Mashariki ya kati

Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudia: Nina hamu ya kuonana na waziri mwenzangu wa Iran

Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudia: Nina hamu ya kuonana na waziri mwenzangu wa Iran

Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia, Faisal bin Farhan ameelezea nia yake ya kukutana haraka na Waziri mwenzake wa Mambo ya Nje wa Iran, Hossein Amir-Abdollahian, baada ya nchi hizi mbili kufikia makubaliano ya kufufua uhusiano baina yao. Akihojiwa na gazeti la Al-Sharq Al-Awsat, Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia amesema:…

Afisa wa jeshi la Iraq: Zaidi ya wanachama 400 wa ISIS bado wako Iraq

Afisa wa jeshi la Iraq: Zaidi ya wanachama 400 wa ISIS bado wako Iraq

Afisa wa jeshi la Iraq amesema kuwa kundi la kigaidi la Daesh (ISIS) bado lina wapiganaji 400 hadi 500 katika nchi hiyo. Qais Al-Mohammadawi, Naibu wa Kamandi ya Operesheni ya Pamoja, ambayo inasimamia ushirikiano wa vikosi vya usalama vya Iraqi na muungano wa kimataifa, ametangaza kuwa wapiganaji wa kundi la kigaidi la ISIS nchini Iraq…

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa akosoa kampeni za chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa akosoa kampeni za chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu

Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amekosoa uenezaji hofu juu ya Uislamu na chuki za aina mbalimbali dhidi ya Uislamu na Waislamu duniani. Akihutubia mkutano maalumu wa Umoja wa Mataifa kwa mnasaba wa Siku ya Kimataifa ya Kupambana na Uenezaji Chuki Dhidi ya Uislamu, Antonio Guterres alisema: Kuna idadi ya Waislamu karibu bilioni mbili duniani ambao…

Maoni tofauti kuhusu makubaliano kati ya Iran na Saudi Arabia

Maoni tofauti kuhusu makubaliano kati ya Iran na Saudi Arabia

Taasisi na nchi mbalimbali zilikua na maoni tofauti kuhusu makubaliano kati ya Iran na Saudi Arabia. Qatar Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Qatar amempongeza Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran kwa kufikiwa kwa mapatano hayo. Siku ya Ijumaa, Mohammad bin Abdulrahman Al-Thani, katika mazungumzo ya simu na mwenzake wa Iran, alieleza kuridhishwa kwake…

Makubaliano ya kurejesha uhusiano wa pande mbili kati ya Iran na Saudi Arabia

Makubaliano ya kurejesha uhusiano wa pande mbili kati ya Iran na Saudi Arabia

Iran na Saudi Arabia zimefikia makubaliano ya kurejesha uhusiano wao wa kidiplomasia na kufungua tena balozi, miaka saba baada ya kuvunjika uhusiano huo kutokana na masuala kadhaa. Makubaliano hayo yaliafikiwa Ijumaa katika mji mkuu wa China, Beijing, baada ya siku kadhaa za mazungumzo magumu kati ya Katibu wa Baraza Kuu la Usalama la Taifa la…

Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi lilikaribisha makubaliano hayo kati ya Tehran na Riyadh

Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi lilikaribisha makubaliano hayo kati ya Tehran na Riyadh

Katibu Mkuu wa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi amekaribisha taarifa ya pande tatu kati ya Iran, Saudi Arabia na China kuhusiana na kurejeshwa kwa uhusiano wa kidiplomasia kati ya Riyadh na Tehran. Kwa mujibu wa ripoti, Jassem Al-Badawi, Katibu Mkuu wa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi ameeleza matumaini yake kuwa, kurejea…

Maoni ya Ansarullah kuhusu makubaliano kati ya Iran na Saudi Arabia

Maoni ya Ansarullah kuhusu makubaliano kati ya Iran na Saudi Arabia

Kufuatia kutangazwa kwa makubaliano yanayotakiwa kuanza tena ambayo ni uhusiano wa kidiplomasia kati ya Iran na Saudi Arabia, msemaji wa harakati ya Ansarullah ya Yemen ameunga mkono makubaliano hayo na kusema: eneo linahitaji kurejeshwa uhusiano wa kawaida kati ya nchi hizo. Kwa mujibu wa ripoti ya Al-Alam, “Mohammed Abdul Salam”, msemaji wa Harakati ya Ansarullah…

Ubora Wa Mtu Kwa utu Sio Kwa Rangi Ya Ngozi Yake – Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

Ubora Wa Mtu Kwa utu Sio Kwa Rangi Ya Ngozi Yake – Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Mkuu wa shule Jamia Urwatul Wuthqa – Lahore) Imetolewa katika msikiti wa: Masjid Baitul ul Ateeq Lahore – Pakistan Machi 3, 2023 Hotuba ya 1: Ubora Wa Mtu Kwa utu Sio Kwa Rangi Ya Ngozi Yake Ninawausieni nyinyi pamoja na kuiusia nafsi yangu kumcha Mwenyezi Mungu, pamoja na kuwasisitizieni…