Minasaba za Kiislamu

Kongamano kubwa “Kwa jina la mwanamke, kwa ajili ya Irani” na ushiriki wa mabinti wa mapinduzi

Kongamano kubwa “Kwa jina la mwanamke, kwa ajili ya Irani” na ushiriki wa mabinti wa mapinduzi

Katika mkutano wa leo na waandishi wa habari wa Jumuiya ya Mabinti wa Mapinduzi, afisa wa Jumuiya hii ya alisema: “Adui na watu wanaowapigia miluzi na kuwapigia makofi ndani ya nchi wamechukizwa na harakati kubwa za kimapinduzi. Jeshi la wanawake litaonyesha uwepo wao kwa adui siku ya 10 ya Azar na sherehe kubwa ya binti…

Kumcha mwenyezi Mungu ipasavyo humaanisha  kutumia kikamilifu uwezo na nguvu

Kumcha mwenyezi Mungu ipasavyo humaanisha  kutumia kikamilifu uwezo na nguvu

 Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Mkuu wa shule Jamia Orwatul Wuthqa – Lahore)  Imetolewa: Msikiti wa Baitul Ateeq  Lahore – Pakistan 18th Nov. 2022 Hotuba ya 1: Kumcha mwenyezi Mungu ipasavyo humaanisha  kutumia kikamilifu uwezo na nguvu. Ninawausieni nyinyi pamoja na kuiusia nafsi yangu kumcha Mwenyezi Mungu, na nawasisitizieni kuyasimamisha maisha yenu katika misingi…

Himizo juu ya Umoja na Kutotengana ni mfumo unaopatikana katika mafunzo ya Qur’ani, usiopatikana katika madhehebu

Himizo juu ya Umoja na Kutotengana ni mfumo unaopatikana katika mafunzo ya Qur’ani, usiopatikana katika madhehebu

 Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Mkuu wa shule Jamia Orwatul Wuthqa – Lahore)  Imetolewa: Msikiti wa Baitul Ateeq  Lahore – Pakistan 11th Nov. 2022   Hotuba ya 1: Himizo juu ya Umoja na Kutotengana ni mfumo unaopatikana katika mafunzo ya Qur’ani, usiopatikana katika madhehebu. Ninawausieni nyinyi pamoja na kuiusia nafsi yangu kumcha Mwenyezi Mungu,…

Allamah Syed Jawad Naqvi: Quran ina maamuzi juu ya mafundisho na fatwa za madhehebu

Allamah Syed Jawad Naqvi: Quran ina maamuzi juu ya mafundisho na fatwa za madhehebu

 Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Mkuu wa shule Jamia Orwatul Wuthqa – Lahore)  Imetolewa: Msikiti wa Baitul Ateeq  Lahore – Pakistan 4th Nov. 2022 Khutba ya 1: Quran ina maamuzi juu ya mafundisho na fatwa za madhehebu Ninawausieni nyinyi pamoja na kuiusia nafsi yangu kumcha Mwenyezi Mungu, na nawasisitizieni kuyasimamisha maisha yenu katika misingi…

Kuwa Shahidi ni kutopendelea upande wowote katika muamala:Allamah Syed Jawad Naqvi

Kuwa Shahidi ni kutopendelea upande wowote katika muamala:Allamah Syed Jawad Naqvi

 Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Mkuu wa shule Jamia Orwatul Wuthqa – Lahore)  Imetolewa: Msikiti wa Baitul Ateeq  Lahore – Pakistan 28st oct. 2022   Hotuba ya 1: Sharti kuu la mtu kuwa Shahidi ni kutopendelea upande wowote katika muamala. Pasi na hivyo ni uhalifu. Ninawausieni nyinyi pamoja na kuiusia nafsi yangu kumcha Mwenyezi…

Hotuba ya Ijumaa – 21st October 2022, Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

Hotuba ya Ijumaa – 21st October 2022, Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

 Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Mkuu wa shule Jamia Orwatul Wuthqa – Lahore)  Imetolewa: Msikiti wa Baitul Ateeq  Lahore – Pakistan   Hotuba ya 1:  Tanguliza ucha Mungu katika miamala ya kiuchumi na Mwenyezi Mungu Atakujaalia elimu ya miamala salama Ninawausieni nyinyi pamoja na kuiusia nafsi yangu kumcha Mwenyezi Mungu, na nawasisitizieni kuyasimamisha maisha…

Hotuba ya Ijumaa – 14th October 2022, Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

Hotuba ya Ijumaa – 14th October 2022, Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi

 Hujjatul Islam Ustad Syed Jawad Naqvi (Mkuu wa shule Jamia Orwatul Wuthqa – Lahore)  Imetolewa: Msikiti wa Baitul Ateeq  Lahore – Pakistan Khutba ya 1: Uhusiano wetu na Bw Mtume (saww) usiwe wa kupiga Selfi, bali wa kuchukua mwongozo. Ninawausieni nyinyi pamoja na kuiusia nafsi yangu kumcha Mwenyezi Mungu, na nawasisitizieni kuyasimamisha maisha yenu katika…

Uwepo wa kustaajabisha wa mamilioni ya Wayemen katika kusherehekea kuzaliwa kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)

Uwepo wa kustaajabisha wa mamilioni ya Wayemen katika kusherehekea kuzaliwa kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)

Mamilioni ya Wayemeni walihudhuria viwanja vikuu vya miji tofauti ya nchi hii na kusherehekea siku ya kuzaliwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Sambamba na mazazi ya Mtume Muhammad (SAW), kwa mujibu wa calenda ya dhehebu la Kisunni (12 Rabi al-Awwal), maelfu ya Wayemen katika majimbo ya Sana’a, Saada, Hajjah, Dhamar, Ibb, Taiz, Imran, Muhuit, Al-Jawf. na Al-Bayda…