 200. Ijapokuwa kuajiriwa kwa wachezaji wa mpira kutoka nchi tofauti ni jambo la kawaida, lakini kuajiriwa kwa Ronaldo katika klabu ya al-Nasr ya Saudi Arabia kuna uchambuzi na uvumi wakivyake kulingana na macho ya watu wa Saudia na bila shaka maoni…

Waislamu wa madhehebu ya Kishia na nafasi yao ya kistratijiki duniani – Ali Akbar Raefipour

Waislamu wa madhehebu ya Kishia na nafasi yao ya kistratijiki duniani – Ali Akbar Raefipour

Kwa Jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu Mtazamo wa ulimwengu wa waumini. Hotuba ya Bw. Raefipour Shiraz tarehe 21 Januari 2016 Niwaambieni kitu ambacho kitawapa mtetemeko katika uti wa mgongo, kama ambavyo ni muhimu kwetu sisi kukijua; Asilimia 70 hadi 80 ya mafuta ya dunia yako mikononi mwa Mashia. Narudia tena; asilimia…

Subira sio jambo la mtu binafsi bali ni la kijamii – Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

Subira sio jambo la mtu binafsi bali ni la kijamii – Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

        Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Mkuu wa shule Jamia Orwatul Wuthqa – Lahore)  Imetolewa: Msikiti wa Baitul Ateeq  Lahore – Pakistan Desemba 23rd, 2022 Hotuba ya 1: Subira sio jambo la mtu binafsi bali ni la kijamii Ninawausieni nyinyi pamoja na kuiusia nafsi yangu kumcha Mwenyezi Mungu, na nawasisitizieni kuyasimamisha…

Baraza la mawaziri la Netanyahu na uwezekano wa kutokea Tsunami ya kisiasa na kiuchumi katika utawala wa Kizayuni

Baraza la mawaziri la Netanyahu na uwezekano wa kutokea Tsunami ya kisiasa na kiuchumi katika utawala wa Kizayuni

Vyombo vya habari vya Israel vilichapisha baadhi ya maelezo ya makubaliano yaliyofanywa na Waziri Mkuu Binyamin Netanyahu na vyama vya mrengo mkali wa kulia ili kuunda baraza la mawaziri la muungano. Kwa mujibu wa vyombo vya habari, maelezo ya mapatano ya kutia shaka ambayo Netanyahu aliyahitimisha akiwa na shakhsia wenye misimamo mikali na wenye utata…

Wafungwa wa Ethiopia nchini Saudi Arabia wanalazimika kuchoma nywele zao

Wafungwa wa Ethiopia nchini Saudi Arabia wanalazimika kuchoma nywele zao

Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limechapisha kipande cha video kinachoonyesha kuwa wafungwa wa Ethiopia nchini Saudi Arabia wanalazimika kunyoa nywele zao kwa kuzichoma moto kutokana na ukosefu wa vifaa vya usafi katika magereza hayo. Kurasa za upinzani za Twitter zimenukuu shirika la Amnesty International likisema kuwa mamlaka ya Saudia haitoi sabuni…

Chile yaanzisha ubalozi nchini Palestina

Chile yaanzisha ubalozi nchini Palestina

Rais wa Chile, Gabriel Borich, alitangaza jana usiku kuwa nchi yake inapanga kuboresha ofisi yake ya mwakilishi wa kisiasa nchini Palestina hadi kufikia kiwango cha ubalozi. Kwa mujibu wa ripoti ya gazeti la Al-Quds Al-Arabi la kimkoa siku ya Alkhamisi, Borich alieleza hayo katika hotuba yake katika sherehe za kuzaliwa Yesu Kristo, amani iwe juu…