Mashariki ya kati

Wazayuni: Jihad al Islami imeweka tayari zaidi ya makombora 3000 yakisubiri kufyatuliwa tu

Wazayuni: Jihad al Islami imeweka tayari zaidi ya makombora 3000 yakisubiri kufyatuliwa tu

Duru za Kizayuni zimedai kuwa, Harakati ya Jihad al Islami ya Palestina imeweka tayari kwa ajili ya kufyatuliwa makombora zaidi 3000 baada ya kiongozi wake mmoja kukamatwa katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan. Mapema Jumanne asubuhi, wanajeshi wa utawala wa Kizayuni waliivamia kambi ya wakimbizi ya Jenin na kumuua shahidi Mpalestina mmoja na kumteka…

Jihad Islami yavurumisha makombora Israel baada ya kamanda wake kuuawa

Jihad Islami yavurumisha makombora Israel baada ya kamanda wake kuuawa

Harakati ya Jihad Islami ya Palestina imevurumisha makombora zaidi ya 100 katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu zilizopachikwa jina la Israel ikiwa ni katika kulipiza kisasi hatua ya utawala katili wa Israel ya kumuua kamanda wa ngazi za juu wa harakati hiyo. Jihad Islami imesema makombora hayo yaliyovurumishwa usiku wa kuamkia leo ni hatua ya awali…

Raisi alaani ukatili wa Israel dhidi ya Wapalestina Gaza, IRGC yatoa neno

Raisi alaani ukatili wa Israel dhidi ya Wapalestina Gaza, IRGC yatoa neno

Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani mashambulizi ya kikatili ya utawala wa Kizayuni wa Israel yaliyopelekea kuuawa shahidi na kujeruhiwa makumi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza. Sayyid Ebrahim Raisi amesema hayo leo Jumamosi hapa mjini Tehran na kuongeza kuwa, “Katika jinai zake za jana usiku, utawala wa Kizayuni kwa mara…

Syria yataka mpango wa nyuklia wa Israel uwe chini ya usimamizi wa IAEA

Syria yataka mpango wa nyuklia wa Israel uwe chini ya usimamizi wa IAEA

Mwakilishi wa kudumu wa Syria katika Umoja wa Mataifa amesisitizia ulazima wa vituo vya nyuklia vya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kuwa chini ya ukaguzi na usimamizi wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA. Bassam al-Sabbagh ameyasema hayo katika hotuba aliyotoa katika mkutano wa kuupitia upya mkataba wa kupiga marufuku uundaji na uenezaji…

Palestina yaongeza kasi ya kampeni ya kupigania uanachama wa kudumu wa Umoja wa Mataifa

Palestina yaongeza kasi ya kampeni ya kupigania uanachama wa kudumu wa Umoja wa Mataifa

Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amemwandikia barua Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ya kuomba Palestina kupatiwa uanachama kamili wa umoja huo. Novemba 29, mwaka 2012 Umoja wa Mataifa uliikubali Palestina kuwa mwanachama mtazamaji katika umoja huo. Kwa mujibu wa shirika la habari la Anadolu, Rais Mahmoud Abbas wa Mamlaka ya Ndani ya…

Wazayuni wavamia msikiti wa al Aqsa na kuwatia nguvuni Wapalestina 12

Wazayuni wavamia msikiti wa al Aqsa na kuwatia nguvuni Wapalestina 12

Jeshi la utawala haramu wa Israel limewatia nguvu Wapalestina 12 sambamba na kundi la walowezi wa Kizayuni kuuhujumu msikiti mtukufu wa al Aqsa, ambacho ni Kibla cha Kwanza cha Waislamu. Msikiti wa al Aqsa ambao ni nembo kuu ya utambulisho  wa Kiislamu-Kipalestina katika mji wa Baitul Muqaddas umekuwa ukilengwa na hujuma na hatua za uharibifu za…

Kuwait: Tutaendelea kuisusia Israeli na makampuni yanayoshirikiana nayo

Kuwait: Tutaendelea kuisusia Israeli na makampuni yanayoshirikiana nayo

Kuwait imetangaza kuwa itaendelea kuisusia Israel, bidhaa zake na makampuni yanayoshirikiana nayo. Hayo yametangazwa katika Mkutano wa Maafisa wa Ofisi za Kikanda za Kuisusia Israel. Shirika la Habari la Kuwait (KUNA) lilimnukuu mwakilishi wa Kuwait katika mkutano huo, Mashari Al-Jarallah, akisema, “Bidhaa zote ambazo zinashukiwa kuwa za Israeli au za kampuni zilizopigwa marufuku, zinachukuliwa hatua…

Iran: Wazayuni hawaelewi lugha yoyote isipokuwa mabavu na vita

Iran: Wazayuni hawaelewi lugha yoyote isipokuwa mabavu na vita

Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, utawala wa Kizayuni hauelewi lugha nyingine yoyote isipokuwa mabavu na vita. Kwa mujibu wa shirika la habari la IRNA, Hossein Amir-Abdollahian amesema hayo leo Jumanne katika sherehe za kuenzi haki za binadamu na heshima ya mwanadamu hapa mjini Tehran na kuongeza kuwa,…