Mpalestina Khader Adnan akata roho na kufa shahidi akiwa ndani ya gereza la Israel
Wizara inayoshughulikia masuala ya Wapalestina wanaoshikiliwa mateka na walioachiwa huru imetangaza kuwa Sheikh Khader Adnan, mfungwa Mpalestina amekata roho na kufa shahidi ndani ya gereza la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel. Adnan, mmoja wa viongozi wa harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina, alikamatwa na utawala wa Kizayuni Februari 5 na kuamua kususia kula kwa muda wa…
Wasia wa Shahidi Khizr Adnan
“Esraa Al-Bahisi” ripota wa Habari ameripoti kuhusu wasia ulioandikwa na mfungwa wa Kipalestina na shahidi mwanajeshi Khizr Adnan kabla ya kuuawa shahidi. Usia ulioandikwa na shahidi Sheikh Khizr Adnan kwa mkewe, watoto wake na watu wote waliodhulumiwa wa Palestina ni kama ifuatavyo: Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema “Wale walioamini hawana khofu juu…
Hali mbaya katika jela za utawala unaoukalia kwa mabavu baada ya tangazo la kuuawa shahidi Khizr Adnan
Hali katika jela za utawala ghasibu wa Kizayuni katika kukabiliana na kuuawa shahidi Sheikh Khizr Adnan, mateka wa Kipalestina katika jela za utawala huo ghasibu, inaripotiwa kutokuwa shwari, na wafungwa wa Kipalestina waliitikia pakubwa habari za kuuawa shahidi Khizr. Adnan. Ripota wa habari mjini Ramallah ameripoti kuwa jela za utawala huo ghasibu zilishuhudia mapigano makali…
Majibu ya jeshi la anga la Syria kwa shambulio la utawala wa Kizayuni
Duru rasmi za Syria ziliripoti mapema Jumamosi kwamba ulinzi wa anga wa jeshi la nchi hiyo ulizima hujuma za utawala wa Kizayuni dhidi ya Homs. Shirika rasmi la habari la Syria; SANA, ikithibitisha habari hii, imetangaza kuwa ulinzi wa anga wa jeshi la Syria umekabiliana na makombora ya Kizayuni huko Homs na kuangamiza baadhi yao….
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran aonana na Sayyid Hassan Nasrullah mjini Beirut
Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran jana Ijumaa alionana na Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah na kujadiliana naye masuala muhimu ya pande mbili, ya kieneo na ya kimataifa. Mwandishi wa televisheni ya al Alam ameripoti habari hiyo kutoka mjini Beirut na kuongeza kuwa, mazungumzo hayo baina…
Ansarullah: Vita vya Sudan ni mwendelezo wa vita vya Yemen / Msimamo mbaya wa Washington katika mazungumzo kati ya Riyadh na Sana’a
Mjumbe wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesisitiza kuwa: Mgogoro wa Sudan ni sawa na mgogoro wa Yemen, na wale wanaopigana huko Sudan leo walipigana huko Yemen kabla ya hapo. “Mohammed Al-Bakhiti” alisema katika mahojiano na mtandao wa Al-Mayadeen kwamba mgogoro wa Sudan uko kando ya mstari wa mgogoro wa Yemen,…
Kuanza tena mashambulizi ya Wazayuni kwenye Msikiti wa Al-Aqsa baada ya Ramadhani
Mivutano mipya inazuka katika Msikiti wa Al-Aqsa sambamba na kumalizika mwezi mtukufu wa Ramadhani. Sababu ni kuwa Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala ghasibu wa Israel baada ya kukabiliwa na hatari ya kufunguka medani mpya za mapambano kutokea Gaza, kusini mwa Lebanon na Golan ya Syria kwa ajili ya kuzuia mashambulizi na uvamizi zaidi wa…
Rasimu ya azimio la Umoja wa Mataifa la kuondoa marufuku ya elimu kwa wanawake na wasichana nchini Afghanistan
Azimio la Umoja wa Mataifa linalowataka wapiganaji wa Taliban kuondoa haraka vikwazo vinavyoongezeka kwa wanawake na wasichana na kulaani marufuku ya wanawake wa Afghanistan wanaofanya kazi katika Umoja wa Mataifa linatarajiwa kupigiwa kura na Baraza la Usalama siku ya Alhamisi. Kwa mujibu wa vyanzo vya habari, kilichonukuliwa na Associated Press, leo (Alhamisi) azimio litapigiwa kura…