Mashariki ya kati

Russia: Mashambulizi dhidi ya Syria yamefichua undumakuwili wa Magharibi

Russia: Mashambulizi dhidi ya Syria yamefichua undumakuwili wa Magharibi

Balozi wa Russia katika Umoja wa Mataifa amelaani vikali mashambulio haramu ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Syria na kusisitiza kuwa, hujuma hizo zimefichua sura halisi ya Wamagharibi likija suala la haki za binadamu. Vasily Nebenzia amesema hayo katika hotuba yake kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na kuongeza kuwa, “Israel…

Waziri Mkuu wa Iraq kujiuzulu iwapo mkwamo wa kisiasa utaendelea kushuhudiwa

Waziri Mkuu wa Iraq kujiuzulu iwapo mkwamo wa kisiasa utaendelea kushuhudiwa

Waziri Mkuu wa Iraq ametishia kuwa atajiuzulu wadhifa wake huo iwapo mkwamo na mgogoro wa kisiasa utaendelea kushuhudiwa nchini huo. Mustafa al-Kadhimi alitoa indhari hiyo jana Jumanne na kusisitiza kuwa, “Nitaachia ngazi kulalamikia hali ya kisiasa isiyoeleweka.” Taifa hilo la Kiarabu limekuwa katika mvutano wa kisiasa, uliopelekea kushindwa kuunda serikali tangu baada ya uchaguzi wa…

Amir-Abdollahian: Iran inafuatilia kuhakikisha kunafikiwa makubaliano ya kudumu katika mazungumzo ya Vienna

Amir-Abdollahian: Iran inafuatilia kuhakikisha kunafikiwa makubaliano ya kudumu katika mazungumzo ya Vienna

Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria mazungumzo ya Vienna ya kuondolewa vikwazo taifa hili na kusema kuwa, Tehran inafuatilia kwa nguvu zote kuhakikisha kunafikiwa makubaliano ya kudumu. Hussein Amir-Abdollahian, amesema hayo katiika mkutano wake na waandishi wa habari mjini Moscow akiwa pamoja na mwenyeji wake, Sergey Lavrov, Waziri wa…

Sheikh Issa Qassim: Kujengwa kitongoji cha walowezi wa Kiyahudi Manama ni jinai

Sheikh Issa Qassim: Kujengwa kitongoji cha walowezi wa Kiyahudi Manama ni jinai

Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Bahrain amekosoa viikali uamuzi wa utawala wa Aal Khalifa wa kuanzisha kitongoji cha walowezi wa Kiyahudi katika mji mkuu Manama na kueleza kwamba, hatua hiyo ni jinai na dhulma ya wazi dhidi ya wananchi wa nchi hiyo ya Kiarabu. Sheikh Issa Qassim, kiongozi wa kimaanawi wa Mapinduzi ya Wananchi wa…

Raisi: Kuimarishwa uhusiano wa Saudi Arabia na Iran ni kwa maslahi ya usalama wa eneo

Raisi: Kuimarishwa uhusiano wa Saudi Arabia na Iran ni kwa maslahi ya usalama wa eneo

Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ubunifu na hatua za Iraq katika kuboresha ushirikiano baina ya nchi za eneo bila uingiliaji wa madola ajinabi ni jambo ambalo limekuwa na taathira na kuongeza kuwa: “Kurekebishwa na kuimarishwa uhusiano wa Iran na Saudi Arabia ni kwa maslahi ya usalama wa eneo.” Kwa mujibu wa taarifa,…

Russia: Marekani irejeshe fedha za Afghanistan zilizoibwa

Russia: Marekani irejeshe fedha za Afghanistan zilizoibwa

Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa ameitaka Marekani izirejeshe fedha zilizoibiwa Afghanistan. Vasily Nebenzya ametoa mwito huo alipohutubia kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa. Kwa mujibu wa shirika la habari la Russia TASS, mkutano wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wa kujadili suala la Afghanistan uligeuka uwanja wa utoaji tuhuma…

Sisitizo la kuendelezwa “medani za pamoja za mapambano” na kuangaliwa Israel kama adui wa pamoja wa Wapalestina wote

Sisitizo la kuendelezwa “medani za pamoja za mapambano” na kuangaliwa Israel kama adui wa pamoja wa Wapalestina wote

Huku utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ukiwa umeanzisha vita vikali vya kisaikolojia katika siku za hivi karibuni kuulenga uhusiano wa Hamas na Jihadul-Islami, viongozi wa harakati hizo mbili za muqawama za Palestina wamesisitiza katika mazungumzo yao kwamba wameungana na wako kitu kimopja katika mapambano yao dhidi ya utawala huo ghasibu. Hivi karibuni, utawala wa…

Muqtada Sadr na machafuko ya Iraq

Muqtada Sadr na machafuko ya Iraq

Jumapili ya jana tarehe 29 Agosti Iraq Jumapili ilishuhudia sokomoko na matukio ambayo kimsingi yalitabiriwa kutokea. Wimbi la machafuko hayo lilienea huku chanzo na chimbuko lake likiwa ni mwenendo wa kisiasa wa Muqtada Sadr, Kiongozi wa Harakati ya Sadr ya Iraq. Jumapili ya jana Ayatullah Hairi Marjaa Taqlidi wa Kishia ambaye anatambuliwa na wengi kama muungaji mkono wa…