Kurasa Maalum

Tanzania, moja kati ya nguzo muhimu dhehebu la Shia Ithnashariya barani Afrika

Tanzania, moja kati ya nguzo muhimu dhehebu la Shia Ithnashariya barani Afrika

Katika miongo 4 iliyopita, idadi ya Mashia nchini Tanzania imeongezeka, na Kituo cha Ahl al-Bayt ambayo ni moja kati ya madhehebu ya dini ya Kiislamu, kimepata nguvu nyingi. Asilimia kubwa ya wakazi wa Dar es Salaam, mojawapo ya miji ya kihistoria na muhimu nchini Tanzania na Afrika Mashariki, ni Waislamu kutoka kwenye dhehebu hili la…

Mwangaza wa kijani wa Biden kwa Netanyahu kufanya mashambulizi ya Rafah

Mwangaza wa kijani wa Biden kwa Netanyahu kufanya mashambulizi ya Rafah

Faraan: Gazeti la Marekani la “Washington Post” liliandika jana jioni kwamba Rais wa Marekani Joe Biden na manaibu wake “tangu kuanza kwa vita vya Gaza – wako kwenye hatihati ya kukata uhusiano na Netanyahu na hawamchukulii tena kuwa mshirika wake. Kwa hivyo, kuongezeka kwa kufadhaika na kukatishwa tamaa kwa tabia ya Netanyahu kumesababisha baadhi ya…

Uchambuzi kuhusu hukumu ambayo haijawahi kushuhudiwa ya Mahakama ya The Hague dhidi ya utawala wa Kizayuni

Uchambuzi kuhusu hukumu ambayo haijawahi kushuhudiwa ya Mahakama ya The Hague dhidi ya utawala wa Kizayuni

Hapana shaka kwamba uamuzi wa Mahakama ya Juu ya Kimataifa ya Haki mnamo (Ijumaa, Februari tarehe 6) kuhusu mauaji ya halaiki yanayoendelea mjini Gaza haukufikia kiwango kilichotarajiwa na mahakama hiyo ilipaswa kuomba kusitishwa mara moja kwa vita hivyo, lakini licha ya suala hili; uamuzi huo wa mahakama ulikuwa uamuzi muhimu na kinyume na matarajio ya…

Nguzo nne za kuanzisha Uadilifu/ Unafiki wa Qatar, Uturuki na Misri: Hujjatul Islam Syed Jawad Naqvi

Nguzo nne za kuanzisha Uadilifu/ Unafiki wa Qatar, Uturuki na Misri: Hujjatul Islam Syed Jawad Naqvi

Hujjatul Islam Ustadh Syed Jawad Naqvi (Mkuu wa shule Jamia Orwatul Wuthqa – Lahore) Imetolewa: Masjid Baitul ul Ateeq Lahore – Pakistan Hotuba ya Ijumaa – Januari 12, 2024   Hotuba ya 1 : Nguzo nne za kuanzisha Uadilifu Hotuba ya 2 : Unafiki wa Qatar, Uturuki na Misri Mwongozo kama vile uchamungu (Taqwa) umewekwa…

Utawala wa Kizayuni na Afrika Mashariki

Utawala wa Kizayuni na Afrika Mashariki

Faraan: Utawala wa Kizayuni umekua ukiangazia maslahi yake katika eneo la Afrika Mashariki kabla ya kuasisiwa kwa utawala wa Jerusalem unaokaliwa kwa mabavu, na wananadharia wa Kizayuni walizichukulia Uganda na Kenya kuwa nchi teule kwa ajili ya ukusanyaji wa Mayahudi waliokimbia makazi yao duniani. Maslahi ya utawala wa Kizayuni katika eneo la Afrika Mashariki yalikuwa…

Fatma Karume: Muungano haujaathiri Wazanzibari

Fatma Karume: Muungano haujaathiri Wazanzibari

MJANE wa Rais wa kwanza wa Zanzibar, Abeid Karume, Fatma Karume amesema Muungano wa Tanganyika na Zanzibar haujawaathiri Wazanzibari. Alisema hayo nyumbani kwake Maisara visiwani Zanzibar wakati anazungumza na waandishi wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN). Fatma akasema tangu Tanganyika na Zanzibar ziungane mwaka 1964, hajaona kama muungano umewaathiri Wazanzibari kwa namna yoyote. Anasema…

Armenia: Hatutazamii kuondoka katika Shirika la Mkataba wa Usalama wa Pamoja

Armenia: Hatutazamii kuondoka katika Shirika la Mkataba wa Usalama wa Pamoja

Mwanadiplomasia mkuu wa Armenia alisema kuwa nchi hiyo haitaki kuondoka katika Shirika la Mkataba wa Usalama wa Pamoja na kufunga kambi ya jeshi la Urusi nchini humo. Mwanadiplomasia mkuu wa Armenia alitangaza Alhamisi kwamba uanachama wa nchi hiyo katika Shirika la Mkataba wa Usalama wa Pamoja na uhusiano wa kawaida na Urusi utaendelea. Kulingana na…

Njama ya pamoja ya Washington-Tel Aviv ya kuwaondoa Hamas mamlakani

Njama ya pamoja ya Washington-Tel Aviv ya kuwaondoa Hamas mamlakani

Bloomberg ilifichua njama za utawala wa Kizayuni na Marekani za kutaka kuwaondoa Hamas madarakani na kupeleka vikosi vya kulinda amani huko Ghaza. Utawala wa Kizayuni kwa dhana ya kuangamiza harakati ya Hamas, umekuwa ukiendelea kuushambulia Ukanda wa Gaza kwa muda wa siku 26 na kuua maelfu ya Wapalestina, na hauko tayari kutoa wito wa kusitishwa…