Ziyad al-Nakhala: Katu hatutasalimu amri; adui anataka kutufanya watumwa
Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina amesisitiza kuwa, katu wananchi wa Palestina hawatasalimu amri mbele ya adui Mzayuni na kwamba, bendera ya Palestina itaendelea kupepea. Ziyad al-Nakhala, Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina amebainisha kuwa, lengo la adui ni kutufanya watumwa hivyo katu hatuwezi kusalimu amri. Kiongozi huyo mwandamizi wa Harakati ya…
Majibu ya Marekani kuhusu JCPOA na kuendelea tuhuma zisizo na msingi dhidi ya Iran
Edward “Ned” Price, msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya Marekani alisema jana Jumatano kuwa, Washington imetoa majibu kuhusu mitazamo ya Iran juu ya mazungumzo ya kuondolewa vikwazo Tehran. Amesema: Uchunguzi wetu kuhusu mitazamo ya Iran umekamilika na leo (Jumatano) tumekabidhi mapendekezo yetu kwa Umoja wa Ulaya. Naye Nasser Kan’ani, Msemaji wa Wizara ya Mambo…
Jeshi la Iran laendeleza mazoezi ya ndege za kivita zisizo na rubani
Mazoezi ya Pamoja ya Ndege Zisizo na Rubani (droni) 1401 ya Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yameendelea kwa siku ya pili leo ambapo droni za kivita zimefanikiwa kutekeleza oparesheni zao kwa mafanikio. Mazoezi hayo ambayo yalianza Jumatano yanajumuisha droni za kivita 150 na yanafanyika kote katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Katika mazoezi…
Wazayuni wana kiwewe cha mashambulio ya Hizbullah ya Lebanon
Duru moja ya Kizayuni imethibitisha taarifa kuwa jeshi la Israel lina kiwewe cha kuingia vitani tena na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon na kusisitiza kuwa, utawala huo unavichukulia kwa uzito mkubwa vitisho vya Katibu Mkuu wa Hizbullah, Sayyid Hassan Nasrullah. Mtandao wa habari wa News1 wa Kizayuni umeripoti habari hiyo na kuongeza…
Iran: Israel inapaswa kuharibu silaha zake za nyuklia na ijiunge na NPT
Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa ameutaka utawala wa Kizayuni wa Israel uharibu silaha zake za nyuklia na ujiunge haraka na Mkataba za Kuzuia Uzalishaji na Usambazaji wa Silaha za Nyuklia (NPT). Majid Takht Ravanchi alisema hayo katika Mkutano wa Kumi wa Kuangalia Upya Maazimio ya Nchi…
HAMAS yasisitizia msimamo wake wa kupinga kuanzishwa uhusiano wa kawaida na Wazayuni
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS kwa mara nyingine tena imesisitiza kwamba, inapinga kuanzishwa uhusiano wa aina yoyote na utawala haramu wa Israel. Taarifa iliyotolewa na Kituo cha Upashaji Habari cha Palestina imeeleza kuwa, HAMAS inakanusha madai ya baadhi ya vyombo vya habari kwamba, imeafiki suala la kuanzishwa uhusiano wa kawaida baina ya Uturuki…
HAMAS: Jukumu la kambi ya muqawama ni kuifuta Israel katika uso wa dunia
Kiongozi mmoja mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, jukumu kuu la kambi ya muqawama ni kuhakikisha ardhi zote za Palestina zinakombolewa na hiyo maana yake ni kufutwa katika uso wa dunia, utawala pandikizi wa Kizayuni ambao unazikalia kwa mabavu ardhi za Palestina. Shirika la habari la FARS limemnukuu Mahmoud…
Nasrullah: Ushindi wa mwaka 2000 wa Muqawama ulitamatisha mradi wa “Israel Kubwa”
Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, ushindi wa mwaka 2000 wa Muqawama ulihitimisha mradi wa “Israel Kubwa.” Sayyid Hassan Nasrullah ameyasema hayo katika hotuba ya ufungaji wa sherehe za kuadhimisha “Machipuo Arubaini” kwa mnasaba wa kutimia miaka 40 tangu ilipoasisiwa harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah. Nasrullah ameeleza kuwa kuna mafungamano makubwa baina ya…