Mashariki ya kati

Mashauriano ya Bin Salman na Mshauri wa Usalama wa Kitaifa wa Marekani yakizingatia Iran

Mashauriano ya Bin Salman na Mshauri wa Usalama wa Kitaifa wa Marekani yakizingatia Iran

Mwanamfalme wa Saudia na mshauri wa usalama wa taifa wa Marekani walijadili kuhusu Iran. Kwa mujibu wa al-Arabi al-Jadid, Ikulu ya White House ilitangaza kuwa Mshauri wa Usalama wa Taifa wa Marekani Jake Sullivan alikuwa na mazungumzo ya simu na Mwanamfalme wa Saudia Mohammed bin Salman. Kwa mujibu wa ripoti hii, pande hizo mbili zilijadili…

Swala ya Isha na Tarawehe katika Msikiti wa Al-Aqsa usiku wa tarehe 21 Ramadhani

Swala ya Isha na Tarawehe katika Msikiti wa Al-Aqsa usiku wa tarehe 21 Ramadhani

Makumi ya maelfu ya Wapalestina wanaendelea kufanya ibada na itikaf katika Msikiti wa Al-Aqsa katika Jerusalem inayokaliwa kwa mabavu licha ya vizuizi vinavyopo, vilivyowekwa na vikosi vya kizayuni. Vyanzo vya habari vya ndani vilitangaza kuwa raia wa Palestina walifungua mfungo wao baada ya Swala ya Maghrib katika viwanja vya Msikiti wa Al-Aqswa na kuswali Isha…

Mkuu wa CIA: Marekani imesikitishwa na kuboreka uhusiano wa Saudia na Iran, Syria

Mkuu wa CIA: Marekani imesikitishwa na kuboreka uhusiano wa Saudia na Iran, Syria

Mkurugenzi wa Shirika Kuu la Kijasusi la Marekani, CIA, William Burns ameripotiwa kusikitishwa na hatua ya Saudi Arabia kufikia mapatano ya kurejesha uhusiano na Iran na Syria huku weledi wa mambi wakiashiria kupungua kwa ushawishi wa Marekani katika eneo la Asia Magharibi. Kwa mujibu wa gazeti la Wall Street Journal, mkuu huyo wa ujasusi nchini…

Hotuba ya Mtume, Manifesto ya Muongozo Katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

Hotuba ya Mtume, Manifesto ya Muongozo Katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

  Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Mkuu wa shule Jamia Urwatul Wuthqa – Lahore) Imetolewa katika msikiti wa: Masjid Baitul ul Ateeq Lahore – Pakistan Machi 31, 2023   HOTUBA YA KWANZA: HOTUBA YA MTUME, MANIFESTO YA MUONGOZO KATIKA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI. Ninawausieni nyinyi pamoja na kuiusia nafsi yangu kumcha Mwenyezi Mungu, pamoja…

Idadi ya Makombora zaidi ya 20 yarushwa kuelekea vituo viwili haramu vya Marekani mashariki mwa nchi ya  Syria

Idadi ya Makombora zaidi ya 20 yarushwa kuelekea vituo viwili haramu vya Marekani mashariki mwa nchi ya Syria

Mwandishi wa idhaa ya “Al-Alam” nchini Syria aliripoti kuwa zaidi ya makombora 20 yalirushwa katika vituo 2 haramu vya Wamarekani huko Deir Ezzor iliyoko kaskazini mashariki mwa Syria. Siku ya Ijumaa usiku, zaidi ya makombora 20 yalirushwa katika vituo viwili haramu vya Marekani katika maeneo mawili ya mafuta “Al-Omar” na gesi “Konico” huko Deir Ezzor…

Aghalabu ya nchi za Kiislamu zatangaza Alhamisi kuwa siku ya kwanza ya Ramadhani

Aghalabu ya nchi za Kiislamu zatangaza Alhamisi kuwa siku ya kwanza ya Ramadhani

Nchi nyingi za Kiislamu katika eneo la Asia Magharibu au Mashariki ya Kati zimetangaza Alhamisi, Machi 23, kuwa mwanzo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani. Katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Kamati ya Istihlal (kuutafuta mwezi mwandamo) ya Ofisi ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu imetangaza kuwa Alhamisi ya kesho  23 Machi itakuwa siku ya…

Kiongozi Muadhamu: Maadui wanataka kubadilisha utambilisho wetu

Kiongozi Muadhamu: Maadui wanataka kubadilisha utambilisho wetu

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema maadui wanapinga Mapinduzi ya Kiislamu, Imam Khomeini (MA), na maadhimisho ya Mapinduzi ya Kiislamu kila mwaka, sambamba na kuupinga mfumo wa Kiislamu unaotawala hapa nchini Iran; na kusisitiza kuwa, lengo la maadui ni kubadilisha utambulisho wa taifa hili na Mapinduzi ya Kiislamu, na badala yake walete demokrasia bandia…

Mapitio ya mkutano wa kwanza wa ushirikiano wa kiuchumi wa Iran na mataifa ya Afrika magharibi

Mapitio ya mkutano wa kwanza wa ushirikiano wa kiuchumi wa Iran na mataifa ya Afrika magharibi

Katika siku ya kwanza ya mkutano wa ushirikiano wa kiuchumi wa Iran na mataifa ya Afrika magharibi kumetiwa saini hati 20 za ushirikiano katika nyuga tofauti zikiwemo za kisiasa, kiuchumi, kibiashara na kiutalii. Mkutano wa Kimataifa wa Ushirikiano wa Sayansi na Uchumi baina ya Iran na nchi za Afrika magharibi ulianza jana Jumatatu hapa mjini…