Kurasa Maalum

Yemen yakasirika baada ya UAE kuwaingiza ‘watalii’ wa Israel kisiwani Socotra

Yemen yakasirika baada ya UAE kuwaingiza ‘watalii’ wa Israel kisiwani Socotra

Hasira zimeenea miongoni mwa watu wa Yemen baada ya kuenea picha zinazowaonyesha “watalii” kutoka utawala haramu wa Israeli wakitembelea kisiwa cha kistratijia cha Yemen cha Socotra ambacho kinakaliwa kwa mabavu na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE). aarifa zinasema UAE ndiyo iliyowaingiza ‘watalii’ hao Waisraeli katika kisiwa hicho cha Yemen. Picha zimesambazwa zikiwaonyesha Waisraeli hao…

Iran yafanya majaribio ya chombo cha kurusha satelaiti kinachotumia fueli mango

Iran yafanya majaribio ya chombo cha kurusha satelaiti kinachotumia fueli mango

Kamanda wa Kikosi cha Anga cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema Iran imefanyia majaribio yaliyofana injini ya kwanza ya Iran yenye kubeba satalaiti katika anga za mbali ambayo inatumia fueli mango. Akizungumza Alhamisi mjini Qum, Kamanda wa Kikosi cha Anga cha IRGC Jenerali Amir-Ali Hajizadeh amesema: “Katika majaribio hayo yaliyofana, injini…

Kamanda wa IRGC: Hakuna Maeneo Salama kwa Maadui

Kamanda wa IRGC: Hakuna Maeneo Salama kwa Maadui

TEHRAN – Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) Meja Jenerali Hossein Salami amesema kuwa, maadui wa Iran wamedhoofika sana na wameshindwa kiasi kwamba hakuna eneo salama lililobaki kwao. “Sisi ni washindi leo na hivi ndivyo ukweli ulivyo uwanjani,” Jenerali Salami alisema, akihutubia katika hafla huko Tehran Jumapili jioni. “Leo hii, mapanga…

Waingereza wakubali kurejesha ufunguo wa seli ya Mandela Afrika Kusini baada ya kusalimu amri

Waingereza wakubali kurejesha ufunguo wa seli ya Mandela Afrika Kusini baada ya kusalimu amri

Ufunguo wa seli ya gereza ya kisiwa cha Robben alikofungwa Nelson Mandela utarudishwa Afrika Kusini badala ya kupigwa mnada nchini Marekani. Hayo yamesemwa na Waziri wa Utamaduni wa Afrika Kusini, Nathi Mthethwa ambaye alipinga vikali hatua ya Uingereza ya kutaka kuupiga mnada ufunguo huo. Waziri Mthethwa amesema, “ufunguo huo ambao ulipangwa kupigwa mnada New York tarehe 28…

Zaidi ya wasanii 20 wasusia Tamasha la Sydney, huku  wakiupinga ufadhili wa Israel

Zaidi ya wasanii 20 wasusia Tamasha la Sydney, huku wakiupinga ufadhili wa Israel

Zaidi ya wasanii 20 hadi sasa yamejiondoa kwenye Tamasha la Sydney 2022 kupinga mchango wa kifedha uliotolewa na ubalozi wa utawala haramu wa Israel nchini Australia kwa moja ya maonyesho ya tamasha hilo. Ususiaji huo wa wasanii umekuja baada ya Israel kuorodheshwa kama “Star Partner” wa tamasha hilo la kila mwaka kwa kutoa dola 20,000…

Ushindi wa Abu Hawash baada ya kushikwa mateka kwa siku 141 za vita “bila ya chochote tumboni”

Ushindi wa Abu Hawash baada ya kushikwa mateka kwa siku 141 za vita “bila ya chochote tumboni”

Shirika la habari la Palestina lilizungumza na Shirika la Habari la Ma’an kuhusu kesi ya Hisham Abu Hawash, ambaye alikuwa kwenye mgomo wa kula kwa siku 141, ilifungwa baada ya shinikizo kubwa kwa nchi ya Israeli. Shirika hilo lilisisitiza kuwa, makubaliano yalifikiwa kuashiria kwamba Abu Hawash ataachiliwa huru Februari tarehe 26 bila kuongezwa muda na…

Iran: Serikali ya Marekani ina “jukumu dhahiri la kimataifa” kwa mauaji ya Kamanda wa Kupambana na Ugaidi Jenerali Soleimani

Iran: Serikali ya Marekani ina “jukumu dhahiri la kimataifa” kwa mauaji ya Kamanda wa Kupambana na Ugaidi Jenerali Soleimani

Katika taarifa hiyo iliyotolewa Ijumaa, wizara ya mambo ya nje ilisema kitendo cha jinai cha Washington kumuua Jenerali Soleimani ni mfano wa shambulio la kigaidi ambalo lilipangwa na kuendeshwa na utawala wa wakati huo wa Marekani na sasa ni jukumu la Ikulu ya Marekani. “Chini ya viwango vya kimataifa na kisheria, serikali ya Marekani ina…

Shirika la Iran Khodro laanza tena kuunda magari Afrika

Shirika la Iran Khodro laanza tena kuunda magari Afrika

Shirika la Iran Khodro, ambalo ndilo shirika kubwa zaidi la kuunda magari Asia Magharibi, limetangaza kufungua tena kiwanda chake cha kuunda magari nchini Senegal. Shirika hilo la Iran litaanza kuunda magari aina ya Samand katika mji wa Thies, ambao ni wa pili kwa ukubwa Senegal na uko mbali wa kilimota 70 kutoka mji mkuu, Dakar….