Mashariki ya kati

Putin apongeza ushirikiano wa nchi za Kiislamu katika kutatua masuala ya kimataifa

Putin apongeza ushirikiano wa nchi za Kiislamu katika kutatua masuala ya kimataifa

Katika ujumbe wake Vladimir Putin, hii leo amesifu hatua ya ushirikiano wa nchi za Kiislamu na Russia katika kutatua masuala ya kimataifa. Shirika la habari la Tass leo hii limenukuu ujumbe wa Rais wa Russia kwa washiriki na wageni wa Kongamano la Vijana Ulimwenguni huko Kazan na kusema: Nchi za Kiislamu zimekuwa washirika wa jadi…

Iran: Utatuzi wa kadhia ya Palestina ni msingi wa utulivu na usalama

Iran: Utatuzi wa kadhia ya Palestina ni msingi wa utulivu na usalama

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Ali Bagheri Kani amesema utatuzi wa kadhia ya Palestina ndio msingi wa kuanzishwa utulivu na usalama Asia Magharibi (Mashariki ya Kati), na kueleza kwamba mpango wowote unaopuuza haki za taifa la Palestina husababisha kukosekana utulivu na kuvuruga usalama wa eneo hilo. Bagheri Kani aliyasema hayo katika mkutano…

Undumakuwili wa Marekani kuhusu suala la uhuru wa kujieleza

Undumakuwili wa Marekani kuhusu suala la uhuru wa kujieleza

Kufuatia matamshi yaliyotolewa hivi karibuni na Nader Hashemi, Mhadhiri na Mkuu wa Kituo cha Utafiti wa Mashariki ya Kati katika Chuo Kikuu cha Denver, kuhusiana na uwezekano wa Israel kuhusika katika shambulio dhidi ya Salman Rushdie, Warepublican katika Congress ya Marekani wameonya kuhusu ushawishi wa Iran katika vyuo vikuu vya nchi hiyo na kutangaza kwamba…

Wanawake Wapalestina wanateseka katika jela za Israel

Wanawake Wapalestina wanateseka katika jela za Israel

Kwa mujibu wa takwimu za hivi karibuni, utawala haramu wa Israel umewatia mbaroni zaidi ya wanawake 16,000 wa Kipalestina tangu mwaka 1967 huku mashirika ya haki za binadamu yakionya kuhusu hali mbaya ya wafungwa wa kike katika jela za kuogofya za Israel. Addameer, asasi isiyo ya kiserikali ya Wapalestina ambayo inafuatilia jinsi wafungwa wa Kipalestina…

Muqtada Sadr atangaza kujiuzulu siasa

Muqtada Sadr atangaza kujiuzulu siasa

Muqtada Sadr, Kiongozi wa Harakati ya Sadr ya Iraq ametangaza kujiuzulu harakati na shughuli zote za kisiasa. Uamuzi huo ambao haukutarajiwa hasa katika kipindi hiki cha mkwamo wa kisiasa nchini Iraq ambao mrengo wake unatuhumiwa kuhusika, ameuchukua baada ya taarifa muhimu iliyotolewa na Ayatullah Sayyid Kadhim Hairi. Sayyid Muqtada Sadr ametangaza kuwa, hakuna wakati ambao…

Hotuba ya Ijumaa – 26th August 2022, Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

Hotuba ya Ijumaa – 26th August 2022, Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

 Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Mkuu wa shule Jamia Orwatul Wuthqa – Lahore)  Imetolewa: Msikiti wa Baitul Ateeq  Lahore – Pakistan  Hotuba ya 1:  Ucha Mungu na tendo Muhimu zaidi kwa sasa ni kusaidia wahanga wa mafuriko Ninawausieni nyinyi pamoja na kuiusia nafsi yangu kumcha Mwenyezi Mungu, na nawasisitizieni kuyasimamisha maisha yenu katika misingi…

Muungano vamizi wa Saudia wazuia meli ya nne iliyobeba shehena ya mafuta ya Yemen

Muungano vamizi wa Saudia wazuia meli ya nne iliyobeba shehena ya mafuta ya Yemen

Shirika la mafuta la Yemen limetangaza kuwa, muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia umeizuia meli ya nne iliyobeba shehena ya mafuta ya nchi hiyo. Mbali na kuiba mamilioni ya mapipa ya mafuta kutoka Yemen, muungano wa kijeshi wa Saudia umeshadidisha hali mbaya ya uhaba wa mafuta na fueli katika nchi hiyo masikini na iliyoathiriwa…

Takwimu mpya za kutisha zatolewa kuhusu jinai za Saudia nchini Yemen

Takwimu mpya za kutisha zatolewa kuhusu jinai za Saudia nchini Yemen

Wizara ya Afya ya Yemen imetangaza takwimu mpya za hasara roho na mali za watu zilizosababishwa na jinai za miaka minane ya vita vya kivamizi vya muungano wa nchi za Kiarabu wakiongozwa na Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati). Mwaka 2015, Saudia na Imarati kwa baraka kamili za Marekani, nchi za Magharibi…