Mashariki ya kati

Israel imewaua shahidi watoto Wapalestina zaidi ya 1,000 tangu 2008

Israel imewaua shahidi watoto Wapalestina zaidi ya 1,000 tangu 2008

Tangu mwaka 2008, zaidi ya watoto elfu moja wa Kipalestina wameuawa shahidi katika Ukanda wa Gaza katika mashambulizi ya jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel Kwa mujibu wa kanali ya televisheni ya Al-Mayadeen siku ya Alkhamisi, mashahidi 15 kati ya 43 wa mashambulizi ya hivi karibuni ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Ghaza…

Jibu la Kiongozi Muadhamu kwa Barua ya Katibu Mkuu wa Jihad Islami ya Palestina

Jibu la Kiongozi Muadhamu kwa Barua ya Katibu Mkuu wa Jihad Islami ya Palestina

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amejibu barua ya Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina na kusema, “mapambano (muqawama) ya kishujaa ya Jihad Islami yatapelekea kupanda hadhi ya harakati hii katika mapambano sambamba na kusambaratisha hadaa za utawala wa Kizayuni na kuufedhehesha utawala huo.” Kwa mujibu wa taarifa ya tovuti ya Ofisi…

Iran yaitaka Marekani kukubali matakwa halali ya Jamhuri ya Kiislamu

Iran yaitaka Marekani kukubali matakwa halali ya Jamhuri ya Kiislamu

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian ameitaka Marekani kuandaa mazingira ya kuafikiwa rasimu ya mwisho ya makubaliano ya mazungumzo ya Vienna kwa kukubali “matakwa halali” ya Jamhuri ya Kiislamu. Amir-Abdollahian aliyasema hayo Jumatano jioni katika manzungumzo na mwenzake wa Uturuki Mevlut Cavosoglu na kuongeza kuwa: “Tumefikisha ujumbe wetu kwa Marekani kupitia nchi…

Je, ni nani mshindi hasa wa vita vya siku tatu huko Gaza?

Je, ni nani mshindi hasa wa vita vya siku tatu huko Gaza?

Ikiwa ni katika kueneza siasa zake za kipropaganda, utawala wa Kizayuni wa Israel unaeneza uongo kuwa mara hii harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS haikushirikiana na harakati ya Jihad Islami katika vita vya siku tatu vya hivi karibuni huko Katika Ukanda wa Gaza. Lakini ukweli wa mambo ni kwamba utawala huo unapuuza kwa…

Oman haitafuata nyayo za Saudia za kuruhusu ndege za Israel zitumie anga yake

Oman haitafuata nyayo za Saudia za kuruhusu ndege za Israel zitumie anga yake

Oman imeripotiwa kukataa kuruhusu ndege za utawala wa haramu wa Israel kuruka katika anga yake, ikionekana kujiepusha kufuata nyayo za Saudi Arabia za kujikurubisha wazi wazi na utawala huo haramu. Televisheni ya RT iliripoti Jumatano kwamba Oman bado haijatoa ridhaa yake ya kufungua anga zake kwa mashirika ya ndege ya Israel. Safari za ndege kupitia…

Marekani yatiwa kiwewe na hatua ya Iran kurusha satalaiti anga za mbali

Marekani yatiwa kiwewe na hatua ya Iran kurusha satalaiti anga za mbali

Marekani imeghadhabishwa na hatua ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ya kurusha satalaiti katika anga za mbali kwa mafanikio, kwa kutumia roketi la Russia. Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani amesema katika taarifa kuwa, kitendo cha Russia cha kupanua uhusiano na ushirikiano na Iran kinapaswa kutazamwa na dunia kama tishio kubwa. Maafisa…

Wananchi wa Morocco wateketeza moto bendera za Israel katika maandamano

Wananchi wa Morocco wateketeza moto bendera za Israel katika maandamano

Wananchi wa Morocco waliokuwa na hasira wameteketeza moto bendera za utawala wa Kizayuni wa Israel mbele ya bunge la nchi hiyo katika maandamano ya kulaani hujuma ya utawala huo dhidi ya Gaza. Aidha wameteketeza moto bendera hizo za utawala wa Kizayuni kama njia ya kulaani hatua ya utawala wa Morocco kuanzisha uhusiano wa kawaida na…

Sayyid Nasrullah: Iran ndio moyo wa Uislamu na mrengo wa muqawama

Sayyid Nasrullah: Iran ndio moyo wa Uislamu na mrengo wa muqawama

Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ndio moyo wa Uislamu na mrengo wa muqawama wa Kiislamu duniani. Sayyid Hassan Nasrullah alisema hayo jana Jumanne mjini Beirut akiuhutubia umati wa waombolezaji wa Ashura ya Imam Hussein (AS) na kuongeza kuwa, Iran chini ya uongozi wa Ayatullah Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu…