Mashariki ya kati

Waziri: Iran imetekeleza oparesheni kadhaa zilizofanikiwa dhidi ya Israel

Waziri: Iran imetekeleza oparesheni kadhaa zilizofanikiwa dhidi ya Israel

Wizara ya Intelijensia ya Iran imetekeleza oparesheni kadhaa zilizofanikiwa dhidi ya utawala wa Israel katika miezi ya hivi karibuni sambamba na kuzima idadi kubwa ya njama za utawala huo wa Tel Aviv na waitifaki wake magaidi dhidi ya Iran. Waziri wa Intelijensia Esmail Khatib ameyasema hayo Jumatano mjini Tehran katika mkutano na Spika wa Majlisi…

Sana’a: Mzingiro dhidi ya Yemen unazuia kurefushwa muda wa usitishaji vita

Sana’a: Mzingiro dhidi ya Yemen unazuia kurefushwa muda wa usitishaji vita

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Serikali ya Sana’a amelaani kuzingirwa wananchi wa Yemen na kuitaja hatua hiyo kuwa inazuia kurefushwa muda wa usitishaji vita nchini humo. Usitishaji vita uliofikiwa kati ya serikali ya Sana’a na muungano vamizi dhidi ya Yemen unaoongozwa na Saudia ulianza kutekeleza Aprili Pili; na Hans Grundberg Mjumbe wa Umoja…

Nukta nne za kistratijia katika matamshi ya Sayyid Nasrullah kwa mnasaba wa kuadhimisha miaka 40 ya Hizbullah

Nukta nne za kistratijia katika matamshi ya Sayyid Nasrullah kwa mnasaba wa kuadhimisha miaka 40 ya Hizbullah

Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah, juzi usiku (tarehe 25 Julai) alizungumza na televisheni ya al-Mayadeen kwa mnasaba wa mwaka wa 40 wa kuasisiwa Hizbullah, ambapo nukta kadhaa za kistratijia zilijadiliwa. Jambo la kwanza lilikuwa kwamba Hiizbullah ya Lebanon imejiimarisha katika mlingano wa nguvu. Uwezo huo ni mkubwa kiasi kwamba adui Mzayuni anafahamu…

MwananchiMaoni Na Uchambuzi Tanzania katikati ya mgogoro wa Mashariki ya Kati

MwananchiMaoni Na Uchambuzi Tanzania katikati ya mgogoro wa Mashariki ya Kati

Palestina ni Taifa ambalo limekuwepo kwa muda mrefu lakini haitambuliki kama nchi popote duniani. Jumuiya za kimataifa hazilitambui Taifa hilo ambalo limemezwa na nchi ya Israel na halipo kabisa katika ramani ya uso wa dunia. Ni Taifa ambalo halina serikali yake. Sehemu kubwa ya ardhi yake imetwaliwa na Waisraeli. Umoja wa Mataifa (UN) haulitambui Taifa…

Nasrullah: Maeneo yote ya Israel yapo katika shabaha ya makombora ya Hizbullah

Nasrullah: Maeneo yote ya Israel yapo katika shabaha ya makombora ya Hizbullah

Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema makombora yenye usahihi mkubwa katika kulenga shabaha ya harakati hiyo ya muqawama yana uwezo wa kupiga sehemu yoyote ya utawala haramu wa Israel; baharini au ardhini. Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Hizbullah amesema hayo katika mahojiano na televisheni ya al-Mayadeen yaliyorushwa jana usiku kwa mnasaba…

Iraq yakaribisha taarifa ya Baraza la Usalama la UN dhidi ya mashambulio ya Uturuki

Iraq yakaribisha taarifa ya Baraza la Usalama la UN dhidi ya mashambulio ya Uturuki

Wizara ya mambo ya nje ya Iraq imeonyesha msimamo wake wa kwanza kuhusiana na taarifa ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na kutangaza kuwa, matini ya taarifa hiyo inaunga mkono misimamo ya nchi hiyo. Jumatano iliyopita, Uturuki ilishambulia mji wa kitalii wa Zakho ulioko kwenye mkoa wa Dahok nchini Iraq na kuua watu…

UN yapitisha azimio dhidi ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel

UN yapitisha azimio dhidi ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel

Umoja wa Mataifa umepitisha azimio linalosisitiza kuwa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel hauna haki ya kupora rasilimali za watu wa Palestina na za miinuko ya Golan ya Syria unayoikalia kwa mabavu. Baraza la Kiuchumi na Kijamii la Umoja wa Mataifa (ECOSOC) limepitisha rasimu ya azimio iliyowasilishwa kwa ushirikiano wa Pakistan,- kwa niaba ya kundi…

Wapalestina 21 wauawa, kujeruhiwa na askari wa Israel Ukingo wa Magharibi

Wapalestina 21 wauawa, kujeruhiwa na askari wa Israel Ukingo wa Magharibi

Jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel limewaua shahidi Wapalestina wawili na kujeruhi wengine 19 katika miji ya Nablus na Jenin katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu. Kwa mujibu wa shirika la habari la Ma’an la Palestina, Wapalestina hao wameuawa na kujeruhiwa mapema leo baada ya wanajeshi makatili wa…