Kiswahili Sasa Kutumiwa Na AU katika Uendeshaji wa Vikao Vyao
UMOJA wa Afrika (AU) sasa utaanza kutumia Kiswahili kama moja ya lugha kuu kuendeshea kazi zake, kufuatia hoja iliyopitishwa kwenye kongamano kuu la shirika hilo Jumapili jijini Addis Ababa, Ethiopia. Ombi hilo liliwasilishwa na Makamu wa Rais wa Tanzania, Philip Mpango (pichani), akishikilia kuwa Kiswahili kinapaswa kukwezwa hadhi na kuanza kutumika kutekelezea shughuli za kikazi…
Ushawishi wa Uzayuni katika Benki ya Dunia
Mnamo mwaka wa 1944, Bretton Woods, mji unaopatikana kwenye Jimbo la New Hampshire kwa ushirikiano na Marekani, waliidhinisha uanzilishi wa Shirika la Fedha la Kimataifa na Benki ya Dunia. Waanzilishi wakuu wa shirika hilo walikuwa Bretton Woods na baadaye IMF, ” Harry Dexter White ” na ” John Maynard Keynes “.Mnamo Oktoba 16, 1953, White…